nyama

Nyoma is a village and headquarter of eponymous Subdivision and block in the Leh district of Ladakh in India. It is located in the Leh tehsil, on the bank of Indus River.
A small Buddhist monastery ("gompa") is located on the hill at the back of the village. Since 2010, foreign tourists with Inner Line Permits are permitted to visit Nyoma and its monastery.
Nyoma is also home to an Advanced Landing Ground of Indian Airforce, which was reactivated when an An-32 landed in this airfield on 18 September 2009.Nearby towns are Mahe and Rupshu, the town lies in the Leh - Loma - Hanle road. Nyoma is located 41 km southeast of Chumathang. It is 23 km (14 miles) from Mahe village and roughly the same distance from the Chinese border.

View More On Wikipedia.org
  1. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Mshikaki tsh 100; Hivi hawa wananunua nyama kilo shingapi?

    mshikaki 100 hivi hawa wananunua nyama kilo sh ngapi? jaman hii dsm hii mtiani
  2. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Askofu Dkt. Benson Bagonza amesema , "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa mbele ya sufuria ya nyama, kwamba tupambanie chakula. Jiuzulu tukuamini."

    Katika siku za hivi karibuni, baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, kuzungumzia suala la Katiba Mpya, kumekuwa na usambazaji wa picha zenye maandishi (graphics) kwenye mitandao ya kijamii zikimdai Benson Bagonza amesema: "Nchimbi ni CCM anaongelea akiwa...
  3. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Sasa kidume unakuwa shoga, nyama kama hii ale nani?

    Kidume unaamua kuwa choko, unachagua kupelekewa moto, sasa watoto wazuri kama hawa, awale nani? Baadhi ya vidume mliochagua kuwa machoko mnafanya kizazi chetu cha kiume kichukuliwe poa sana. Mimi ningekuwa Rais wa nchi hii ningepiga risasi machoko wote. Najua mpo humu nawamaindi ile mbaya...
  4. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Men, come closer... Your beloved nyama choma and "Ka cold one" might be plotting against your toes!

    🍖🍺 MEN, COME CLOSER... YOUR BELOVED NYAMA CHOMA AND "KA COLD ONE" MIGHT BE PLOTTING AGAINST YOUR TOES! Picture this... It's a Wednesday morning . The boys have gathered. Smoke is rising from the grill, the nyama choma is sizzling, someone is shouting, "Ongeza kilo moja!" while another is busy...
  5. KIBOD3

    JamiiForums Tanzania Natafuta mabanda ya kukodi kwa ajili ya ufugaji wa kuku wa nyama (broiler)

    Natafuta mabanda ya kukodi kwa ajili ya kufugia kuku wa nyama (broiler) yenye uwezo wa kuanzia kuku 1,000 au zaidi. Maeneo ninayopendelea ni Dar es Salaam na Pwani. Ikiwa una banda linalopatikana kwa sasa au unafahamu mwenye banda la kukodisha, tafadhali wasiliana nami kwa ujumbe binafsi
  6. U

    JamiiForums Tanzania Nyama choma ipi Nzuri Tanzania ,Kwa mromboo Arusha Vs Msalato Dodoma?

    Nafahamu kuwa watanzania wanapenda sana Nyama Choma. Na kiukweli kabisa katika nchi hii sehemu mbili tu katika mikoa miwili ya Arusha na Dodoma ni maarufu zaidi kwa uchomaji wa Nyama na ndio yanayotembelewa na maelfu ya watu kutoka maeneo mbalimbali Tanzani afrika na Duniani. Maeneo hayo...
  7. EDIGAR JO

    JamiiForums Tanzania Nguruwe wa kufugwa na nyama wapo

    Je! Unahitaji nguruwe wa nyama ?? Je! Unahitaji watoto wa nguruwe wa chin ya miez 3 ?? Kalibu LUNO Pig Farm tupo nao kwa bei sawa na afya na uzito wa nguruwe . Location ; MPUNGUZI,DODOMA Follow the NGURUWE DODOMA channel on WhatsApp: NGURUWE DODOMA Mawasiliano 0796007039
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  9. Terrible Teen

    JamiiForums Tanzania Samahani Rais, Unajisikiaje unapokula nyama, ama unapokaa na Watoto na Wajukuu zako?

