madhara

Abu Ali al-Husayn ibn Ahmad al-Madhara'i, also known as Abu Zunbur ("the hornets' man"), was a member of the bureaucratic al-Madhara'i dynasty of fiscal officials, and served as director of finances of Egypt and Syria for the Abbasid Caliphate in the first decades of the 10th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    JamiiForums Tanzania Madhara ya nchi itakapowekewa vikwazo na Marekani

    Nchi inapowekewa vikwazo na Marekani hukabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni, kuporomoka kwa sarafu yake, na uhaba wa bidhaa muhimu kama dawa na vyakula. Kisiasa, nchi hiyo hutengwa kimataifa, hupoteza ushawishi kwenye diplomasia, na huingia katika hatari ya machafuko ya ndani kutokana na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Siasa za Matukio na 'Kutengeneza Uhalali': Barua kwa Dangote, Kongamano la 'Never Again' na Madhara yake kwa Taifa

    Wana JF, habari za weekend? Naleta mjadala huu mezani kama mwananchi nisiyefungamana na upande wowote wa kisiasa, lakini nikiwa na mapenzi mema na ya dhati kwa nchi yetu ya Tanzania. Kumekuwa na wimbi jipya la mbinu za kisiasa zinazofanywa na kundi linalojipambanua kama 'watetezi wa utawala...
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Vita vikianza tunashangalia, Madhara yake yakianza vilio kila kona, What goes around comes around, Tusali sana

    Kipindi vita vya iran vinaanza tulishangilia sana, niliamini, sisi hatuhusiki, kumbe ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji. Ona sasa achana na bei ya mafuta kupanda, Kuna hii timua timua makazini, acha tu, bado bidha kupanda na kazi imesimimama, polepole mtafikiwa, nyie chekeni.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kumtolea mtu figo

    Naomba kujua madhara ya kumtolea mtu figo na tahadhari gan mtu anapaswa kuchukua kabla na bahati ya kumtolea mtu figo
  5. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Ubaguzi

    Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula nyama ya mtu hutaacha utaendelea kula Walianza kwa wasio na vibali. Wakafuata kwa walio na vibali ila wageni Sasa wamekuja na jambo lingine wewe hata kama mzuru hakikisha unazungumza kizuru fasaha la sivyo na wewe mhamiaji haramu Tujiulize...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkaguzi Kata Iragua akitoa Mwongozo kwa Watumiaji wa Barabara kuepusha Madhara

    Mkaguzi Kata Iragua, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Ramadhan Abdalla, akitoa msaada na maelekezo kwa watumiaji wa barabara katika eneo la Nyanya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kufuatia changamoto ya upitikaji wa barabara ili kutokuleta madhara kwa vyombo vta usafiri na watumiaji wengine wa...
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani ya kutumia simu zisizopokea new software updates au security updates?

    Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security updates ifikapo 2027. Je simu kama hiyo na nyingine nyingi zisizopokea updates tena zina effects gani...
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya wanawake kutotunza jagina zao vizuri na athari yake

    Zamani ilikuwa ngumu sana kusikia habari za sisi wanaume kuitwa viba100. Kwa nini? Sababu wanawake wengi walitunza Jagina zao. Kwa sasa unakuta mwanamke humo ndani anaingiza tango, anaingiza mhogo n.k Bado hajaweka vipipi utamu, hajaweka magadi n.k hapo Jagina itakuwa the same kweli? Unakuta...
  9. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kuna bank Amana mkombozi na maendeleo

    Hizi ni bank za taasisi za dini . Azania ni bank ya waislamu .. Maendeleo ni bank ya kkkt.(kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania) Na mkombozi ni bank ya Rc (roman katholic) Sasa hizi bank 2 yaani mkombozi na maendeleo ukoenda kukopa unakopeshwa bila kujali dinije!kwa nini hii ya azania y...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa wizi wa nyeti kasababisha madhara makubwa

    Kuna baadhi wanadai ni kile chama cha majambazi lakini kiuhalisia hakina akili kubwa namna hiyo.. Maana chenyewe kiko hoi bin taaban chali kabisa Haya ni matukio yakuja na kupita Yapo Yalikuwepo Na yatazidi kuwepo Baadhi ambayo yaliwahi kuvuma sana ni Mtu joka wa buguruni TV za kumuona nwizi...
  11. Seran

