mbili

Mbili (Bambili) and Mbui (Bambui) are dialects of a Grassfields Bantu language spoken in Cameroon.

View More On Wikipedia.org
  1. realMamy

    Mtu mwenye Sura mbili ni yupi?

    Mtu wa Sura Mbili ni nani? Ni mtu mwenye maisha ya aina mbili. Uso mmoja wa kuonyesha watu, na uso mwingine wa kweli anaouficha. Mbele ya watu ni malaika. Maneno yake ni kama asali. Anaweza kukushika mkono na kusema "mimi niko nawe 100%". Lakini nyuma yako ndio shetani halisi anayekumaliza...
  2. Papillon 1906

    Kipindi hiki cha baridi nyanya ni upepo sokoni tenga lafika laki mbili

    Kijana ukitaka kujiajili ingia kwenye kilimo cha bustani mazao kama nyanya,kabichi vitunguu nk. Hachana na kilimo cha mahindi ni umaskini mtupu lima mahindi ya chakula tu. Nyanya inayopandwa mwezi wa pili mwishoni au mwezi wa tatu na kuanza kuvunwa mwezi wa sita mwishoni au wasaba ni muda mzuri...
  3. Busu la Kenge

    Aina mbili ya upandakizaji wauume penile Implant surgery (Prosthesis)

    Kwa wale uume wao huwezi kusimama erection kuna aina mbili ya upasuaji ama kupandikiza uume penile implant surgery. Kupandikiza uume ama penile surgery nikuweka cylinders na pumps kwenye uume na scrotum ama kupandikiza tube kwenye mishipa ya uume kuufanya usimame erection kwa kufanya damu...
  4. Yoda

    Profesa Anna Tibaijuka amekosea kuifananisha serikali mbili na anguko la USSR

    Katika mahojiano yake na mwandishi Khalifa wa The Chanzo, Prof Tibaijuka alitetea serikali mbili akirejea kuvunjika kwa muungano wa USSR baada kuanzishwa serikali ya Urusi na kudai ilidhoofisha muungano wa USSR. Huu sio kweli, serikali ya Urusi iliyoundwa mwaka mmoja 1990 kabla ya USSR...
  5. Burn the bridge _Tz

    Haya Mafunzo ya udereva kwa wiki mbili yanaukweli?

    Kuna Haya mafunzo ya udereva kwa wale ambao ni wamiliki wa leseni kwa muda wa wiki mbili?? Je vyeti ambavyo vinatolewa vinatambulika na serikali?? Je vyeti hivyo vinaweza kutumika kama sehemu ya Fani?? Au ni sehemu ya upigaji tu na ujanja ujanja?? Naomba ambaye anajua anipe maelezo!! Au...
  6. secretarybird

    Mwigulu tafadhali usiseme 'Zanzibar' na 'Tanzania bara' unaporejelea pande hizi mbili za muungano

    Mwigulu, tafadhali sana usitaje jina 'Tanzania bara' na 'Zanzibar' unapozungumzia pande mbili za muungano unaounda Tanzania, badala yake tumia Tanganyika na Zanzibar. Ukishasema Zanzibar lazima useme Tanganyika, hilo ni sharti na siyo ombi. Ukishasema Tanzania bara ni sharti umalize kwa kusema...
  7. Inside10

    Sheikh Kandauma: 2030 kutakuwa na Ramadhani mbili , Ila ni dalili ya Kiyama

    https://www.instagram.com/reel/DZutAh-I5Hn/?igsh=b3U0MnRmd3J2M3M0
  8. Traxtion

    Wanandoa wa couple mbili (watu 4) wakamatwa nchini Malaysia kwa kumnyanyasa mfanyakazi wa ndani kutoka Indonesia

    Wanandoa wa couple mbili tofauti nchini Malaysia, katika jimbo la Johor, wamekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kimwili mfanyakazi wa ndani kutoka Indonesia. Inadaiwa kuwa mwathiriwa alirekodi tukio hilo kwa siri mwaka uliopita, na baadaye video za unyanyasaji huo zilisambaa kwenye mitandao ya...
  9. Mad Max

    DJI wameinzdua OSMO Pocket 4 Pro yenye Camera Mbili!

