madhara

Abu Ali al-Husayn ibn Ahmad al-Madhara'i, also known as Abu Zunbur ("the hornets' man"), was a member of the bureaucratic al-Madhara'i dynasty of fiscal officials, and served as director of finances of Egypt and Syria for the Abbasid Caliphate in the first decades of the 10th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Izato

    JamiiForums Tanzania Madhara anayoyapitia kiongozi muuaji

    Kuna madhara makubwa anayoyapatia kiongozi mwenye hatia ya mauaji hata kama ana mamlaka makubwa juu ya wananchi wake. Kuuwa ni dhambi kubwa kwa hiyo basi kuna madhara makubwa ya kisheria, kijamii, na kiroho ama kisaikolojia. Madhara ya Kisheria 1. Kufunguliwa kesi ya jinai mahakamani. 2. Rekodi...
  2. Vulmeko

    JamiiForums Tanzania Ubunifu wa Tundu Lissu utaleta faida au madhara kwa jamii?

    Tundu Lissu ameamua kufuata ubunifu wa wanasiasa na viongozi kama Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Mahatma Gandhi, Muammar Gaddafi, Julius Malema, Thomas Sankara na wengine. Hao walibuni mitindo ya mavazi na mwonekano, na wafuasi wengi katika jamii zao wakawaiga. Kuna uwezekano mkubwa watu wengi...
  3. B

    JamiiForums Tanzania CCM tutaendelea kujidanganya kwamba mikutano ya sasa ya CHADEMA haina madhara kwa CCM? Kweli?

    Ukisoma komenti zinazotolewa kwenye nyuzi zinazohusu mikutano ya chadema utaona kuna wanaccm sijui akili zimekuwaje. badala ya kufikiri tufanyeje ili kuiponya CCM na anguko kubwa tunabaki tunajifariji.kwamba Ccm wote tumeishia la saba ya vijini au? Dada yake Polepole kafika EU hatujiulizi...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

    Binafsi nimeona Madhara ya WiFi ya kiafya ambayo ni maumivu ya kichwa (body weakness creation) Nimethibitisha Je, wewe unamfaham Madhara mengine ya kiafya na vingine? Unasemaje kuhusu HOJA ya WiFi kusababisha maumivu ya kichwa?
  5. pandex bawasiri

    JamiiForums Tanzania Madhara makubwa zaidi ya bawasiri ni hali ya bawasiri kubadilika na kuwa seli Za KANSA

  6. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Uraibu gani unaonekana kuwa hauna madhara lakini unaweza kukuangamiza

    Kila binadamu dunia kuna kitu ambacho anapendelea kukifanya bila kujali icho kitu kina madhara katika nyanja tofauti tofauti kijamii,kiuchumi na kifamilia mathalani akifanya icho kitu anapata amani na furaha ya moyo Ni kitu gani ambacho lazima ukifanye hata iweje na unakipenda bila kujali...
  7. Informer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anthropic wazindua "Fable 5" na "Mythos 5" - AI yenye nguvu kuliko zote, lakini yenye kizuizi cha usalama. Tujadili madhara na fursa zake kwa Afrika

    Habari wakuu, Leo Juni 9, 2026, kampuni ya Anthropic (watengenezaji wa Claude) wamezindua mifano miwili mipya ya akili unde - Claude Fable 5 na Claude Mythos 5. Hii ni habari kubwa kwenye dunia ya teknolojia, na ina mambo ya kujadili hasa kwetu sisi tunaofuatilia masuala ya haki za kidijitali...
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Kuna mifano kibao ya watu maarufu na watu wa kawaida ambao maisha yao yaliathiriwa na matumizi ya pombe kupita kiasi. Wengine walipoteza Afya na maisha yao. Mifano ya watu maarufu kama Proff Jay ambaye aliwahi kuzungumza hadharani kuhusu athari za kiafya alizokutana nazo Kuna marehemu kibonde...
  9. enzo1988

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duh, kumbe ndege nao hufanya hii kitu!!! Halafu haina madhara kwao!!

