Kuna biashara ukiona matangazo yake unaweza kujenga picha kubwa sana kichwani. Video ni nzuri, picha ni kali, maelezo yanavutia na kila kitu kinaonekana cha kiwango cha juu. Mwisho wa siku unafanya maamuzi ya haraka kwa sababu umeamini kila kilichoonyeshwa kwenye tangazo.
Lakini ukifika dukani...
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku
Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya
Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko...
Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Maswa, Joseph Timothy Kaare, anakabiliwa na malalamiko yanayodai kuwa amekuwa akiendesha shughuli za baraza hilo kwa kutumia maamuzi binafsi yanayokiuka taratibu na miongozo ya Serikali.
Baraza hilo, ambalo lipo chini ya Wizara ya Ardhi...
Zaidi ya wananchi 470 wamepatiwa Hatimiliki katika banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo, Julai 5, 2026...
Mwaka 2022! Nilisafiri kwenda Lindi kikazi. Katika ile project tulikuwa tunazunguka wilayani na kwenye vijiji ndani ndani huko.
Nilikuja kufika sehemu Ruangwa kuna vijiji tulienda huko ardhi ni bei ya kutupwa.
Ekari inauzwa elf 10 hapa kama unanunua serikali ya kijiji (ukitaka nyingi)
Kama...
Kuna biashara ambazo zinakupa hela kidogo kidogo kila siku, lakini zipo biashara ambazo zinakaa kimya kwa muda mrefu halafu siku moja zinakushangaza kwa hela nyingi kwa mkupuo. Miongoni mwa biashara hizo ni ardhi, kilimo na madini. Unaweza ukahangaika miaka kadhaa bila kuona matokeo makubwa...
Habarini,
Ofisi za ardhi Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kuwatumia “watumishi wa kujitolea” licha ya wananchi kulalamikia jambo hili mara kwa mara kwenye ngazi husika.
Kuna watu wapo pale tangu 2010 wanajitolea tu hadi leo wakilalamikiwa wanapumzika kidogo halafu wanarudishwa kitu ambacho...
Anonymous (ffb0)
Thread
ardhi
jambo
kujitolea
manispaa
mara
mara kwa mara
ofisi
sumbawanga
wananchi
watumishi
Habarini,
Ofisi za ardhi Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kuwatumia watumishi wa kujitolea richa ya wananchi kulalamikia jambo hili mara kwa mara kwenye ngazi husika.
Kuna watu wapo pale tangu 2010 wanajitolea tu hadi leo wakiilalamikiiwa wwanapumzika kidogo halafu wanarudishwa kitu ammbacho...
Ardhi ya Tanganyika haitazamwi tu kama eneo la kijiografia, bali kama madhabahu takatifu iliyowekewa wakfu kiroho.
Tainsi ya kupigania uhuru na awamu za uongozi wa nchi, utulivu na amani ya kipekee ya eneo hili vinatafsiriwa kama neema maalum na kibali cha kimungu kilichopo juu ya udongo wake...
Mimi ni mmoja ya watu wanao amini katika ARDHI hasa zile ambazo hazijaendelea wengi hupenda kuita mapori au bush huko ndio mahali huwa napenda kutupia visent vyangu.
sina tofauti na mtu anae bet kwa muhind maana unaweza nunua pori leo baada ya miaka kadhaa unakuja unaambiwa nusu ya eneo lako...
Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026.
Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
Anonymous
Thread
ardhiardhi dodoma
bila
dodoma
hati
hati ya kiwanja
kiwanja
mchezo
nyumba
ridhaa
takukuru
Hivi karibuni Wazanzibari wamekuwa wakionyesha ubaguzi wa hali ya juu sana. je maandamano yajayo mali zao zitakuwa salama?
Je huko mbele Wazanzibari watakuwa na amani kukaa na Watanganyika kama majirani
Huwezi amini wametangaza viwanja kwenye mfumo wa tausi kama kutimiza majukumu tu. Wametoa siku tano za preview. Viwanja vilitakiwa kuanza kununuliwa tarehe 5/06/2026 saa nne kamili asubuhi.
Nimekaa kwenye mfumo saa tatu na dakika 50 ili kuwahi kununua. Lakini saa 10:00 inafika papo hapo eti...
Siri kuu na ya kustaajabisha ya kuwepo kwa mwanadamu imefichwa katika mchanganyiko wa kipekee wa mavumbi ya ardhi na pumzi takatifu ya Uzima.
Kabla ya mwanadamu kuwa kiumbe hai kinachotembea na kufikiri, alikuwa ni udongo tu usio na umbo uliolazwa mikononi mwa Muumba.
Katika wakati huo wa...
Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila mfanyakazi wa halmashauri ili akufanyie kitu flani ni anahitaji umlipe.
Nilikaa siku mbili nafatilia...
Kufuatia tukio la mwanaume mmoja aitwae Thomas Silayo, mkazi wa kata ya Tarakea Motamburu wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, kuuliwa na mtu anayedaiwa kuwa ndugu yake, wakati akisubiria muda wa kuanza kikao cha kunyoosha mipaka, kutokana na yeye kushinda kesi ya ardhi iliyodumu kwa zaidi miaka...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameagiza kusitishwa kwa mikataba ya muda ya watumishi wa Idara ya Ardhi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela huku akiahidi kuzungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi ili kuwahamisha watumishi waliokaa muda mrefu
Mtanda ameyasema hayo wakati akisikiliza...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imetakiwa kuhakikisha inawalipa kwanza fidia wananchi kabla ya kuchukua maeneo yao kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.
Mtanda amesema hayo katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata za Sangabuye, Bugogwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.