mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Saad30

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka kuzama kwenye penzi na mwanamke wa mtandaoni

    Habari ndugu zangu. Wewe mwanaume mwenzangu usije ukazama kabisa penzini na mwanamke uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii Hadi ukafikia hatua ya kutaka kumuoa. Mmekutana huko mkaanza mapenzi siku mkikutana macho macho kula kitumbua fresh kabisa lakini usiingie mazima "UTAJUTA" Sasa...
  2. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Fursa za Kazi za Remote (Mtandaoni) kwa Wataalamu wa IT, Biashara na Anga: Jiunge na Alignerr ($30 - $100+/hr)

    Habari wakuu, Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini jeshi la mtandaoni la JPM waliacha kusapoti awamu ya sita ya mama?

    Kusema ukweli enzi za JPM alikuwa na watu mtandaoni haswa. Kama hapa JF alikuwa na Kijiji kweli cha watu, wanaanzisha nyuzi mpya kila dakika, wanashambulia nyuzi kujibu mashambulizi, wanaripoti accounts au nyuzi zifungiwe au ziondolewe na wanatishia watu ikibidi. Jina la buku saba lilianzia...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa Mtandaoni mmewahi kukutana na wateja matapeli, Ilikuwaje?

    Licha ya wateja kulalamika kuhusu matapeli wa biashara mtandaoni lakini pia kuna wateja matapeli. Kuna rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo sasa kuna siku akapata Delivery Kimara Temboni. Mteja akamwambia atalipia mzigo ukifika. Basi bwana boda akaja dukani kachukua mzigo kaelekea Kimara...
  5. TheForgotten Genious

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuweni makini na hawa wapenzi wa mtandaoni

    Mwaka 2023 kama sio 2024 niliweka uzi hapa unaohusu upweke na kujitenga sana kwa upande wange,basi kuna dada mmoja akanifuata pm,tukawa tunachati baadae tukawa tunawasilia kwa whatssap,yeye ni mwalimu ndio alikuwa ameripoti huko RUVUMA,ni mchaga na ana dada yake hapa dar,anawatoto 2 wote wa baba...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ukiwaona watu wakieneza chuki na matusi mtandaoni, huwa unachukua hatua gani?

    Eti Wakuu, Kwa upande wangu hii ni tabia ambayo huwa hainivutii kwani siyo muumini wa kusoma au kukabiliana na lugha isiyofaa na kwa kweli wakati mwingine mtu mwenye tabia hii hufikia hatua ya kum-block ili nisiendelee kuona vitu vyake anavyoandika mtandaoni vyenye lengo la lugha ya chuki na...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini kumekuwa na story nyingi sana za kutunga mtandaoni Tanzania?

    Nini kimetokea kuanzia JamiiForum, Facebook, Twitter na Instagram raia wengi wa Tanzania hasa vijana wanaposti visa au story nyingi mbalimbali za matukio ya uongo tu ya kutunga ya mahusiano, ndoa, uchawi n.k ?
  8. Digital base

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtu wa mauzo ya bidhaa za Afya mtandaoni (kazi ya kudumu)

    Tunatafuta mtu wa mauzo wa muda wote atakayeweza kushughulikia na kuwasiliana na wagonjwa, kufanya ufuatiliaji, na kuwashawishi wateja kupitia simu na mitandao ya kijamii kama WhatsApp. Mtu anayeweza kuwasiliana kwa simu na kufanya ufuatiliaji mara kwa mara atapewa kipaumbele. Kazi hii ina...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ripoti: Akili Unde (AI) yachochea ongezeko la ukatili mtandaoni dhidi ya Wanawake Duniani

    Ripoti ya The Economist Intelligence Unit (EIU) kwa kushirikiana na mashirika ya Umoja wa Mataifa kama UN Women na UNFPA inasema kuwa ukatili unaochochewa na teknolojia na mifumo ya Akili Unde (AI) umekuwa dharura kubwa ya kimataifa, ambapo kati ya asilimia 16 hadi 58 ya wanawake duniani...
  10. Bishop Hiluka

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya matapeli wa mtandaoni na kampuni ya TTCL?

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilituhakikishia kuwa hatua mbalimbali zilizochukuliwa zimepunguza kwa kiasi kikubwa, au hata kutokomeza, utapeli wa mtandaoni. Hata hivyo, uzoefu wangu binafsi unaonyesha taswira tofauti. Katika kipindi cha miezi mitatu tu iliyopita, nimepokea jumbe nyingi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ada ya usajili wa mtoa Maudhui Mtandaoni kupungua kutoka 50,000 hadi 10000

    Akizungumza Bungeni Waziri wa Fedha amesema kuwa ili kupunguza ada za huduma za mauzo ya mtandaoni zinazotumiwa zaidi na vijana kama ifuatavyo: A: Ada ya maombi ya leseni ya huduma ya mauzo mtandaoni kupungua kutoka shilingi elfu hamsini hadi shilingi elfu kumi. B: Ada ya mwanzo ya mwaka kwa...
  12. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, uko salama mtandaoni au unatoa taarifa zako kwa wahalifu wa mtandao bila kujua?

