nyama

Nyoma is a village and headquarter of eponymous Subdivision and block in the Leh district of Ladakh in India. It is located in the Leh tehsil, on the bank of Indus River.
A small Buddhist monastery ("gompa") is located on the hill at the back of the village. Since 2010, foreign tourists with Inner Line Permits are permitted to visit Nyoma and its monastery.
Nyoma is also home to an Advanced Landing Ground of Indian Airforce, which was reactivated when an An-32 landed in this airfield on 18 September 2009.Nearby towns are Mahe and Rupshu, the town lies in the Leh - Loma - Hanle road. Nyoma is located 41 km southeast of Chumathang. It is 23 km (14 miles) from Mahe village and roughly the same distance from the Chinese border.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waislam waliwanyima nyama ya Iddi Wakristo, Kontena zote zimeoza wamezitupa Pori la SUA

    Baadhi ya Waislam walio wengi wana roho Mbaya sana... Juzi kati Waarabu wametoa msaada wa nyama, Walichinja ng'ombe wengi sana... Kila Shehe akajibebea kilo 50 hadi mia eti wanapelekea watoto yatima. Ajabu nyama zimewazoea majumbani.. Huko Morogoro wamepeleka Makontena kutupa maporini... Hata...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kama taifa, yafaa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mchana kweupe tena kwa macho ya nyama kabisa

    Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu. Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu, wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Ole, Pemba asema nyama iliyoteketezwa ilikaa muda mrefu baharini ikaharibika

    Mei 29, 2026 Mdau aliandika “Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya” Hoja ya awali ~ Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya Mbunge wa...
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Weekend tarehe 23 iliyopita nilitembelea sehemu moja karibu na mji wa kupang ila ni vijiji vya nchi ya Timor-Leste nikiwa na rafiki yangu kwao palikuwa na kama kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha babu yake nikamsindikiza kuna tukio moja liliniacha na maswali mengi sana kuhusu mambo ya...
  5. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Nyama ya Ng'ombe ndio nyama bora duniani, haina mpinzani

    Pamoja na kuwa nimekula nyama aina nyingi. Kuanzia kuku, nguruwe, samaki, mbuzi, bata, panya, nyama pori n.k ila hakuna nyama ambayo inaweza kumpita ng'ombe kwa kutokinaisha. Unaweza kuila kila siku na maisha yakaendelea. Ila nyama nyingine huwa ni mtihani sana kuila kila siku.... Tumpe...
  6. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Kumbe Nyama ya Kenge ni kitoweo kitamu sana!

    Mzuka wana jamvi ? Watu wengi kutokana na Kenge jinsi alivyo ukiwaambia kuwa ni mtamu na kitoweo kizuri wanabisha , ila kiuhalisia Kenge Nyama yake ni tamu sana kwa Supu , Nyama choma nk . Ukijaribu kula siku Moja utatamani kila.siku ule.
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO KERO Responded Machinjio ya Mji wa Tunduma (Songwe) kuna michezo ‘michafu’ ya uuzaji wa nyama

    Eneo la Machinjio ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mkoani Songwe kuna Daktari wa Mifugo ambaye jukumu lake ni kukagua nyama baada ya ng’ombe kuchinjwa, katika ukaguzi wake amekuwa akiondoa sehemu anazodai kuwa hazifai kuliwa na binadamu. Anaondoa kwa malengo ya kuteketeza lakini badala yake...
  8. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania PASSOVER (Wayahudi) VS PASAKA (Wakristo) VS Kutokula Nyama

    Mungu akubariki katika tafakari ya mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo siku ya Leo. - Yesu Kristo aliikuta Pasaka. Tunaona kwenye Biblia kuwa Mipango ya kumkamata na Kumuua ilipangwa kipind cha majirio ya Passover. Marko 14:1-2 "1 Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate...
  9. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Sili tena nyama za buchani

    Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina. Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja. Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa. Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki...
  10. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania Nilikua sijui tofauti ya kufuga nguruwe wa mbegu na wa nyama

    “Nilikuwa nafuga, lakini kuna vitu vya ziada nimejifunza — hasa tofauti kati ya kufuga nguruwe kwa ajili ya nyama 🥩 na kufuga kwa ajili ya uzalishaji 🐖📈. Hilo limenifurahisha sana na nitaenda kulifanyia kazi mara moja. Nilikuwa nafuga bila malengo mahsusi, lakini sasa nimepata mwanga 💡. Nina...
  11. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfugaji wa kuku wa nyama au mayai, njoo tukuongeze mauzo.

