samsung

  1. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗞𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗠𝗳𝘂𝗺𝗼 𝘄𝗮 𝗮𝗽𝗽 𝗹𝗼𝗰𝗸 𝗺𝘂𝗮𝗻𝘇𝗶𝗹𝗶𝘀𝗵𝗶 𝗻𝗶 𝗜𝗻𝗳𝗶𝗻𝗶𝘅 𝘀𝗶𝗼 𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴

    Je kati ya Samsung, TECNO, Infinix na Google Pixel nani muanzilishi wa kutumika Mfumo wa App lock kwenye simu za Android ?? Kabla Google Pixel haijaja na Private Space, na kabla mambo ya privacy kuwa sehemu kubwa ya Android, baadhi ya watengenezaji simu walikuwa tayari wanakupa uwezo wa kufunga...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Android Smartphones: Nazipenda sana Samsung lakini nalazimika kuichagua Pixel sababu ya kamera kali na size ndogo ya kuenea kirahisi kiganjani.

    N:B: Simu ndogo zisizozidi 6.3' (Mifano Pixel 9, 10, 11 Pro na Samsung plain S 24, 25, 26) Mfano Pixel 9 Pro, 10 Pro na 11 Pro zimenivutia sana kwa sababu zina size ndogo ya 6.3" ambayo ni rahisi kushika mkononi, lakini zaidi ya hapo zinakuja na camera kali sana 📸🔥. Ukilinganisha na S25 na S26...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Imeniuma sana. Huyu bi dada kila siku kunipiga vizinga, kuomba omba unajitia ana njaa Kali Sana, hata Kodi namlipia Mimi, kila siku hata nauli ya kwenda Chuo ananiomba, najibana kadiri niwezavyo ili nimrudhishe.. Siku zote naona anatumia iPhone ila sijui anatumia toleo lipi. Leo ndio nagundua...
  4. W

    JamiiForums Tanzania MASTERCLASS: Jinsi ya Kutumia Samsung Modes & Routines Kuimarisha Ulinzi wa Simu Yako

    Modes and Routines (Zamani zikiitwa Bixby Routines kwenye simu za Samsung) ni kipengele kinachowezesha simu yako kujiongoza yenyewe (automation) kufanya mambo mbalimbali kulingana na wakati, eneo, au kile unachofanya. Wazo kuu la kipengele hiki linategemea "Kama (If) ... Basi (Then)": Modes &...
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Anayetumia Samsung oxygen anijuze tafadhali!?

    Najua hapa jukwaani ni kila kitu,naomba kujuzwa kuhusu uimara wa hizi simu ""Samsung Oxygen ""na ubora wake!
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania List ya Samsung zitakazo pokea mfumo mpya na ratiba kamili

    Watumiaji wa Galaxy, jiandaeni! Samsung inaendelea na mpango wa kuleta Android 17 kupitia One UI 9, na simu nyingi za Galaxy zitaingia kwenye orodha ya kupata mfumo huu mpya. 🤯 Kama unatumia Galaxy, hizi ni baadhi ya simu zinazotarajiwa kupata Android 17, kwa mpangilio wa awamu: MEI–JUNI 2026...
  7. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Wadau habar ya jioni. Leo nimenunua simu tajwa hapo juu. Nombeni mwenye uzoefu aweze kunmbia ubira na changamoto ya hii simu
  8. Tijuana

    JamiiForums Tanzania Product Type: Samsung 32-inch LED TV (Series 4, e.g., UA32J4003). Key Specs: 1366 x 768 resolution, Dolby Digital Plus, 2 HDMI ports, 1 USB port.

