usajili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Yanga Msimu huu wa 26/27, unachekesha sana kama huna ndugu shabiki wa Yanga

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Inachekesha sana ila kama huna ndugu shabiki upande wetu utacheka sana LONDON BOY
  2. youngkato

    JamiiForums Tanzania Sababu 5 zinazofanya usajili wa jina la biashara kuwa muhimu kuliko unavyofikiria

    usajili jina la biashara ni hatua muhimu kwa mtu anayepanga kuanzisha au kukuza biashara yake. Hizi ni faida zake: 1. Hulinda jina la biashara yako Jina likisajiliwa, linakuwa salama na linapunguza uwezekano wa kutumiwa na mtu mwingine. 2. Huongeza uaminifu kwa wateja Wateja huamini zaidi...
  3. bless on

    JamiiForums Tanzania Gereza la Kidijitali: Je, Usajili Ni Pingu Yetu?

    Wanasema duniani hakuna kitu cha bure. Lakini vipi kama "urahisi" na "usalama" tunaopewa leo ndiyo pingu za kesho? Hebu piga picha: Unaamka asubuhi, unataka kununua mkate, lakini M-Pesa yako inakataa. Unajaribu kuingia kwenye basi la mwendo kasi, kadi inasema "Hujaruhusiwa." Unajaribu...
  4. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Tuletee mwanao leo tumlee kwenye level za kimataifa.

    SPROUTS PRE & INTERNATIONAL SCHOOL – UPANGA, DAR ES SALAAM Je, unatamani mtoto wako apate elimu bora katika mazingira salama, yenye upendo na yanayojenga msingi imara wa mafanikio? Sprouts Pre & International School inafungua rasmi Usajili wa Wanafunzi kwa Mwaka wa Masomo 2026. Tunapokea...
  5. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mpimbwe, Katavi kijiji cha Mwamapuli kuna geti linalokusanya ushuru wa mazao bila utatatibu

    Kuna malalamiko kutoka Kijiji cha Mwamapuli, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe mkoani Katavi, kuhusu geti linalodaiwa kukusanya ushuru wa mazao kinyume na taratibu. Kwa mujibu wa wanaotoa taarifa hizi, geti hilo halifanyi kazi mchana, bali huanza shughuli zake kuanzia jioni hadi usiku. Inadaiwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ada ya usajili wa mtoa Maudhui Mtandaoni kupungua kutoka 50,000 hadi 10000

    Akizungumza Bungeni Waziri wa Fedha amesema kuwa ili kupunguza ada za huduma za mauzo ya mtandaoni zinazotumiwa zaidi na vijana kama ifuatavyo: A: Ada ya maombi ya leseni ya huduma ya mauzo mtandaoni kupungua kutoka shilingi elfu hamsini hadi shilingi elfu kumi. B: Ada ya mwanzo ya mwaka kwa...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Huu Usajili wa Watangazaji wa Michezo kwenda Azam Media ni wa muda mfupi au moja kwa moja?

    Naona Azam anachukua watangazaji na wachambuzi wa Michezo wote kutoka vituo vingine. Wakina Dauda, Kumwembe, Mkalaboko, Meena Ally, Abissay, Ally Mayay, nk. KOMBE LA DUNIA | WAMEMWAGA WINO Ni timu ya watangazaji na wachambuzi wa kandanda (unaowajua), wakisaini makubaliano ya kufanya kazi hiyo...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    1. Vilabu vya Yanga na Azam vinawania saini ya Ramadhani Chobwedo kutoka TRA United 2. Buba Jmameh ataachwa na Yanga mwishoni mwa msimu huu ( Done deal) 3. Kelvin Nashon anatakiwa na Simba SC. ( Done deal) 4. Mohamed Bajaber ataachwa na Simba SC mwishoni mwa msimu 5. Ladack Chasambi anaweza...
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Meya Kinondoni: Wamiliki wa Swimming kwenye hoteli na nyumba binafsi watalipa laki 1 ya Usajili na 50, 000 kila baada ya miezi 6

    Akizungumza katika mahojiano na Millard Ayo Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge, ameendelea kushikilia msimamo wa kutoza ushuru na ada ya usajili kwenye Swimming Pools usajili huo utahusu mabwawa yaliyopo katika maeneo mbalimbali yakiwemo mahoteli, shule, na nyumba binafsi. Utaratibu...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Baraza la Madaktari Tanzania laongeza muda wa usajili wa madaktari hadi Aprili 30, 2026