    Baada ya kuzindua DJI OSMO Pocket 4 mwezi April, DJI pia walidokeza kidogo Pocket 4 Pro, ambayo ilionekana inakuja na lens mbili. Finnaly wamefanya officially launch. Hii pocket gimbal camera imekuja na 1-inch sensor, f/2.0 aperture and 20mm focal length. Sensor ya pili ni telephoto camera...
  10. Mbepo yamba

    Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Kama ni dini mbona alimpa mkonio Putin?ZILONGFA NA ZITENDA
  11. DogoWaNjombe

    Rio Ferdinand: Kwa sasa naingiza fedha mara mbili ya nilivyokuwa nalipwa Man United

    Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand ameweka wazi kuwa kwa sasa kazi zake zinamfanya alipwe kiwango kikubwa mara mbili ya kili alichokuwa akikipata alipokuwa akiitumikia klabu hiyo. Akiwa United alikuwa alilipwa Pauni 120,000 (Tsh. Milioni 422.5) kwa wiki...
  12. ShesRise_1

    Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

    Maisha ni kama hadithi Pindi tu unapozaliwa, ukurasa mpya wa hadithi hufunguliwa Unajikuta kwenye dunia ukiwa mgeni kabisa, na jambo la ajabu zaidi ni kwamba hujui ulipotoka Ukiachana na simulizi za Biblia na Qur’an, bado huna uhakika mkubwa kuhusu safari yako ya kuja hapa duniani wewe ni...
  13. Roving Journalist

    Bunge la 13, Mkutano Wa Tatu, Kikao cha Thelathini Na Mbili Tarehe 19 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=e57lhdpRXFg
  14. Sifi Leo

    WATANZANIA kwa hizi Tume mbili haifai tuamini hakutoa amry yamauaji ILA aliujumiwa na hasio wajua?

    Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani, JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu? Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
  15. Mhaini

    Temeke: Ukidakwa na hawa Wrong Parking unalipishwa laki mbili Papo kwa papo! Muda wa mavuno kwa Watawala

    Kwanza Kabisa Bandari ipo Temeke, Uwanja wa Ndege Temeke, Uwanja wa Taifa Temeke. Lakini wamekosa ubunofu wa kukusanya kodi, wanaamua kukudandia ukipark kidogo tu gari inabebwa unapigwa faaini. Kwamba ndo ubunifu wa kuingiza kipato Halmashauri. Ukiwauliza Parking kwa Temeke zipo wapi hata za...
  16. Alexido jz instagram

    NIMENUSURIKA MARA MBILI KUBAMBIKIWA MIMBA ZISIZO ZANGU, EEH MOLA NIEPUSHE INSHAALLAH

    Sitaki hata kuwapa salama pliz nimevurugwa. kwa jina naitwa, zachariano alexido. Picha la kutisha linaanzia chugastani, mtoto mzuri Moja mdogo wake na aliekua meneja wetu, mtoto wa kitanga, kanikubalia tuwe pamoja. Sijui ni nini tu kilinifanya nisikaze kumla hako katoto umri miaka kumi na...
  17. A

    KERO Tunalipa nauli mara mbili kutoka Tandika kwenda Pugu, hii sis awa

    Nauli ya kutoka Tandika kwenda Pugu imekuwa ni kubwa sana, ukipanda bus Tandika linaishia Gongolamboto then tunalipa Shilingi 900 kisha ukifika Gongolamboto wanatushusha wanaanza kupakia tena kwa kutumia nauli ya shilingi 700, so jumla tunatumia shilingi 1,600 kutoka Tandika kwenda Pugu
  18. Yoda

    Uraia wa nchi mbili ni sawa ila sio kwenye uongozi na utumishi wa umma

    Suala la uraia wa nchi mbili ni zuri lakini kuna matatizo yake pia lisipowekea vizuri, mfano sasa hivi Kenya Kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa waliochaguliwa viongozi Kenya kuishi Marekani kwa sababu wana uraia wa nchi mbili. Marekani pia kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa wenye uraia...
  19. Stroke

    Mnaonaje timu mbili zikicheza dhidi ya moja.

    Kwa zile timu dhaifu ambazo kila mara huwa zinafungwa ili kuwepo na usawa. Mnaonaje timu mbili zikacheza dhidi ya moja . Yaani mfano simba icheze dhidi ya jkt na pamba. Au Man City icheze dhidi ya Brighton ba Leeds. Brazil dhidi ya Rwanda na Burundi yaani kuwe na fareness kidogo .
  20. Eli Cohen

    Wairan wenyewe ni mashabiki wa US na Israel ila wewe mwenzangu wa daraja mbili unalaani vikali matendo ya mabwenyenye😁😁

    Ni kipi haswa ulichosimamia😁😁 muuaji ayatollah anaeua watu wake kwa ajili ya madaraka au watu wa iran ambao kiasili ndio wenye nchi? Hakuna unajua wewe zaidi ya ushabiki, unashibikia IRGC kwa maana wana wakilisha unyama ulionao ndani yako na unyama wa itikadi mnayo share nao.
Back
Top Bottom