Mtu wa Sura Mbili ni nani?
Ni mtu mwenye maisha ya aina mbili. Uso mmoja wa kuonyesha watu, na uso mwingine wa kweli anaouficha.
Mbele ya watu ni malaika. Maneno yake ni kama asali. Anaweza kukushika mkono na kusema "mimi niko nawe 100%".
Lakini nyuma yako ndio shetani halisi anayekumaliza...
Kijana ukitaka kujiajili ingia kwenye kilimo cha bustani mazao kama nyanya,kabichi vitunguu nk. Hachana na kilimo cha mahindi ni umaskini mtupu lima mahindi ya chakula tu.
Nyanya inayopandwa mwezi wa pili mwishoni au mwezi wa tatu na kuanza kuvunwa mwezi wa sita mwishoni au wasaba ni muda mzuri...
Kwa wale uume wao huwezi kusimama erection kuna aina mbili ya upasuaji ama kupandikiza uume penile implant surgery.
Kupandikiza uume ama penile surgery nikuweka cylinders na pumps kwenye uume na scrotum ama kupandikiza tube kwenye mishipa ya uume kuufanya usimame erection kwa kufanya damu...
Katika mahojiano yake na mwandishi Khalifa wa The Chanzo, Prof Tibaijuka alitetea serikali mbili akirejea kuvunjika kwa muungano wa USSR baada kuanzishwa serikali ya Urusi na kudai ilidhoofisha muungano wa USSR.
Huu sio kweli, serikali ya Urusi iliyoundwa mwaka mmoja 1990 kabla ya USSR...
Kuna Haya mafunzo ya udereva kwa wale ambao ni wamiliki wa leseni kwa muda wa wiki mbili??
Je vyeti ambavyo vinatolewa vinatambulika na serikali??
Je vyeti hivyo vinaweza kutumika kama sehemu ya Fani??
Au ni sehemu ya upigaji tu na ujanja ujanja??
Naomba ambaye anajua anipe maelezo!!
Au...
Mwigulu, tafadhali sana usitaje jina 'Tanzania bara' na 'Zanzibar' unapozungumzia pande mbili za muungano unaounda Tanzania, badala yake tumia Tanganyika na Zanzibar.
Ukishasema Zanzibar lazima useme Tanganyika, hilo ni sharti na siyo ombi.
Ukishasema Tanzania bara ni sharti umalize kwa kusema...
Wanandoa wa couple mbili tofauti nchini Malaysia, katika jimbo la Johor, wamekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kimwili mfanyakazi wa ndani kutoka Indonesia.
Inadaiwa kuwa mwathiriwa alirekodi tukio hilo kwa siri mwaka uliopita, na baadaye video za unyanyasaji huo zilisambaa kwenye mitandao ya...
Baada ya kuzindua DJI OSMO Pocket 4 mwezi April, DJI pia walidokeza kidogo Pocket 4 Pro, ambayo ilionekana inakuja na lens mbili. Finnaly wamefanya officially launch.
Hii pocket gimbal camera imekuja na 1-inch sensor, f/2.0 aperture and 20mm focal length. Sensor ya pili ni telephoto camera...
Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand ameweka wazi kuwa kwa sasa kazi zake zinamfanya alipwe kiwango kikubwa mara mbili ya kili alichokuwa akikipata alipokuwa akiitumikia klabu hiyo.
Akiwa United alikuwa alilipwa Pauni 120,000 (Tsh. Milioni 422.5) kwa wiki...
Maisha ni kama hadithi
Pindi tu unapozaliwa, ukurasa mpya wa hadithi hufunguliwa
Unajikuta kwenye dunia ukiwa mgeni kabisa, na jambo la ajabu zaidi ni kwamba hujui ulipotoka
Ukiachana na simulizi za Biblia na Qur’an, bado huna uhakika mkubwa kuhusu safari yako ya kuja hapa
duniani wewe ni...
Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani,
JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu?
Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
Kwanza Kabisa Bandari ipo Temeke, Uwanja wa Ndege Temeke, Uwanja wa Taifa Temeke. Lakini wamekosa ubunofu wa kukusanya kodi, wanaamua kukudandia ukipark kidogo tu gari inabebwa unapigwa faaini. Kwamba ndo ubunifu wa kuingiza kipato Halmashauri.
Ukiwauliza Parking kwa Temeke zipo wapi hata za...
Sitaki hata kuwapa salama pliz nimevurugwa.
kwa jina naitwa, zachariano alexido.
Picha la kutisha linaanzia chugastani, mtoto mzuri Moja mdogo wake na aliekua meneja wetu, mtoto wa kitanga, kanikubalia tuwe pamoja. Sijui ni nini tu kilinifanya nisikaze kumla hako katoto umri miaka kumi na...
Nauli ya kutoka Tandika kwenda Pugu imekuwa ni kubwa sana, ukipanda bus Tandika linaishia Gongolamboto then tunalipa Shilingi 900 kisha ukifika Gongolamboto wanatushusha wanaanza kupakia tena kwa kutumia nauli ya shilingi 700, so jumla tunatumia shilingi 1,600 kutoka Tandika kwenda Pugu
Suala la uraia wa nchi mbili ni zuri lakini kuna matatizo yake pia lisipowekea vizuri, mfano sasa hivi Kenya Kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa waliochaguliwa viongozi Kenya kuishi Marekani kwa sababu wana uraia wa nchi mbili.
Marekani pia kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa wenye uraia...
Kwa zile timu dhaifu ambazo kila mara huwa zinafungwa ili kuwepo na usawa.
Mnaonaje timu mbili zikacheza dhidi ya moja .
Yaani mfano simba icheze dhidi ya jkt na pamba.
Au Man City icheze dhidi ya Brighton ba Leeds.
Brazil dhidi ya Rwanda na Burundi yaani kuwe na fareness kidogo .
Ni kipi haswa ulichosimamia😁😁 muuaji ayatollah anaeua watu wake kwa ajili ya madaraka au watu wa iran ambao kiasili ndio wenye nchi?
Hakuna unajua wewe zaidi ya ushabiki, unashibikia IRGC kwa maana wana wakilisha unyama ulionao ndani yako na unyama wa itikadi mnayo share nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.