    Kila siku mamilioni ya watu duniani hutumia simu, kompyuta na intaneti kwa mawasiliano, biashara, masomo na huduma za kifedha. Hata hivyo, kadri matumizi ya teknolojia yanavyoongezeka, ndivyo hatari za uhalifu wa mtandao, wizi wa taarifa na udanganyifu wa kidijitali zinavyoongezeka pia. 🛡️ Kozi...
  13. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wanatuonesha maziwa na matako mtandaoni kwa kigezo cha kunadi biashara ya nguo za ndani; Serikali haiwaoni?

    Kwanza nikiri huyu dada ni chuma haswa yani ni mzuri mpaka mzuri tena Ana rangi ya chocolate, macho mazuri na shape pia mashaallah anayo. Ana biashara yake ya kusimamisha maziwa na yeye mwenyewe ndiye anayefanya kama sampuli kuvutia wateja ila sasa kukaa kifua wazi kabisa bila chochote...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Epuka kuonesha ncha za vidole vyako kwenye picha, kwani matapeli wa mtandaoni wanaweza kuiba alama zako za vidole

    Umekuwa ukiweka pozi la vidole viwili juu (maarufu kama Peace Sign) au lile pozi la Kikorea la kusugua vidole (Finger Hearts) kila unaporusha selfie mtandaoni? Jinsi AI Inavyofanya Kazi Zamani, ukipiga picha kwa mbali, picha ya vidole vyako ilikuwa ikionekana kwa ukungu (blurry) kwa jicho la...
  15. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, unatakiwa kuamini kila taarifa unayoiona mtandaoni?

    Kila siku tunazungukwa na maelfu ya taarifa kutoka TikTok, Instagram, Facebook, YouTube, Google, WhatsApp, blogs, na AI tools. Tatizo kubwa ni kwamba sio kila taarifa ni ya kweli, sahihi, au yenye manufaa. Watu wengi wanaathiriwa na fake news, propaganda, misinformation, scams, na information...
  16. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, kazi za mtandaoni ndiyo future ya ajira duniani?

    Katika dunia ya sasa, watu wengi wanaanza kuachana na mfumo wa kawaida wa kusubiri ajira za ofisini pekee. Internet imefungua milango mipya ya kazi za online, freelancing, remote jobs, na opportunities ambazo unaweza kufanya ukiwa popote. Lakini swali kubwa ni: 👉 Watu wanapataje kazi online? 👉...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO 25.6% ya makato kwa Madereva wa Tax Mtandaoni ni kutunyonya sana, hali hiyo inatuumiza

    25.6% ya makato kwa Madereva wa Tax Mtandaoni ni kutunyonya sana, hali hiyo inatuumiza Madereva wa Tax Mtandaoni tunanyonywa sana hasa Kampuni ya Bolt inakata kamisheni 25.6% katika kila safari jambo inaumiza sana na ukizingatia kutokana na uhaba wa ajira vijana wengi tumeamua kujiajiri lakini...
  18. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Leo nataka kushare kitu muhimu sana kuhusu jinsi ya kuuza online (mtandaoni)

    Kupitia mafunzo ya ChuoSmart, nimegundua kwamba kuuza online siyo tu kupost bidhaa na kusubiri wateja waje. Kuna mfumo mzima unaohitaji mkakati na uelewa sahihi. Mambo muhimu ya kuzingatia: ✅ Muelewe mteja wako Usiuze kila kitu kwa kila mtu. Jua unamuuzia nani, ana shida gani, na unatatua vipi...
  19. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Ujio wa AI umesababisha nisiamini chochote minachokiona mtandaoni

    Kuna mahala inafika unaona kabisa AI inachukiza sana maana kwa sasa ni ngumu kujua ipi video halisi ipi video ya kutengeneza . Kwa sasa kila nikiona video hata iwe na uzito kiasi gani nashindwa kuichukulia serious . Na wengi wanaoongoza kuleta video za AI ni wanaharakati uchwara wasiojielewa...
  20. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Mtandaoni kila mtu daktari, Figo Figo mna uhakika?

    Kupima kwenu kwa macho kunawaponza mzungu sio mjinga kuweka vipimo sio kila homa ni malaria
Back
Top Bottom