crdb

  1. Kichuguu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam wasiponyakua Kombe la CRDB basi ni Wafu

    Kati ya Timu nne zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za CAF ni Azamu tu ndiyo hadi sasa hivi haina tuzo yoyote. Angalia (1) YANGA: Community Shield, Mapinduzi, na NBC Premier (2) SIMBA: Muungano (3) AZAM: ................. (4) SINGIDA BS: CECAFA Itapendeza sana iwapo Azam nayo angalau...
  2. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania CRDB Mnakera sana katika huduma yenu ya SimBanking

    Kuna muda najiuliza kuwa hii App mliiweka ya kazi ipi hasa Tangu asubuhi Mtu wa miamala anashindwa kuhudumia wateja kwa kutumia Simbanking kisa huduma haipatikani Mara hii nimejaribu kununua umeme kwa mara 4 zote sipati majibu yeyote Mlituwekea huduma hii ya kazi gani? Mnakera sana ninyi.
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CRDB FED. Fainali ikipelekwa Zanzibar Simba hatoboi. Nawaambia kabisa hili Muelewe. Simba hamfungi Azam Zanzibar

    Mpango wetu ulienda kama ambavyo tulipanga. Scratch my back and i will scratch yours. Azam atufunge Shirikisho apite akapambane na Simba akachukue kombe akashiriki Kimataifa. Maana amewekeza sana kwenye usajili. Ni aibu akikosa shiriki CAF. Na ushindi wake kwetu usingemsaidia kitu kwenye ligi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Eric Shigongo aingia mkataba na CRDB ili kuwakopesha Wajasiriamali wa Buchosha

    Ofisi ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, imewakilishwa na Kerryn Mbatude katika kikao na Benki ya CRDB kilicholenga kuzindua rasmi ushirikiano wa kuwawezesha wananchi wa Buchosa kiuchumi kupitia mikopo kwa wajasiriamali. Akizungumza kwa niaba ya Mbunge, Kerryn Mbatude amesema Shigongo...
  5. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO KERO: CRDB BANK na makato hewa HEWA

    Guys guys guys, hawa CRDB hawako serious ni wezi aisee. Nina akaunti nao lakini sina kadi, baada ya kadi yangu kuisha muda siku renewe coz mda mwingi nafanya transfers pekee. Sio mtu wa kwenda ATM. Cha ajabu kila mwezi wanakata makato ya kadi kutoka kwenye akaunti yangu. Sielewi kwa kweli maana...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nsekela atunukiwa PhD, athibitisha Nguvu ya Maarifa katika mageuzi ya CRDB

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Abdulmajid Mussa Nsekela, ametunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Kusini (UNISA), hatua inayotafsiriwa kama ushahidi wa namna taaluma, utawala bora na uongozi wa kimkakati vinavyoweza kuibadilisha taasisi ya kifedha na kuleta...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB

    Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB Tunapaza sauti yetu kama wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuhusu changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa. Ni takribani wiki ya pili sasa baadhi ya wanafunzi wanaotumia...
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wateja wa CRDB Morogoro Manispaa wanaibiwa fedha zao kwenye akaunti bila wao kujua

    Kuna malalamiko kuhusu matukio ya upotevu wa fedha kwenye akaunti za baadhi ya wateja wa CRDB katika Manispaa ya Morogoro. Miongoni mwa walioathirika ni baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) pamoja na wateja wengine, ambao wamejikuta fedha zikitolewa kwenye akaunti zao...
  9. rich1

    JamiiForums Tanzania KERO CRDB na kero ya kuchelewesha muamala uliofanyika kimakosa

    CRDB kama mpo hapa naomba mlifanyie kazi hii kero ya kuchelewesha kurudisha muamala hasa kwa sisi mawakala wa CRDB, Yaani muamala(shs 237,800/=) Wangu una mwezi mzima mpaka leo ni danadana, tunaomba basi muwe serious maana hizo ni pesa za KAZI.
  10. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mkopo wa biashara kwenye benki kubwa NMB, CRDB & NBC

    Habari wananzengo, Naomba kuuliza Je ni Muda gani Mtu anapewa mkopo kama amekidhi vigezo vyote vya kukopesheka, ie ana dhamana, ana biashara iliosajiliwa, Bank statement zake ziko vizuri ?? Naomba kujua
  11. B