    Mheshimiwa Rais, naomba kuandika kwa ufupi sana. Kutekwa kwa Polepole , Mdude na hata kuuwawa kwa Mzee Kibao kuliacha damu nyingi sana ikimwagika, naomba kukuliza Mheshimiwa mwenye jukumu la kwanza la kulinda uhai wa watu wako, huwa unajisikiaje kula nyama kama chakula huku ukikumbuka wetu wako...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waislam waliwanyima nyama ya Iddi Wakristo, Kontena zote zimeoza wamezitupa Pori la SUA

    Baadhi ya Waislam walio wengi wana roho Mbaya sana... Juzi kati Waarabu wametoa msaada wa nyama, Walichinja ng'ombe wengi sana... Kila Shehe akajibebea kilo 50 hadi mia eti wanapelekea watoto yatima. Ajabu nyama zimewazoea majumbani.. Huko Morogoro wamepeleka Makontena kutupa maporini... Hata...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kama taifa, yafaa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mchana kweupe tena kwa macho ya nyama kabisa

    Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu. Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu, wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Ole, Pemba asema nyama iliyoteketezwa ilikaa muda mrefu baharini ikaharibika

    Mei 29, 2026 Mdau aliandika “Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya” Hoja ya awali ~ Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya Mbunge wa...
  13. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Weekend tarehe 23 iliyopita nilitembelea sehemu moja karibu na mji wa kupang ila ni vijiji vya nchi ya Timor-Leste nikiwa na rafiki yangu kwao palikuwa na kama kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha babu yake nikamsindikiza kuna tukio moja liliniacha na maswali mengi sana kuhusu mambo ya...
  14. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Nyama ya Ng'ombe ndio nyama bora duniani, haina mpinzani

    Pamoja na kuwa nimekula nyama aina nyingi. Kuanzia kuku, nguruwe, samaki, mbuzi, bata, panya, nyama pori n.k ila hakuna nyama ambayo inaweza kumpita ng'ombe kwa kutokinaisha. Unaweza kuila kila siku na maisha yakaendelea. Ila nyama nyingine huwa ni mtihani sana kuila kila siku.... Tumpe...
  15. Magayor Mongolian

    JamiiForums Tanzania Kumbe Nyama ya Kenge ni kitoweo kitamu sana!

    Mzuka wana jamvi ? Watu wengi kutokana na Kenge jinsi alivyo ukiwaambia kuwa ni mtamu na kitoweo kizuri wanabisha , ila kiuhalisia Kenge Nyama yake ni tamu sana kwa Supu , Nyama choma nk . Ukijaribu kula siku Moja utatamani kila.siku ule.
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO KERO Responded Machinjio ya Mji wa Tunduma (Songwe) kuna michezo ‘michafu’ ya uuzaji wa nyama

    Eneo la Machinjio ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mkoani Songwe kuna Daktari wa Mifugo ambaye jukumu lake ni kukagua nyama baada ya ng’ombe kuchinjwa, katika ukaguzi wake amekuwa akiondoa sehemu anazodai kuwa hazifai kuliwa na binadamu. Anaondoa kwa malengo ya kuteketeza lakini badala yake...
  17. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania PASSOVER (Wayahudi) VS PASAKA (Wakristo) VS Kutokula Nyama

    Mungu akubariki katika tafakari ya mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo siku ya Leo. - Yesu Kristo aliikuta Pasaka. Tunaona kwenye Biblia kuwa Mipango ya kumkamata na Kumuua ilipangwa kipind cha majirio ya Passover. Marko 14:1-2 "1 Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate...
  18. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Sili tena nyama za buchani

    Kwaanzia leo sili tena nyama za buchani. Sitaki kushiriki ibada za kipagani na kishirikina. Hata matunda ya Mudi tende naepuka sana hata kuonja. Kabla ya kunywa hata maji ya chupa nakagua kwa umakini kama ni ya zamzam. Nikijiridhisha siyo ndo nakunywa. Kama muumini wa Mungu wa kweli sitaki...
  19. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania Nilikua sijui tofauti ya kufuga nguruwe wa mbegu na wa nyama

    “Nilikuwa nafuga, lakini kuna vitu vya ziada nimejifunza — hasa tofauti kati ya kufuga nguruwe kwa ajili ya nyama 🥩 na kufuga kwa ajili ya uzalishaji 🐖📈. Hilo limenifurahisha sana na nitaenda kulifanyia kazi mara moja. Nilikuwa nafuga bila malengo mahsusi, lakini sasa nimepata mwanga 💡. Nina...
  20. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfugaji wa kuku wa nyama au mayai, njoo tukuongeze mauzo.

    Kama wewe ni chicken farmer unayefuga kuku wa mayai au nyama, au unafanya biashara ya kuuza mayai au kuku wa nyama kwa jumla, na unachangamoto ya mauzo au unataka kuongeza mauzo kwenye biashara yako. Ninaweza kukusaidia kupata buyers wa uhakika kama restaurants, hotels, supermarkets, catering...
Back
Top Bottom