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hola! 🙋🏽‍♀️ Ningependa kujua maoni yenu kuhusu bangi(420) pia huitwa weed, marijuana, ganja, n.k.. Kuna watu wanasema wanaitumia kwa kujisikia vizuri, kupunguza stress au hata kama dawa. Pia nimesikia kwamba baadhi ya watu wanaofanya kazi ngumu au zenye msongo mkubwa (kama hospitali au...
  12. 888I

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Uaminifu: Madhara ya Kuminya Habari na Mtego wa "Content Creators"

    Mimi ni Mwanahabari na Mtanzania Nasema ... Kuna huzuni nzito inayotanda ndani ya vyumba vya habari nchini,siyo huzuni ya kukosa vifaa au teknolojia, bali ni huzuni ya kuona taaluma yetu ikigeuzwa kuwa "kipaza sauti" cha upande mmoja, huku misingi ya uhuru wa kutoa maoni na kuchambua ukweli...
  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pamoja na kuwa huwa na enjoy lakini nataka kujua haina madhara kweli?

    Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao. Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi gani serikali haiamini ushirikina. Na huku ni nchi za watu. Hayo mambo imani zenu mbaki nazo huko huko...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yake madhara ya ukosefu wa elimu ya fedha kabla ya kukopa

    Ukosefu wa elimu ya kifedha unaweza kuathiri vibaya uwezo wako wa kufanya maamuzi sahihi ya kukopa, mara nyingi husababisha mzigo wa madeni usio endelevu, dhiki ya kifedha ya gharama kubwa, na ya muda mrefu.Bila uelewa mzuri wa dhana za kifedha kama vile uwiano wa riba na deni kwa mapato, watu...
  15. fundi bishoo

    JamiiForums Tanzania Mama anaenyonyesha kunywa P2. Kuna madhara?

    Kama kichwa kinavosema Mke wangu ananyonyesha sasa miezi 8 sasa sijaonja ile kitu leo nmegusa nmemwaga humohumo Akitumia p2 kuna madhara yoyote kwa madaktari Nimeenda pharmacy wamesema hakuna shida Nimekuja kwa familia yngu mnihakikishie na nyie aisee
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Moja ya faida kubwa ya mazoezi ukiachana na kujikinga na magonjwa ni, Kukinga viungo vya ndan kupata madhara

    Unapokua mtu wa mazoezi sana, faida kubwa ni kujiepusha na magonjwa yasioambukizwa kama vile matatizo ya insulin kupanda na kushuka ghafla(DIABETES)[KISUKARI], baadhi ya kansa na magonjwa mengine mengi basi faida ingine kuu ni misuli kukakamaa: faida yake niviungo ya ndan vinapata ulinzi wa...
  17. Josemyinga

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kutumia sukari nyingi

    ⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi? Sukari ni chanzo cha nishati mwilini lakini ikizidi huanza kuleta madhara badala ya faida Sukari hupatikana kwenye juice za viwandani, Biskuti, keki,pipi, vyakula vilivyosindikwa,chai au kahawa yenye sukari nyingi ⚠️Madhara ya kutumia sukari nyingi ni...
  18. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikigeuza kaburi

    Kama mnavyojua /ona makaburi mtu akizikwa yanakuwa yameelekezewa upande mmoja kama ni kusini kusini mashariki mashari je!kwa mfano makaburi sasa yameelekea mashariki ki marehemu wangu nikageuzia kaburi lake kusini je!kuna madhara gani?
  19. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali kupitia Waziri Mkuu tumesikia idadi ya mali zilizoharibiwa kwenye maandamano, basi tunaomba na idadi ya vifo

    Vitu vilivyochomwa vilivyoainishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ni pamoja na 1. Ofisi za Serikali 756 2. Vituo vya mwendokasi 26 3. Vituo vya Polisi 159 4. Vituo vya mafuta 672 5. Magari Binafsi 1642 6. Pikipiki binafsi 2268 7. Magari ya Serikali 976 Lakini jambo la kushangaza, serikali mpaka...
  20. adriz

    JamiiForums Tanzania Jumuiya za kimataifa haziwezi kufanya chochote dhidi ya serikali dhalimu zaidi ya matamko na vikwazo ambavyo madhara yanarudi kwa Wananchi

    Moja kwa moja. Kiuhalisia umoja wa mataifa na Jumuiya nyingine za kimataifa hakuna la maana wanalofanya katika kuwasaidia Wananchi wa kawaida katika mateso na manyanyaso kutoka kwa serikali zao na viongozi dhalimu . Mifano ipo mingi sana ila nimeweka michache hapo chini 👇⬇️ 1. Iraq chini ya...
Back
Top Bottom