    JamiiForums Tanzania CRDB Yaunga Mkono Diplomasia ya Michezo ya Majeshi

    MONACO - Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya Taifa kupitia sekta mbalimbali kwa kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 81 wa Michezo ya Majeshi Duniani (81st CISM General Assembly) uliofanyika nchini Monaco kuanzia tarehe 1 hadi 9 Mei 2026. Mkutano huo wa...
  12. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Serikali iimulike CRDB Bank. Inadhulumu wateja kwa kiwango cha ajabu

    Bank ya CRDB ina makato ya hovyo na ya ajabu . Yaani hii benki unaweza kukatwa kila siku elfu 10 bila kujua. Wanakaa wanakata tu 1500, ukizubaa kidogo wanakata 3000 ukishangaa kidogo wanapita na sh. elfu 2, . Ukicheki statement wanaandika tu imelipwa. Bila kutaja umemlipa nani na kwa malengo...
  13. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mama Samia ubarikiwe sana kwa hii mikopo ya masharti nafuu kwa wakulima na wajasiriamali nchini pia naipongeza CRDB

    Hii ilikuwa ndoto yangu ya siku nyingi sana na sasa Mama Samia kaitimiza. Binafsi nilikuwa nakerwa sana jinsi mikopo ya halmashauri na mingine ya serikali ilivyokuwa ikitolewa. Ilikuwa haina mfumo mzuri kwenye kutoa hali iliyokuwa inatoa mianya ya watu kujipigia na kutoirudisha. Mimi siamini...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hiki wanachofanya benki ya CRDB ni unyanga'nyi wa peza za watu

    Takriban mwezi mmoja umepita nilinunua umeme wa Shiling 50,000 kwa kutuia APP ya simbanking. Nilisubiri kutumiwa token zangu za Luku akini sikuzipata. Kesho yake niliwapigia sim Tanesco nikidhani tatizo lipo upande wao lakini wakanihakkishia kwamba crdb hawaja 'generate' token. Nikachukua...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO CRDB Call Center hawapokei simu, ukipata dharura imekula kwako

    Jamii mtupazie sauti CRDB Call Center hawapokei simu, yaani kwakifupi sisi Wateja si kitu pindi unapopata dharura. Ukipiga Call Center inahitaji dakika 10 au zaidi waweze kupokea na mara nyingine hawapokei kabisa unasubiri dakika zote na mwisho simu inakata.
  16. B

    JamiiForums Tanzania Benki ya CRDB yadhamini Mei Mosi 2026, yashiriki kikamilifu

    Na Mwandishi Wetu Njombe. CRDB Bank Plc imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuunga mkono wafanyakazi na maendeleo ya taifa kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwa mwaka 2026 yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe. Maadhimisho hayo yameongozwa na Rais...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la CRDB: TRA United yaangukia kwa Mnyama, Yanga ikipelekwa jeshini

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa msimu wa 2025/2026, ambapo vigogo wa soka nchini wamepangiwa vibarua vizito mwezi Mei. Katika ratiba hiyo, klabu ya Simba SC itakuwa mwenyeji wa TRA United ya Chobwedo...
  18. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania CRDB Plc imetangaza gawio 2026 kwa wanahisa

    CRDB Bank Plc imetangaza rasmi gawio (dividend) kwa mwaka wa fedha ulioisha 31 Desemba 2025, na hii ni taarifa muhimu kwa wawekezaji wote wa Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). DIVIDEND DETAILS(TAARIFA ZA GAWIO) Dividend per share (Gawio kwa kila hisa): TZS 90 Declaration date (Tarehe ya...
  19. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC : CRDB Confederation Cup : 12/4/2026 Sheikh Amri Abeid Arusha

    Baada Ya Kubana, sasa Wanaachia. Dk 60 SSC 2 - 1 DFC
  20. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Hisa za CRDB PLC on DSE

    UCHAMBUZI WA CRDB BANK PLC (DSE) 1. Overview ya Kampuni (Business Position) CRDB Bank ni moja ya benki kubwa zaidi nchini Tanzania, ikiwa listed kwenye Dar es Salaam Stock Exchange. CRDB is a tier-1 commercial bank with strong presence in: Retail banking Corporate banking SME financing...
Back
Top Bottom