uingereza

  1. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha wachezaji 26 cha Uingereza ( England ) Chini ya Thomas Tuchel kuelekea kombe la Dunia 2026 ( USA , Mexico , Canada )

    Tayari mkufuzi Tuchel kataja majina ya wachezaji watakao wakilisha Taifa la Uingereza ( England ) kwenye mashindano ya Kombe la Dunia Kikosi hiki kimepokelewa kwa mitazamo tofauti na wapenzi wa soka ulimwenguni ( mashabiki ) kukosekana kwa Wharton toka Cyrstal Palace , Levi Colwill toka...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaonya Shule kuchapisha picha za wanafunzi mitandao kutokana na tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail)

    Shule nchini Uingereza zinapewa onyo la kuondoa picha za wanafunzi wao kutoka kwenye tovuti na mitandao ya kijamii kufuatia kuongezeka kwa tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail). Wataalamu wa usalama wa mtoto na Shirika la Kitaifa la Uhalifu (NCA) wanaonya kuwa wahalifu wanatumia Akili...
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Uingereza wasalimu amri

    Serikali ya Uingereza imeondoa baadhi ya vikwazo dhidi ya mafuta ya Urusi,huku bei ya mafuta ikipanda nchini humo. Agizo hilo limeanza kutekelezwa hii leo, na inaashiria hofu inayoongezeka kuhusu upatikanaji wa mafuta kutokana na kuzuizi kilichowekwa katika Mlango bahari wa Hormuz tangu kuanza...
  4. Huihui2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Serikali ya Uingereza iliwafukuza baba, mama, na watoto wao watatu kurudi Nigeria baada ya kuuza mali zao zote na kukopa 40,000,000Tsh ili kuhamia Uingereza. Tobore aliuza nyumba yake huko Otokutu, ardhi yake huko Opete, Lexus 330 yake nyeusi, duka lake kubwa la maduka, na pia alikopa...
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia Bunge la Uingereza unaweza kuelewa ilikuaje waliweza kuitawala robo ya dunia wakati fulani na kuwa himaya kubwa zaidi duniani

    Hawa watu wana akili na wako serious sana, kwenye sakata la Epstein Waziri mkuu wao Keir Starmer amejibu maswali ya wabunge zaidi ya 30 ya hapo kwa hapo! Hapo bungeni kwao hakuna uchawa, hakuna mambo ya kuomba muongozo, hakuna comedy, hakuna kupoteza muda! Hili bunge lao ukilinganisha na hili...
  6. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran aziomba Ufaransa na Uingereza kuishawishi Marekani irudi kwenye meza ya mazungumzo kumaliza vita

    Iran’s President Masoud Pezeshkian urged Europe to play a more active role in pushing the United States toward an agreement, saying diplomacy remains the best way to resolve disputes, according to state media. In a call with France’s President Emmanuel Macron, Pezeshkian said Iran was ready to...
  7. Ritz

    JamiiForums Tanzania Uingereza: Hatutahusika katika kuzingirwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. Hatutahusika katika kuzingirwa kwa Mlango-Bahari, tunafanya kazi kwa dharura na Ufaransa, Uhispania na washirika wengine ili kuunda muungano mpana ili kulinda uhuru wa urambazaji. Marekani haiwezi kuamuru jinsi wengine wanavyopaswa kusimamia mambo yao"- 🇬🇧 Waziri Mkuu wa Uingereza...
  8. R

    JamiiForums Tanzania 'Reforms UK' kupiga marufuku ya Visa kwa nchi zinazodai fidia biashara ya utumwa

    Chama cha Reform UK kimesema kuwa kitapiga marufuku utoaji wa visa mpya kwa watu kutoka nchi zinazodai fidia ya utumwa kutoka kwa Uingereza, iwapo kitapata nafasi ya kuunda serikali ijayo. Zia Yusuf, msemaji wa masuala ya mambo ya ndani wa chama hicho, aliiambia The Daily Telegraph kuwa wito wa...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Kalameni kapigwa na mkewe Uingereza

