maji

  1. Tundusami

    Mwanamke akimwaga maji wakati wa tendo hakikisha unamdai hela yako

    Mwanamke akilimwaga lile kojo wakati wa tendo kwanza anakuwaga zaifu zaifu ataona we ndo kila kitu kwake mana ni wachache wana ujuzi wa kumtolesha mkojo. Asa we kama ulimpa ela idai ela yako nakuhakikishia atakurudishia ela yako na anaweza akakuongeza vilevile kwa kumkuna mpaka akatoa kojo.
  2. A

    KERO Sumbawanga: Kijiji cha Mayenje hakina maji takriban wiki tatu baada wafuasi waaliyekuwa diwani kudaiwa kukata mabomba

    Wananchi wa Kijiji cha Mayenje, kilichopo Kata ya Milepa katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga (DC), hatuna huduma ya maji safi kwa kipindi kisichopungua miezi mitatu. Chanzo cha tatizo hili kinadaiwa kuwa ni wafuasi wa aliyekuwa diwani wa kata ya Milepa kukata mpira wa bomba linaloleta...
  3. E

    Mradi wa Maji

    Wakuu kwema unaweza kufanya taratibu gani kuanzisha mradi wa kuuza maji katka jamii mfano ukauza island ila ukafunga kabisa na mifumo yote na mita utaratibu ukoje mpk ukamilishe kila ktu na faida yake inakuwa vipi msaada wakuu
  4. Royal Son

    Kipima ubora wa Maji (TDS Meter): Je, Maji unayokunywa ni safi? Linda afya yako na familia yako kwa kipima TDS

    💧 TANGAZO LA KIPIMA UBORA WA MAJI (TDS METER) 💧 Je, unajua ubora wa maji unayokunywa kila siku? Linda afya yako na familia yako kwa Kipima TDS cha maji! ✅ Hupima haraka kiwango cha uchafu kwenye maji ✅ Sahihi na rahisi kutumia ✅ Kidogo na rahisi kubeba popote ✅ Kinafaa kwa maji ya kunywa...
  5. Roving Journalist

    Aweso: Changamoto ya maji Kijiji za Baraki, Wilaya ya Rorya - Mara imesababishwa na bomba kukatwa na wanaodhaniwa kuwa wafugaji

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya maji iliyopo kwa Wakazi wa Kijiji za Baraki, Kata ya Baraki Wilaya ya Rorya Mkoani Mara baada ya kipande cha video kusambaa kikionesha Wananchi wakichota maji kwenye eneo ambalo halina maji safi na salama. Kusoma kilichotokea...
  6. BigTall

    KERO Responded Wananchi wa Baraki Wilayani Rorya wanachota maji yenye tope kwenda kupikia

    Hali ilivyo kuhusu changamoto ya ubahaba wa maji safi na salama kwa Wakazi wa Kijiji za Baraki, Kata ya Baraki Wilaya ya Rorya Mkoani Mara ambapo kuna takribani Kilometa 5 tu na lilipo Ziwa Victoria lakini huduma ya maji safi bado ni mtihani kwao. =========================== Hapo ni Kata ya...
  7. R

    Tarimba: Miaka 60 ya uhuru Dar es Saalam bado kuna shida ya maji, tusichukulie poa

    Akizungumza katika Bunge la 13, Mkutano wa Pili kikao cha saba leo Februari 4, 2026, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Tarimba Gulam Abbas amesema ni miaka sistini ya uhuru lakini jiji la Dar es Salaam bado inachangamoto ya maji, amesisitiza katika mpango wa maendele ya serikali kuweza kuzingatia...
  8. Keynez

    Wananchi wanajitutumua kujijengea nyumba bora, kuvuta umeme na maji kwa gharama zao halafu Serikali inashindwa hata kuwajengea barabara tu

    Huwa nawaza sana hili jambo. Wananchi wanajitutumua kujijengea nyumba bora tena wengi wanafanya hivyo bila mikopo maana serikali haijatengeneza mifumo rasmi na rafiki ya kukopesha kwa ajili ya kujenga nyumba za makazi. Wananchi hao hao wanalazimika kulipia gharama za kuvuta huduma za umeme na...
  9. A

    KERO Wakazi wa Goba, Mitaa ya Nasary & Mwanzo tunapata maji mara 3 au 4 kwa mwaka

    Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi. Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi...
  10. Roving Journalist

    Wananchi wa Kata ya Mbezi, Dar es Salaam: Hatuna maji, Wanawake na Watoto tunateseka

    https://www.youtube.com/watch?v=3QM423d5K-8 Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Mbezi, jijini Dar es Salaam, wamelalamikia ukosefu wa maji katika mitaa yao, hali wanayosema imekuwa changamoto kubwa kwa wananchi, hususan Wanawake na Watoto. Wananchi hao wametoa wito kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso...
  11. ELI COHEN

    Hadi sasa katika harakati zako za ujana maji ya moto, ni kitendo kati ya hivi haujawahi kugusa kabisa?