    Masturbation among birds is ‘natural’ and should not be punished, say experts Study finds activity is not harmful or caused by stress of captivity – and is in fact more common in wild birds Mon 1 Jun 2026...
  10. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    Moja kwa moja.. Siku za nyuma nilienda Veta kuchukua cheti changu , niliistaajabu baada ya kupewa yule Dada aliyenipa aliniambia nisiweke lamination bila kuniambia sababu. Naomba kujua wajuzi je , ipi inawezekana kuwa sababu ya kuniambia hivyo na je , Kuna madhara yeyote niliweka ? maana...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Madhara ya nchi itakapowekewa vikwazo na Marekani

    Nchi inapowekewa vikwazo na Marekani hukabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni, kuporomoka kwa sarafu yake, na uhaba wa bidhaa muhimu kama dawa na vyakula. Kisiasa, nchi hiyo hutengwa kimataifa, hupoteza ushawishi kwenye diplomasia, na huingia katika hatari ya machafuko ya ndani kutokana na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Siasa za Matukio na 'Kutengeneza Uhalali': Barua kwa Dangote, Kongamano la 'Never Again' na Madhara yake kwa Taifa

    Wana JF, habari za weekend? Naleta mjadala huu mezani kama mwananchi nisiyefungamana na upande wowote wa kisiasa, lakini nikiwa na mapenzi mema na ya dhati kwa nchi yetu ya Tanzania. Kumekuwa na wimbi jipya la mbinu za kisiasa zinazofanywa na kundi linalojipambanua kama 'watetezi wa utawala...
  13. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Vita vikianza tunashangalia, Madhara yake yakianza vilio kila kona, What goes around comes around, Tusali sana

    Kipindi vita vya iran vinaanza tulishangilia sana, niliamini, sisi hatuhusiki, kumbe ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji. Ona sasa achana na bei ya mafuta kupanda, Kuna hii timua timua makazini, acha tu, bado bidha kupanda na kazi imesimimama, polepole mtafikiwa, nyie chekeni.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kumtolea mtu figo

    Naomba kujua madhara ya kumtolea mtu figo na tahadhari gan mtu anapaswa kuchukua kabla na bahati ya kumtolea mtu figo
  15. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya Ubaguzi

    Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula nyama ya mtu hutaacha utaendelea kula Walianza kwa wasio na vibali. Wakafuata kwa walio na vibali ila wageni Sasa wamekuja na jambo lingine wewe hata kama mzuru hakikisha unazungumza kizuru fasaha la sivyo na wewe mhamiaji haramu Tujiulize...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkaguzi Kata Iragua akitoa Mwongozo kwa Watumiaji wa Barabara kuepusha Madhara

    Mkaguzi Kata Iragua, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Ramadhan Abdalla, akitoa msaada na maelekezo kwa watumiaji wa barabara katika eneo la Nyanya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kufuatia changamoto ya upitikaji wa barabara ili kutokuleta madhara kwa vyombo vta usafiri na watumiaji wengine wa...
  17. Funny boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani ya kutumia simu zisizopokea new software updates au security updates?

    Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security updates ifikapo 2027. Je simu kama hiyo na nyingine nyingi zisizopokea updates tena zina effects gani...
  18. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madhara ya wanawake kutotunza jagina zao vizuri na athari yake

    Zamani ilikuwa ngumu sana kusikia habari za sisi wanaume kuitwa viba100. Kwa nini? Sababu wanawake wengi walitunza Jagina zao. Kwa sasa unakuta mwanamke humo ndani anaingiza tango, anaingiza mhogo n.k Bado hajaweka vipipi utamu, hajaweka magadi n.k hapo Jagina itakuwa the same kweli? Unakuta...
  19. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Kuna bank Amana mkombozi na maendeleo

    Hizi ni bank za taasisi za dini . Azania ni bank ya waislamu .. Maendeleo ni bank ya kkkt.(kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania) Na mkombozi ni bank ya Rc (roman katholic) Sasa hizi bank 2 yaani mkombozi na maendeleo ukoenda kukopa unakopeshwa bila kujali dinije!kwa nini hii ya azania y...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa wizi wa nyeti kasababisha madhara makubwa

    Kuna baadhi wanadai ni kile chama cha majambazi lakini kiuhalisia hakina akili kubwa namna hiyo.. Maana chenyewe kiko hoi bin taaban chali kabisa Haya ni matukio yakuja na kupita Yapo Yalikuwepo Na yatazidi kuwepo Baadhi ambayo yaliwahi kuvuma sana ni Mtu joka wa buguruni TV za kumuona nwizi...
Back
Top Bottom