    Watoa huduma za afya nchini Tanzania wamepewa nyongeza ya mwezi mmoja kukamilisha usajili wa lazima wa kitaaluma, kufuatia malalamiko mengi kuhusu changamoto za kiufundi katika mfumo wa mtandaoni. Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) hapo awali lilikuwa limeweka tarehe 31 Machi 2026 kama mwisho...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya usafiri wa Baharini (ZMA): Tumefuta usajili wa Meli iliyokamatwa El Salvador, japo hatujapokea taarifa rasmi kupitia njia za kidiplomasia

    Mamlaka ya usafiri wa Baharini (ZMA) yatoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zikidai kukamatwa kwa Meli yenye usajili (TZIRS). Katika taarifa hiyo mamlaka imesema kuwa ilipata taarifa kupitia vyombo vya habari na mitandao rasmi za Mamlaka za Jamhuri ya El Salvador...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usajili Mashinani takes National ID Cards to underserved areas

    The Usajili Mashinani programme is advancing the Government’s inclusion agenda by bringing National ID registration services directly to remote and pastoralist communities. Led by the Ministry of Interior and National Administration, the initiative targets populations that have long faced...
  13. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi UDOM tunalipia gharama ya hosteli lakini ukikamilisha usajili unaambiwa vyumba vimejaa, tunalazimika kubebana

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) tumelipia gharama za hostel lakini cha ajabu tunaambiwa vyumba / hostels zimejaa ilihali Mwanafunzi umeshalipia gharama za hostel. Kibaya zaidi mfumo wa Chuo (SR2) unakulazimisha ili ukamilishe usajili lazima ulipie accommodation fee (gharama ya hostel)...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Lengo lao la kutaka CCTV camera ziwe na usajili ni nini?

    Turudi nyuma tukio la lissu kupigwa risasi eneo wanapoishi wabunge.CCTv zote ziliondolewa na kulikuwa hakuna usajili. Nilichogundua sehemu zita kazokuwa na CCTv wakifanya utekaji wao wataweza kuzibiti taarifa na kukanusha kama hakuna tukio. Na huu usajili utaweza kujua jirani ,location na wapi...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania TISS ilitakiwa kuwa usajili wa wazi ili kuondoa haya mambo yenu maana weledi hakuna

    Yale mambo sijui nyerere aliweza kufanya kwa kificho kuweka usalama wa taifa anaotaka kwa sasa yamepitwa na wakati ndio matekeo ya leo yani hata magaidi yalivyoingia mkuranga wao walikuwa wapo wapo tu. Kinacho waogopesha ni nini hii idara ikawa wazi kila mwenye taalamu anaweza kujiunga na nyie...
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna gari zinaruhusiwa herufi “I” kwenye usajili

    Wonders shall never end,
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania NIDA yatoa kibali maalum kwa marekebisho ya taarifa za usajili wakiwemo waathirika wa vyeti vya kughushi katika ajira za Serikali

    Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji, ametangaza kibali maalumu cha mwaka mmoja cha kuruhusu marekebisho ya taarifa za usajili ambazo zilikwama kutokana na kukinzana na taratibu za uthibitishaji, ikiwemo matumizi ya nyaraka za kughushi na taarifa za uongo. Kibali hicho, kilichoanza kutumika...
  18. M

    JamiiForums Tanzania TEC wafutiwe usajili

    Kama ilivyotoke kwa makanisa ya Gwajima. Wanaangiza taharuki kwa jamii
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Zanzibar wamebadirisha mfumo wa usajili wa magari kutoka Z123AB kwenda Z123ABC!

    Nadhani baada ya kuona namba zinakimbia (zimeshafika PG hivi) ZRA wameona isiwe shida. Tufanye kama wenzetu bara kwa kutumia herufi tatu kwenye usajili wa magari badala ya mbili. Zoezi ilo limeanza rasmi mwezi huu wa October na litakua endelevu kwa muda utakaotangazwa. Kwahiyo huko unaweza...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Usajili taasisi ya mikopo

    Kwa wale wanaohitaji kusajiri Taasisi za kutoa huduma ndogo za kifedha (Microfinance / Microcredit ) karibu tufanye kazi uweze kupata leseni ya Mammlaka husika BOT Pia kama unahitaji kusajiri kampuni karibu tukuhudumie Mawasiliano 0652659775 Normal call & Whatsapp
Back
Top Bottom