    Kama wewe ni chicken farmer unayefuga kuku wa mayai au nyama, au unafanya biashara ya kuuza mayai au kuku wa nyama kwa jumla, na unachangamoto ya mauzo au unataka kuongeza mauzo kwenye biashara yako. Ninaweza kukusaidia kupata buyers wa uhakika kama restaurants, hotels, supermarkets, catering...
  12. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Tuondokane na mtindo wa Kununua gesi ya kupikia kama tununuavyo nyama buchani

    Tununuapo gesi huwa mitungi inapimwa kwa kutumia vimizani vya kila aina visivyo na ubora, sasa wakati umefika wa kuondokana na hivyo vimizani vinavyotupunja ujazo na mamlaka ilazimishe makampuni husika ya kujaza gesi yaweke mita kwenye mitungi yao.
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mada ya kitimoto: Nyama inayajadiliwa na kutawaka mijadala mingi duniani

    Ni haramu sio haramu? Uharamu wake unatokana na nini? Je kuna mazingira haramu inaweza kuwa halali? Je ndio nyama tamu zaidi duniani? Je ndio nyama inayoliwa zaidi duniani? Je ni kweli ndio nyama inayobeba magonjwa mengi? Je ni kweli inafukuza mapepo na kusafisha nyota? Je ni kwanini mganga...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kilo 1 ya Nyama ya kuku Chotara au Kienyeji Buchani ni bei gani?

    Naomba kwa wazoefu wa mikoa ya Dar, Morogoro, Dodoma, Iringa, Mbeya mnipe uzoefu wenu. Wafugaji wengi wa kuku wanauza kuku kwa mazoea sana, mnunuzi anakuja anamshika anamtikisa kidogo hivi anakadiria uzito alafu mnaanza kubishana bei. Ila naona huu ni wizi wa hali ya juu. Naomba nipate uzoefu...
  15. nakwede97

    JamiiForums Tanzania Pilau na nyama 😋

    Haya wapendwa kher ya mwaka mpya mwaka uwe wenye baraka na rehema kwenye familia zenu na kazi zenu . Leo nikasema nijipikilishe kapilau kangu na nyama
  16. ngara23

    JamiiForums Tanzania Profesor Janabi asisitiza kuzingatia ulaji sahihi kipindi cha sikukuu, hasa kuepuka pilau na nyama

    Mkurugenzi wa shirika la afya duniani ( WHO) ukanda wa Africa, Professor Janabi Amesisitiza wananchi kuepuka pilau na nyama Kwakuwa ni Milo yenye madhara kiafya Pia ameshauri watu kuacha kutumia soda na beer 🍺 siku hiyo Badala yake ameshauri watu wale matunda, mboga za Majani na maji mengi
  17. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Njoo tupike sambusa za nyama mlo wa usiku mwepesi kabisa

    Utaanda kusaga nyama yako kama hivi baaada ya hapo chukua nyama yako ikaange ukichanganya hoho karoti pamoja na hoho ukiweza weka na pilipili Baada ya hapo chukua mands zako na uzikate upate umbo la sambusa Baada ya hapo anza kuzinga kwenye mafuta yalio pata moto Mambo kama hivyo mlo wa...
  18. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Tuchome nyama pori

    Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo Utakuwa una geuza na nyama yako ukitaka iwe mzuri basi ichome kwenye moto mkali sana Uku una...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa fisi, awe wa kike au kiume, akiona nyama, utamjua

    Sijui hata nimaanishacho hapa. Ila fisi na nyama ni balaa bila kujali jinsia wala umri. Ni ujinga kiasi gani kumpa fisi nyama ukadhani ataiacha au kuficha ufisi wake? Baya zaidi ni pale fisi anapokuwa mwenye mamlaka ya kuamua nani ale au asile nyama. Najipigia kelele kimya kimya.
  20. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tutaandamana kwa amani Askari atakaye mpiga mwananchi sisi tutajitetea

    Tutaandamana kwa amani na kwa muujibu wa katiba ya nchi Askari atakaye mpiga mwananchi kwa sababu ya maandamano ni uhalifu wa kivita na sisi tutajitetea tutamfanya nyama.
Back
Top Bottom