    Mnaigeria kupigwa na bibi yake Uingereza
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kama Kulivyo Kupotea kwa Utawala wa Kiayatollah Iran, ndivyo Inaelekea Kupotea kwa Ufalme wa Uingereza

    Nimezungumza humu JF kuhusu Serikali kupiga Marufuku Dini. Basis kubwa ya dai hilo ni Unabii wa Biblia tafadhali soma Ufunuo Sura 17. Sura hiyo kwa lugha ya mfano inamtambulisha mwanamke kahaba na pia inamtaja kuwa ni Babilon Mkuu (kitovu cha mafundisho ya uongo yanayokinzana na Mungu). Ingawa...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran imejaribu kushambulia kisiwa cha Diego-Garcia kwenye Kambi za Marekani na Uingereza

    Ripoti: Iran Yajaribu Kushambulia Kambi ya Marekani katika Bahari ya Hindi Iran ilirusha makombora mawili ya balestiki kuelekea kambi ya Marekani huko Diego Garcia katika Bahari ya Hindi. Maafisa kadhaa wa Marekani waliambia The Wall Street Journal kwamba makombora hayo hayakugonga kambi hiyo...
  12. O

    JamiiForums Tanzania Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japan zimesema zitachukua hatua stahiki kuhakikisha Usalama wa Strait of Hormuz

    Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
  13. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Scotland yapitisha muswada bungeni wa kutaka kujiondoa kwenye muungano na Uingereza (United Kingdom)

    Chama cha Scottish National Party (SNP) kimepitisha azimio linalounga mkono uhuru wa Scotland, likiitaka Serikali ya United Kingdom kuanza maandalizi ya kujitoa kwa Scotland katika Muungano wa Uingereza. Chama cha SNP kimepitisha azimio linalotaka Serikali ya Uingereza ianze maandalizi ya...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Mbali na spika, mbongo aishiye uingereza amchangia milioni 20 mwenye uvimbe shingoni; mchango wafikia mil. 30, bado mil. 10 tu

    "Mungu ni mkubwa jamani! Mungu Anaweza nyiye! Mungu hashindwi na jambo lolote. Sikutegemea kama Watanzania wenzangu watachangia hadi sasa kupata shilingi milioni thelathini (30,000,000)... "Japokuwa niliamini kwa imani kwamba zitafika. Sasa Mungu yeye amefanya kwa vitendo," Ndivyo alivyosema...
  15. Nyendo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Uingereza na Kwengine

    https://youtu.be/O2f1eKISpy8?si=V5wnjV3iy7h25gH3
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Taifa wa ACT, Othman Masoud afanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Ubalozi wa Uingereza, 10/02/2026

    Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, leo Februari 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Ubalozi wa Uingereza. Ujumbe huo ulioongozwa na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Marianne Young, uliowajumuisha pia Bw. Jack Fenwick, Katibu wa Pili...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Mashirika ya Ujasusi ya Mataifa ya Rwanda, Kenya, Marekani na Uingereza sasa yanapambana kuyafanya Mataifa yao kama maeneo ya msingi ya kukamata Uchumi wa kikanda na Kidunia. Kwenye vyombo mbalimbali vya habari sasahivi, habari zinazotrend ni namna wakuu wa mashirika ya kujasusi ya Mataifa ya...
  19. funaku

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaboresha mahusiano ya kidiplomasia na china

    Haya ni mabadiliko makubwa katika siasa za sasa za kikanda na kidunia. Wafanyabiashara wa Uingereza wataruhusiwa kuingia china bila visa
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa madini kati ya mfalme Lobengula na Serikali ya Uingereza ulivyoleta hekaheka nchini ufalme wa Matebele nchini Zimbabwe

    Wakuu, Mkataba wa Rudd ulikuwa makubaliano muhimu ya haki za madini yaliyosainiwa mnamo Oktoba 30, 1888, kati ya Mfalme Lobengula wa Matabeleland na mawakala waliomwakilisha mfalme wa kikoloni wa Uingereza, Cecil Rhodes. Hati hii ilikua msingi wa kisheria wa ukoloni wa Uingereza katika eneo...
Back
Top Bottom