    Product Type: Samsung 32-inch LED TV (Series 4, e.g., UA32J4003). Key Specs: 1366 x 768 resolution, Dolby Digital Plus, 2 HDMI ports, 1 USB port. Status: Used like New….imetumika kama mpya. Charger: AC/DC Adapter Bei: 250,000/= Location: Chanika! Simu: 0716161683
  9. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Camera failed error Samsung S25

    Wakuu kwema? Wale wazoefu simu yangu ya Samsung aina ya S25 muda mwingi inaniambia camera failed hivyo haioperate chochote na baada y masaa mengi kupita hurudi na kuoperate normaly walau kwa muda mchache nimejaribu kufuata njia mbalibmali za online kusolve tatizo lakini bado lipo naomba...
  10. sonofobia

    JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Wakuu naomba mnisaidie ushauri nataka kununua TV inch 55 ya kudumu nayo muda mrefu. Sasa kati ya LG Oled android processor vs Samsung Neo Qled android processor. Ipi itanifaa zaidi na reasons kama itawezekana. Asante
  11. X

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Hivi karibuni China imeandika historia mpya ya teknolojia duniani. Kwa miaka mingi Marekani, South Korea na Taiwan zilikuwa The Big 3 Cartel walitawala GPU na memory chips. Wakiamua supply, wakipandisha bei, na dunia nzima ikalazimika kufuata. Sasa China imevunja ukuta huo. Enzi ya kutegemea...
  12. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Samsung yaacha kuuza vifaa vyake vyote vya kielektroniki vya nyumbani nchini China

    Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa oppo a3x inazidi Samsung a16 ubora wa picha why

    Aya nipeni maneno nje ya mada pia kwanini Samsung nyingi karibu zote picha zake mbovu zinapauka mno s23 picha insonekana vizuri ila rangi mbaya
  14. R

    JamiiForums Tanzania Dua Lipa ashtaki Samsung $15M kwa kutumia picha zake kwenye Maboksi ya TV

    Staa wa muziki wa Pop duniani, Dua Lipa, ameishtaki kampuni ya Samsung akidai fidia ya dola milioni 15 (takriban shilingi bilioni 40 za Kitanzania), akituhumu kampuni hiyo kutumia picha yake kwenye maboksi ya TV huko nchini Marekani bila ridhaa yake. Katika kesi hiyo iliyofunguliwa kwenye...
  15. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 𝗞𝘂𝗻𝗮 𝗳𝗲𝗮𝘁𝘂𝗿𝗲 𝟱 𝗭𝗶𝗻𝗮𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼 𝗵𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶

    Watumiaji wa Samsung kwenye toleo jipya la Samsung one UI version 8.5 wametoa update mpya ya feature mbalimbali nzuri sana. Feature mpya imekuja kuongeza ubora kwenye muonekano wa apps, mipangilio ya simu, ufanisi, stability pamoja na security kwa ujumla. kama unatumia Simu ya Samsung Kuna...
  16. Oscar Lyrics

    JamiiForums Tanzania Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

    Kama unadhani simu aina ya Samsung ni simu ya kawaida subiri kioo kipasuke ndo utanielewa namaanisha nini. Kioo kikipasuka na ukataka kuweka kingine, bei inaweza kuwa nusu ya au zaidi pesa uliyonunulia simu, Kwa hiyo kama unamiliki simu aina ya samsung jipige kifuani sema mimi ni shujaa, Wale...
  17. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Samsung A35 BEI GANI ??

    Eti wadau Samsung A35 5G 6/128 shngapi kwenye box?? Kuna mtu anataka kuniuzia hapa mpya
  18. W

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Samsung (4K Smart TV) na Laptop (HP) vinauzwa

    Samsung TV(4K Smart 49”) ipo sokoni. Bei, 800,000/= Mmiliki mwenyewe, hakuna udalali (Nicheck tuzungumze). Laptop HP (Specs zipo kwenye picha iliyoambatishwa). Bei, 550,000/= Mahali: Dsm
  19. Pakome

    JamiiForums Tanzania Simu nzuri ya kifahari kwa Mwanaume ni Samsung

    Kampuni ya Samsung inajua kumpa Mwanaume bidhaa anayotaka sio kama wale jamaa flani wanaotengeneza simu zilizopambwa kama za kike Simu ina shine nje na ndani utafkiri imepakwa siagi Mwanaume na viatu vinavyowaka taa wanaelewana vipi Samsung watazidi kula kihalali hela za Wanaume Hata...
  20. hp4510

    JamiiForums Tanzania Naitaji samsung S10 used

    Wakuu habari Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy Niko Dar, Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote Thank you
Back
Top Bottom