    1: punyeto 2: clubbing/pub 3: unywaji wa pombe/liqour/whiskey/wine/visungura/gongo 4: mihadarati (bangi, heroin, meth, cocaine) 5: utumiaji wa makahaba 6: kuwa na sponsor/mshangazi 7: kuangalia pornography 8: betting 9: kuwa na mchepuko 10: group/party sex 11: threesome 12: kutoa...
  12. R

    KERO Kibamba - Dar es Salaam wengi bado tunalazimika kununua maji ya chumvi

    Kibamba wengi bado tunalazimika kununua maji ya chumvi Licha ya Serikali kukiri kuwa Tanzania si masikini wa vyanzo vya maji, bado kero ya maji imeendelea kukithiri hasa kwa miji mikubwa kama Dar es Salaam. Kero hiyo imedhihirika tena mwisho mwa mwaka 2025, kwa jiji la Dar es Salaam kukumbwa...
  13. A

    KERO Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Ubungo na Mabibo hakuna, ni kama tunaomba msaada

    Hali ya maji Ubungo ni mbaya sana na DAWASA wapo kimya, hawatoi solution kwa Wananchi, kuna baadhi ya maeneo wiki ya nne sasa hatujapata maji, wenzetu wa Mabibo Makutano - Mtaa wa Kanuni nao ndio kabisa, maji kuna muda yanatoka kidogo tena kwa saa moja tu hali ambayo imedumu tangu Oktoba 2025...
  14. T

    KERO Wakazi wa Nyegezi (Mtaa wa Mpambije Street na Kumalija) Wanalazimika Kuchimba Visima vya Maji Kutokana na Ukosefu wa Huduma ya Maji

    Wakazi wa Nyegezi (Mpambije Street, Ellys na Kumalija) Wanalazimika Kuchimba Visima vya Maji Kutokana na Ukosefu wa Huduma ya Maji Ukosefu wa maji umeendelea kuwa kero kubwa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza, hususan katika mitaa ya Mpambije Street, Ellys na Kumalija, Nyegezi. Kwa kipindi kirefu...
  15. R

    KERO Dar: Jiji lenye vyanzo vingi vya maji ikiwemo Bahari lakini kila kukicha Wananchi “wana kiu ya maji”

    Dar es Salaam ni jiji lililo na mito inayotiririsha maji kuelekea baharini, lakini kwa muda mrefu kumekuwa na uhaba wa maji. Kwa muda mrefu jiji hilo limekuwa likitegemea maji ya mto Ruvu unaopita mkoani Pwani. Wakati wa ziara ya Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba akiwa mto Ruvu alidai tatizo la maji...
  16. A

    KERO Songea: Changamoto ya maji Eneo la Mkuzo imekuwa kero, mamlaka ya maji inafungua usiku saa 9 na kukata saa 11 alfajiri

    Ruvuma–Songea–Mkuzo kumekuwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji hapa Songea. Mamlaka ya maji (SOUWASA) wamekuwa wakifungua maji usiku kuanzia saa 9 na kuyakata tena saa 11 usiku, hali inayowaathiri wananchi wengi kushindwa kupata huduma kwa wakati unaofaa. Ni vyema wakajirekebisha na...
  17. A

    Wakazi wa maji chumvi walia na uchimbaji haramu wa mchanga unaotishia kuangusha nyumba zao

    Wakazi wa Majichumvi Mtaa wa Tembomgwaza-Kimanga, wilayani Ilala jijini Dar wamefunua vinywa vyao kulalamikia uchimbaji haramu wa mchanga pembeni ya Mto Luhanga unaofanywa na vijana, hivyo kusababisha mmomonyoko unaohatarisha kuanguka kwa nyumba zao. Kwa mujibu wa baadhi ya wakazi wa eneo hilo...
  18. D

    Jiji lisilo na maji wala barabara litakuwaje mwenyeji wa AFCON?

    Hebu tutafakari kwa pamoja Wakuu, Vigezo gani vilitumika na CAF kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027? HIYO NI KESHO TU ETI Kwanza, Kenya na Uganda wamekwishamaliza ujenzi wa viwanja vitakavyotumika kwa fainali hizo, Tanzania bado nywinywinywi hakuna kitu Dar es Salaam ambayo ndiyo...
  19. Damaso

    Je, chemchem ya maji ya Kilimanjaro ni Kweli au Propaganda za Masoko?

    Kwanza kabsa; uzi huu hauna maana yoyote ya kuharibu biashara zozote za Makampuni ya Bonite pamoja na Azura. Kwenye biashara mitaa bhana siku hizi kuna simulizi zinazosisimua: tone la mvua linasafiri kwa miaka 20 ndani ya miamba ya Mlima Kilimanjaro, likichujwa kiasili hadi kufikia kitalu cha...
  20. ESCORT 1

    Wachina waja na maji haya, wanaliteka soko mdogo mdogo

    Jana nipo Kariakoo nikaagiza maji nikaletewa maji haya muuzaji akinambia yanaitwa “Mshangazi” ikabidi nicheke. Nikaambiwa wengine wanayaita “Bonge la Dada” Mchina kaja na maji mengi kwa bei ileile nafuu, yaani 1.8L Wazawa wamelala, wakija kushtuka hawana chao
Back
Top Bottom