kiroho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Je sayansi imeweza kuelezea kila kitu au hata yenyewe ina limitations zake? haswa kwa dunia ya kiroho na imani ni ukweli upi upo nyuma yake

    KAribuni
  2. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    Mimi namwamini Mungu katika Yesu kristo na President ambitionist SINA KANISA HUDUMA YANGU NI ONLINE Anzia page ya 5 post ya 100 ndo mistari inapoanzia na itakupa mambo yafuatayo Itakupa wazo jipya kwenye fikra zako na mbinu za kufanya ili utoke hapo ulipo Kama kuna roho chafu itaziondoa...
  3. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Unabii Tanganyika: Kwanini tunapitia haya? Nini tafsiri yake kiroho!?

    Kiroho, nyakati ngumu zinazopita katika nchi ya Tanganyika hazitokei kwa bahati mbaya, bali hutafsiriwa kama kipindi cha mageuzi makubwa na mtikisiko wa kiungu ili kuandaa taifa kwa hatua mpya. Katika mtazamo wa kinabii, dhoruba za kijamii, kiuchumi, au kisiasa ni ishara kuwa ulimwengu wa roho...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa watu zamani kwa mwanaume na mwanamke hata kiroho

    Wakati wa sasa ni watu wengi sana wanafahamu habari ya maandiko kutoka kwenye vitabu vya dini. Jamii ya kiswahili inafahamu uwepo wa dini nyingi na hasa dini mbili uislamu na ukristo. Watu wa zamani pamoja na mambo yote walielewa uwepo wa nguvu za aina mbili katika uwepo, yaani uwepo wa nguvu...
  5. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Tanzania Stand Up, Heshima kubwa kwa Viongozi wa Kiroho wa Nchimbi na Mpango

    Nina heshima kubwa sana na viongozi wa kikatolic waliomlea Nchimbi na Mpango. Hawa jamaa wapewe heshima kubwa, Ni catholic church pekee ambalo limesimama na Watanzania Ni hawahawa Catholic walimfanya JPM ajutie kuwa Mkatolic! It is no joke hawa watu wana utimamu wa akili against all myths na...
  6. Diwani

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanavyodanganywa na kudanganyana kuhusu ulimwengu wa kiroho kati yao na Wanaume.

    DHANA YA KUELEZEA MAMBO KWENYE USAWA imewagharimu sana Wanawake hususan linapokuja suala la kuelezea masuala ya muundo wa kiroho kati yao na Wanaume. Wanadhani gharama ya ZINAA inavyomuathiri Mwanamke ni sawia linavyomuathiri Mwanamume. Wanashindwa kuelewa kuwa, miili yetu ina operate kwenye...
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Ndoa ni suala la kimila. Inatakiwa kufanyika kwa kufuata taratibu za mila na desturi za utamaduni husika. Unaenda kufunga ndoa yako kanisani kwa mujibu wa mila na desturi za wazungu/wayahudi kwani wewe mzungu/myahudi? Utamaduni wa wazungu/wayahudi unakuhusu vipi wewe msambaa wa Lushoto...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Ulimwengu wa Roho: Siri 7 za Kichawi na Kiroho Kuhusu Paka

    Kwa karne nyingi, paka hawajawahi kuwa wanyama wa kawaida wa kufugwa. Tangu enzi za Misri ya Kale hadi zama za wachawi wa Ulaya, viumbe hawa wameonekana kama madaraja kati ya ulimwengu wa nyama na ulimwengu wa roho. Hizi hapa ni siri saba zinazothibitisha nguvu zao za kichawi: Macho yao huona...
  9. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Ndugu yangu epuka mambo haya (7) kiroho sio mazuri

    NDUGU YANGU EPUKA MAMBO HAYA (7) KIROHO SIO MAZURI 1)USIPENDE KUFAGIA USIKU 🌘kufagia usiku kiroho nikutupa baraka za mafanikio gizani 2)KUSHIKWA KICHWA 💆ukiona nafasi yako ya mafanikio ipo sawa epuka kabisa mtu kushika kichwa chako mtu anaweza kukugeuzia mambo kupitia kichwa chako 3)SEHEMU...
  10. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Huu picha ina maana kubwa sana kiroho, ama kweli hela ngumu

    Upindeeeee
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Lango la Kiroho la July 1 na uhusiano wake katika Ulimwengu wa Giza

    Tarehe 1 Julai inawakilisha lango kuu la kiroho la katikati ya mwaka (Mid-Year Portal) linalogawa kalenda katika pande mbili sawa. Katika mifumo ya kiroho, tarehe hii si siku ya kawaida, bali ni majira ya mpito ambapo milango ya kiroho hufunguka ili kuruhusu mabadiliko ya kiutawala, tathmini...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania ISHARA KAMA HALISI: Usafiri wa Kijasusi wa Giza na Vita vya Kuteka Fahamu za Kiroho

