Mama mmoja, kwa jina la Kalie Robins, ameibua wasiwasi kuhusu namna tool ya Meta AI inavyoweza kutumia taarifa zilizowahi kuchapishwa mtandaoni kukusanya na kuhusisha taarifa binafsi.
Kwenye video hii Robins anasema alichapisha video iliyokuwa ikimuonyesha yeye na binti yake wakiimba ndani ya...
Kwanza ni upotezaji wa Muda, Pili Magufuli alijaribu akafeli, tatu Tanzania si wajinga wako anonymous!
Wanaweza sumbua watu maarufu na wamiliki wa Platform kadhaa lakin si mtu simple
Hii wanasema ianze September 4/ 2026
Britanicca
Wakuu najua jf hii ina watu wengi sana ebu tupeane michongo tutoane tongotongo.hivi ni ujuzi Gani ukijifunzia unaweza kufanya kazi kama remote hata kama ukiwa Tanzania job unafanya na unapata kipato Kwa njia ya mtandaoni?
Najua platform ni nyingi sana je ni Zipi? Wakuu ambao mko mambele au...
Habari za Sabato!
Leo huko Tiktok, instagram, na Facebook habari kuu ni mabaharia waliorudishwa kutoka South Afrika.
Aiseeh! Uwanja wa comments watu wanamwaga upupu sio poa.
Kejeli
Dhihaka
Matusi.
Basi ilimradi. Ni kweli ni uhuru wa maoni lakini tuangalie jamani.
Hawa ndugu zetu ni kama...
dewji
foundation
jina
kwa jina
kwa majina
line
majina
makampuni
makampuni ya simu
matangazo
matapeli
mikopo
mo dewji
mo dewji foundation
mo foundation
mtandaoni
simu
wananchi
zao
Mteja anapotafuta jina la biashara yako mtandaoni na asilipate, anafikiria nini? Huenda akaanza kujiuliza kama biashara bado ipo au inaweza kumsaidia. Mara nyingi hatakupigia simu kuuliza. Na kama profile ya biashara yako kwenye Google haina hata namba ya simu, hapo ndo imeenda kabisa. Atahamia...
Kuna utapeli wa aina nyingi sana kwenye miamala ya kifedha na mtandaoni, kila siku wezi wanabuni mbinu mpya.
Umakini unahitajika sana, hesabu pesa na kucheki balance kila unapofanya muamala wa kupokea kwani hata mawakala nao wanatapeli wateja, kutuliza akili ni jambo la muhimu sana.
Usikubali...
Siku hizi kutokana na mambo mengi uhitaji wa mikopo umeongezeka kwenye jamii. Hivi sasa pia kuna kampuni zinazokopesha mtandaoni kwa njia ya kijiditali, jambo ambalo ni zuri na linarahisisha mambo.
Cha kushangaza mikopo hii ni kausha damu, haifati viwango vya riba vilivyowekwa na benki kuu ya...
Muonekano wa hivi karibuni wa rapa mkongwe wa Marekani Lil’ Kim umezua mjadala mkubwa mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionyesha wasiwasi na wengine wakikosoa tabia ya wanawake kukataa miili yao na kutaka miili ama maumbo mengine ambayo huishia kuwaletea madhara.
Video na picha za Lil’...
Kama Kuna kitu hujawahi kukigundua kwa muda mrefu basi ni hii👉 "Namna picha ya profile yako inavyokuelezea wewe ni mtu wa aina gani ndani na nje ya mitandao ya kijamii."
Hata hapa jamiiforums kabla yakusoma hoja ya mtu, kabla hujaangalia mada zake, na hata kabla hujajua yuko upande gani wa...
Unatafta Mke JF au mtandao mwingine ? Mkuu umepotea
Kwanza Mpaka mke aje kupatikana mtandaoni ni ama we una shida au na anayepatikana mitandaoni ana shida kulingana na wanaomjua live life ,
Kama unataka mke wa kukaa naye miaka nenda rudi angalia huko mtaani kwako ! Hawa wa mtandaoni ukikagua...
Ni mazungumzo ya mtu na kaka yake, mdogo mtu kamuuliza bro wake,vipi mipango ya kuoa imefikia wapi?
Bro akajibu Mwanamke mwenyewe kama nataka nimpotezee maana vitu anavyopost mitandaoni na jinsi anavyojibu comments zake ni mtihani sana.
Naam huo ni mfano wa kweli kabisa ambao mfanyakazi...
Nimefuatilia kwa makini mwenendo wa mijadala ya Tiktok nikagundua huwa hawatoki online.
Nadharia yangu miongoni mwao hizo live kuna Mapolisi na maafisa vipenyo ambao wanafanya kazi ya kuzirekodi na kujaribu kuvuruga mijadala ambayo inaweza ikawa na tija na mbinu. (Wapo wanafanya doria)
Katika...
Naomba mamlaka husika zichunguze huduma za vyeti mtandaoni katika Wilaya ya Tandahimba. Niliomba cheti cha kifo tarehe 11 Juni 2026, lakini hadi leo 8 Julai 2026 sijakipata, na status ya maombi haibadiliki hadi mwombaji aende ofisini.
Pia, kuna taarifa kutoka kwa wananchi kwamba kwa sasa...
Anonymous
Thread
huduma
kilio
mtandaoni
ofisi
ofisi za rita
rita
tandahimba
vyeti
wananchi
wilaya
Nimepita mahala nikashituka, jamaa anatoa elimu ya utengenezaji wa sabuni za MCHE, una mlipa 3000 anakufundisha kutengeneza sabuni HATUa Kwa HATUa, inakua kama darasa, kozi ni wiki Moja tu.
Nikajiuliza sasa hapa si unaenda you tube, google au chatgpt nk. Tena Kwa bando la jero tu.
Nimepiga...
Habari ndugu zangu.
Wewe mwanaume mwenzangu usije ukazama kabisa penzini na mwanamke uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii Hadi ukafikia hatua ya kutaka kumuoa.
Mmekutana huko mkaanza mapenzi siku mkikutana macho macho kula kitumbua fresh kabisa lakini usiingie mazima "UTAJUTA"
Sasa...
Habari wakuu,
Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
Kusema ukweli enzi za JPM alikuwa na watu mtandaoni haswa. Kama hapa JF alikuwa na Kijiji kweli cha watu, wanaanzisha nyuzi mpya kila dakika, wanashambulia nyuzi kujibu mashambulizi, wanaripoti accounts au nyuzi zifungiwe au ziondolewe na wanatishia watu ikibidi.
Jina la buku saba lilianzia...
Licha ya wateja kulalamika kuhusu matapeli wa biashara mtandaoni lakini pia kuna wateja matapeli.
Kuna rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo sasa kuna siku akapata Delivery Kimara Temboni. Mteja akamwambia atalipia mzigo ukifika. Basi bwana boda akaja dukani kachukua mzigo kaelekea Kimara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.