madhara

Abu Ali al-Husayn ibn Ahmad al-Madhara'i, also known as Abu Zunbur ("the hornets' man"), was a member of the bureaucratic al-Madhara'i dynasty of fiscal officials, and served as director of finances of Egypt and Syria for the Abbasid Caliphate in the first decades of the 10th century.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania JKT hawafundishwi Katiba wala madhara ya Rushwa. Tunajenga taifa gani?

    JKT hawafundishwi Katiba wala madhara ya Rushwa. Tunajenga taifa gani? UVCCM wamejazwa kwenye jeshi. Jeshi la Wananchi limegeuka jeshi la CCM. Jeshi linalinda ugali wa Watala wakati wao wanaishi kifukara
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uzi huu tutakuwa tunapeana taarifa ya Matukio (Madhara) ya Super Elnino 2026/2027

    Wakuu kama tunavyojua TMA walitabiri kuwa mwaka huu Oktaba mpaka Desemba pia inaweza kuendelea mpaka February 2027 mvua kubwa za msimu wa vuli zitanyesha kupita kiasi (Super Elnino). Kanda ya Ziwa, Kaskazini na Pwani wanategemea hasa kupata mvua hizi. Aidha wataalam, serikali na viongozi wa...
  3. funaku

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Tunashuhudia madhara ya kuruhusu walimu kutoka nje ya nchi kuja kufundisha shule zetu za private

    Tunashuhudia wahitimu vilaza mno wasiojua kutofautisha R na L ...lakini waliokosa uzalendo na wenye matusi kwenye mbongo zao na ndimi zao. Kwangu mimi haya ni matokeo ya kuifanya Elimu kuwa ni biashara badala ya huduma muhimu kwa Taifa. Hatujachelewa ni muda muafaka sasa wa kuongeza regulations...
  4. britanicca

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kuchangisha wanachama na wafuasi wa vyama kwenye Bakuli ni ama mtalazimika kufuata mashart ya mafisadi au wanaharakati kisa wametoa pesa

    Vyama wekeni mifumo rasmi ya kupata pesa ya kuendesha shughuli za vyama! Au Kama Bado mifumo haijawa sawa bora mtahadharishe kabla ya kupokea pesa kwamba hatutaendeshwa nanyi kisa pesa yenu CHADEMA, Wanaharakati wana nguvu sana maana ndo wanachanga pesa kubwa inayoonekana Ila wanasahau kuwa...
  5. VanDon

    JamiiForums Tanzania Ni nini EL NIÑO na madhara yake

    Haya hapa maelezo kwa ufupi (njia ya picha) juu ya maana, inavyotokea, madhara, na tahadhari juu ya El niño.
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tuchukue tahadhari kuepuka madhara

  7. Kigongoi kwetu

    JamiiForums Tanzania Unyama wa Mwanadamu: Ukatili na Madhara Yake

    Kama ni kweli kabisa binadamu anaweza kumteka mwenzie kwa sababu kamkosoa au ametofautiana nae katika hoja na mawazo tofauti nakuamua kumuua; huyo ni MNYAMA. Kama ni kweli mwanadamu anashindana na kikundi kingine lakini alie kwenye kiti anatumia vyombo vyenye silaha kumwaga damu na wakati...
  8. Equation x

    JamiiForums Tanzania Unamwamini vipi huyo unaye mtuma akuletee vyakula vilivyopikwa, matunda na vinywaji?

    Kumekuwa na uhitaji mkubwa wa kutuma watu, hasa wengi hutumia waendesha bodaboda, kuwaletea vyakula mfano; chipsi, nyama choma, vyakula vilivyopikwa, matunda yaliyo katwakatwa, juisi n.k na kuwaletea sehemu walipo, iwe nyumbani, maofisini n.k Swali la kujiuliza, una uhakika gani kile...
  9. nadiegirlie

    JamiiForums Tanzania Kama kusingekuwa na madhara kitu gani ungependa kufanya?