    Katika ulimwengu wa roho uliogubikwa na usiri mkubwa na pazia la giza totoro, kuna mchezo hatari wa kijasusi unaoendeshwa dhidi ya mwanadamu nao unajulikana kama "Ishara Kama Halisi." Huu ni mfumo wa hali ya juu ambapo nguvu hasi haziji zikiwa na sura za kutisha, bali hutengeneza mitego, maono...
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Leo ni Day👉26 Month 06 Year 2026.. Je unajua tafsiri yake kiroho?

    Kiroho na kihesabu (Numerology), tarehe ya leo Juni 26, 2026 kubeba Nishati ya Namba 8, ambayo ni namba yenye nguvu kubwa ya mafanikio ya kifedha, mamlaka, na uwiano wa kimaisha (Karma). Hii ina maana kuwa mambo au makubaliano yatakayofanyika leo yana nafasi kubwa ya kuwa ya kudumu, yenye...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa mtazamo wa kiroho namba 369

    Namba hii 369 tofauti na namba zingine inachukuliwa kama namba takatifu inayobeba ufunguo wa siri za Uumbaji na ufahamu wa juu wa mwanadamu. Haionekani kama tarakimu za kawaida za hesabu, bali kama alama ya mtetemo wa kiungu unaounganisha nia ya mwanadamu na nguvu kuu ya Ulimwengu. Unapoiona...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Macho, mikono na miguu yako katika tafsiri ya kiroho

    Kwako vinaweza kuwa viungo vya kawaida vya mwili Ulimwengu wa kiroho unatambua viungo hivi kama nyenzo kuu za hatimiliki ya mwanadamu, ambapo 1. Macho yanawakilisha ufunuo na maono 2. Miguu inaashiria hatua na maendeleo 3. Mikono inabeba mamlaka ya uzalishaji. Kwa maana hiyo basi .Macho ya...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ufunuo wangu: Ardhi takatifu ya Tanganyika na vita ya kiroho toka majini

    Ardhi ya Tanganyika haitazamwi tu kama eneo la kijiografia, bali kama madhabahu takatifu iliyowekewa wakfu kiroho. Tainsi ya kupigania uhuru na awamu za uongozi wa nchi, utulivu na amani ya kipekee ya eneo hili vinatafsiriwa kama neema maalum na kibali cha kimungu kilichopo juu ya udongo wake...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nuru ya Imani Katika Giza la Wasioamini: Wito wa Upendo na Ushuhuda wa Kiroho

    1. Kiu ya Kiroho na Fumbo la Imani Imani sio milki ya walio ndani ya nyumba ya ibada pekee, bali ni mbegu ya kiungu iliyopandwa ndani ya kila mwanadamu. Hata moyo wa mtu asiyeamini hubeba kiu ya siri ya kutafuta ukweli, amani, na chanzo cha uzima. Katika ulimwengu wa kiroho, kukataa kuamini...
  18. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha jina la "Daddy" kwa Viongozi wa Kiroho?

    Naona imekuwa trend siku hizi kwa Nabii, Mtume, Mchungaji haswa hawa kwenye makanisa binafsi ya kiroho kuitwaa Daddy! Dadii una mgeni... Dadii tukuletee chai... Dadii Mzee Fulani amekuja tayari... Masanja anaitwa daddy Myamba anaitwa daddy Mwamposa anaitwa daddy Malisa anaitwa daddy Yule wa...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Uono wa kiroho.. Pale taswira inapobaki tupu

    Ni jambo la kutisha kidogo, lakini lipo kati yetu ndani ya familia zetu na koo zetu Unapopitia changamoto za kimaisha Kama Uchumi Mahusiano Biashara Masomo Afya na maradhi... Taswira yako kiroho hupotea mbele ya macho ya nuru kwa wengine Pale unapojaribu kumwangalia mtu kwa jicho la ufahamu...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tumeugawa mwaka, tuko sehemu ya pili ya mwaka ama sehemu ya kwanza ya kipindi cha pili je unajua tafsiri yake kiroho?

    Kipindi hiki cha mpito kuelekea nusu ya pili ya mwaka kinabeba siri nzito inayotengeneza mstari wa mgawanyiko kati ya yaliyopita na yajayo. Haya sio mabadiliko ya namba kwenye kalenda tu, bali ni lango la kiroho linalofungua madhabahu mapya ya matokeo katika ulimwengu wa roho. Ni majira...
Back
Top Bottom