hesabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ommytk

    Kwanini tukienda hospitali zile fomu za NHIF hawafungi hesabu pale chini?

    Habari za leo wadau kuna jambo mara nyingi nakutana nalo sijui kama wenzangu hili mmewahi kukutana nalo, kuna hizi form za matibabu NHIF unaenda hospitali unapata huduma kila gharama zinaandikwa kwenye form ukimaliza matibabu unaenda mapokezi kwa ajili ya kuchukua kadi yako ukifika pale...
  2. Carlos The Jackal

    Unajiita Baba/Kichwa cha Familia halafu mtoto wako anakuletea swali la Hesabu ya Darasa la tano, hujui!!

    Et Baba wa nyumba... Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home. Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa kwenye Sofa, na Miwani yako na Upara, kifua wazi ,na Pensi lako , Baba Bonge na likitambi hilooo alafu...
  3. F

    Tubadili mfumo wa kufundisha hesabu Tanzania

    Tujadiliane, Ufumbuzi wa ugumu wa kufundisha somo la hesabu Tanzania umeshindikana na kufanyika janga la taifa. Nadhani warasimu waliokasimiwa jukumu la kuleta mfumo rafiki wa ufundishaji hesabu wamejipa dhima hiyo kwa kujihesabia haki ya uelewa wa somo hilo kuliko wengine ambao wangestahili...
  4. M

    Ni maswali gani huulizwa kwa nafasi ya Msaidizi wa Hesabu II?

    Wakuu naomba kujua aina ya maswali ambayo uwa yanaulizwa na utumishi kwa kada ya msaidizi wa hesabu daraja la pili both writen and oral.
  5. Z

    Hesabu zinambeba Dkt. Mwigulu Nchemba

    Wanajamvi wasalaam. Napitia report ya AFDB, IMF na World Bank hakika ni report zilizoshiba sana. Report hizi kwa pamoja zimeangazia masuala mtambuka, waataalamu mahiri wa uchumi wamechambua kinagaubaga. 👉 Projection ya uchumi iko vizuri sana, uchumi unakuwa kwa kasi sana kuliko taifa lingine...
  6. M

    Kufunza hesabu bongo

    Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo langu la mkono, lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda." Tafakari ya babu... "Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika darasa la hesabu. Mwalimu akamuuliza, "kwa nini wewe mjinga unajipaka mate? "mtoto akamjibu,"jana...
  7. MINOCYCLINE

    Tundu Lissu kuhitaji gari lake aliloshambuliwa nalo hapa kuna mtego mkubwa na hesabu kali inachezwa

    Haya Majiniasi (Akili Kubwa) wa JamiiForums hebu njooni mtupe Ujiniasi wenu katika hili Sisi Mangumbaru (Akili Ndogo) kwani wenye Akili Kubwa wanadai katika hili kuna mahala Tundu Lissu Kawatega lakini pia kuna Hesabu Kali mno inachezwa hapa ambayo ikikosewa tu Mzanzibari atadharaulika na hatoamini.
  8. Mparee2

    Ufaulu wa somo la Hesabu kidato cha nne 2022

    Nilisikia kupitia radio one leo asubuhi kuwa, takribani asilimia 70 ya watahiniwa wa kidato cha nne wamepata alama sifuri katika somo la Hesabu? Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta Mchawi kwani tatizo liko wazi kabisa ambalo ni ukosefu wa waalimu wenye sifa ya kufundisha Hesabu...
  9. NetMaster

    Kwa hesabu za makadirio hata kama Mandonga kalipwa milioni 5 kwa pambano lake la ufunguzi bado kapunjwa mno, atafutiwe Meneja upesi

    Kumbuka pambano la Mandonga halikuwa pambano kuu, lilikuwa ni pambano la ufunguzi tu hivyo pesa aliyopewa inaweza isifikie hata iliyotajwa/ Pambano lilijaza nyomi ya wakenya zaidi ya elfu 6 waliojaza ukumbi wa KICC jijini Nairobi. Kwa wale ambao hawakuweza kufika hasa wa Mombasa, Nakuru...
  10. Unique Flower

    Tatua hii hesabu

    Solve hii hesabu
  11. kalindura

    Noah ya kupeleka hesabu kwa wiki inahitajika

    Waungwana habari za majukumu. Naitwa Saidi natokea maeneo ya pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani mkoa wa Da es Salaam. Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi huku wilaya ya Kisarawe. Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo...
  12. mjasiri na mali

    Wataalamu wa hesabu okoeni jahazi

    Zawadi ya bando Kwa atakayekuwa wa kwanza kusolve
  13. Cherry123

    Natafuta dereva wa bajaji wa kuleta hesabu nipo Dar - Kigamboni

    Hello! Natafuta dereva wa bajaji mwenye uzoefu na bajaji vizuri. Awe anaishi Dar na awe na leseni yake tayari. Mwenye tabia ya uaminifu. Anahitajika urgently apige namba 0757302961. Nipo Kigamboni
  14. Meneja Wa Makampuni

    Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako na jinsi utakavyo okoa fedha nyingi

    Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako. 1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200. Tsh. 17000 = Km. 200 ? = Km. 1 Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85 Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita...
  15. MK254

    Warusi waanza kuchoma maiti za wanajeshi wao

    Wanataka ionekane kama ambao walikimbia mapigano, sio kwamba waliuawa. Wanatumia magari yenye tanuri ya moto wa kuchoma maiti hadi majivu ======== The Russian Ministry of Defence has been notoriously protective of data on the casualties suffered during Vladimir Putin's "special military...
  16. Econometrician

    Ripoti ya hesabu ya kura katika maeneo 15 yametoka,kuna la kujifunza!

    Jumla ya masanduku 45 yamekaguliwa katika,dosari zimejitokeza katika masanduku yote ya maeneo 6 kama yalivyobainishwa na upande wa Raila Odinga.
  17. OLS

    CAG akague hesabu za zoezi zima la Sensa…

    Agosti 23, 2022 tunatarajia kuwa na zoezi la sensa ya watu na makazi. Zoezi muhimu katika mipango ya sera na maendeleo ya Taifa. Hata hivyo mwaka huu tumeona matangazo yamekuwa mengi sana hadi inaleta maswali kama fedha za umma zimetukima ipasavyo. Uhamasishaji umekuwa mkubwa kama kuna mgomo...
  18. elmis

    Tarehe ya harusi na tarehe ya kuzaliwa: imedhamiriwa kwa kutumia hesabu

    Wasichana wengi hawawezi kubaki gizani kwa muda mrefu na wanataka kujua haraka iwezekanavyo wakati sherehe ya harusi iliyosubiriwa kwa muda mrefu itafanyika. Sayansi ya hesabu inaweza kusaidia na hili, ambayo inakuwezesha kujua tarehe ya harusi ya baadaye kwa tarehe ya kuzaliwa. Wasichana...
  19. Mpinzire

    Wataalam wa Tally, Excel, QuickBook na Hesabu mtusaidie ile 100.01% ya Chebukati imekaaje?

    Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%! Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine...
  20. Getrude Mollel

    Rais Samia Suluhu kufanyia kazi hoja za Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) Bandarini

    Mamlaka ya Bandari (TPA) imefanya upembuzi wa mifumo yake ili kushughulikia hoja za Mdhibiti wa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/21 ya kuwa mifumo inasomana na hivyo kudhibiti upotevu wa mapato. Vilevile, imebainisha kuwa kipindi cha kuanzia Julai 2021 hadi Juni 2022...
Top Bottom