    Kuna kile kitu unatamani kukifanya ila unaogopa matokeo baada ya kitendo,ni kitu gani hicho?
  10. Pakome

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen Z hawana madhara kwenye Taifa lolote lile, wanachotaka ni ajira na mitaji, vilevile hawapendi uongo

    Vijana wa Gen Z hawana madhara kwa Taifa lolote duniani Wanachotaka ni ajira na mitaji, haki pamoja na ukweli Vijana wa Gen Z wana upeo mkubwa sana wa akili, wanafahamu mambo mengi ambayo hayakuwa yakifahamika zamani Ni vijana wazuri, wema, watiifu, wadilifu na wachapa kazi sana ikiwa...
  11. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Jua madhara ya mrundikano wa sumu kwa utumbo wako

  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kula ugali kwa wingi

    Madhara ya kula ugali kupita kiasi: Ongezeko la uzito – ugali una wanga mwingi (calories nyingi), hivyo kula kwa wingi bila mazoezi kunaweza kusababisha unene. Sukari kwenye damu – ugali una glycemic index ya juu, hivyo unaweza kuongeza sukari haraka mwilini, hatari kwa wagonjwa wa kisukari...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Anadhalilisha “wasomi” wenzie; ndiyo maana ile ya PhD ya Urusi iligoma kukaa kichwani

    Haya ndiyo madhara ya Elimu mbalimbali; Mtu level za akina Bashite na Baba Levo lakini kutwa kuchwa kujikuta kukimbilia tu PhD pasipo kujua uzito wa hadhi hiyo kitaaluma. 🚮🚮🚮
  14. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania IJue U.T.I ,chanzo, dalili, madhara na tiba

    U.T.I NI NINI U.T.I. (yaani Urinary Tract Infection kwa kirefu) ni ugonjwa unaotokana na maambukizi (infection) katika mfumo wa mkojo (urinary tract). Maambukizi haya yanasababishwa na bakteria tunamuita E.coli ZIPI DALILI KUJUA UNA U.T.I 1. Kukojoa mara kwa mara na maumivu ukikojoa. Wengi...
  15. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ujue Ugonjwa wa GOUT, chanzo, dalili, madhara na tiba yake

    Gout/Jongo ni ugonjwa sungu wa jamii ya YABISI ambao umefahamika kwa miaka mingi sana. Inasadikika kuwa watu wa kwanza kuutambua ugonjwa huu walikuwa watu wa Misri, kunako miaka ya 2640BC. Mtaalamu wao wa tiba Hippocrates aliuita ugonjwa huu “Ugonjwa Wa Kumfanya Mtu Asitembee†na aliuhusisha...
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kutokunywa maji

    Kutokunywa maji ya kutosha kunaweza kusababisha madhara kadhaa mwilini: Madhara ya haraka (upungufu mdogo hadi wa kati) Kiu kali na kinywa kukauka Uchovu na kukosa nguvu Kizunguzungu na maumivu ya kichwa Mkojo kuwa na rangi ya njano iliyokolea na harufu kali Kupungua kwa umakini na uwezo wa...
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Madhara ya unywaji wa Pombe

    Madhara ya unywaji wa pombe: Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis) Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction) Kudhoofisha mfumo wa kinga...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wanachama za SADC wahimizwa kuwa na umoja wenye malengo kukabiliana na changamoto zenye madhara ya Kiuchumi

    Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri Julai 16, 2026...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto zenye uzinzi na madhara yake

    Maana ya Neno Uzinifu Mtu ambaye hana ndoa lakini anafanya tendo la ndoa huyo anaitwa mzinifu. Maana ya Pili Mtu ambaye ameoa au kuolewa anapofanya uzinifu anaitwa mwasherati Inawezekana watu wengi tuna amini kwamba ndoto zenye kuambatana na vitendo vya uzinzi ni kitu cha kawaida tu , na mara...
  20. Q

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini ni kirusi ndani ya vyama vya siasa, afutiwe uanachama haraka kabla hajaleta madhara.

    Joseph Selasini alikuwa ni miongoni mwa Wanamageuzi 15 waliounda Kamati ya Kitaifa ya Mabadiliko ya Kikatiba, The National Convention for Construction and Reform (NCCR) mwaka 1991, wakiongozwa na Mzee Fundikira, Mtikila, Marando, Lwamwai na wengine. Kwenye kamati hiyo akiwa na Mabere Marando...
Back
Top Bottom