salio

"Salió el Sol" ("The Sun Came Out") is the third single by Don Omar taken from his album King of Kings.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Menu ya kawaida ya kuangalia Salio inaniambia Nina mb bado lakini nikifungua page internet inagoma

    Wakuu naombeni mnifingue macho pengine Kuna kitu ntakua sikijui mpaka leo au ntakua nimekilock bila Mimi kujua. Nikifungua page yoyote internet inakataa kwamba Sina Salio lakini nikiangalia Salio kwa kutumia menu ya kawaida naambiwa MB bado ninazo hapo tatizo litakua ni nini?
  2. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Kero ya Ada Chuo cha Maji (Water Institute): Unyanyasaji wa kuzuia wanafunzi kufanya Test 1 na 2 kisa salio dogo la ada unakiuka maagizo ya Serikali

    WanaJF salamu, Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester II). Kumekuwa na mfumo wa uendeshaji unaoonekana kulenga faida au biashara zaidi badala ya kutoa huduma...
  3. Funny boe

    JamiiForums Tanzania “Nimeweka vocha ya 10,000 lakini salio limekuwa 10,000 tu… kampuni wanapata faida wapi?

    Nimekuwa nikijiuliza sana. Nikiweka vocha ya 10,000 napata 10,000 exactly. Sasa hawa makampuni ya simu wanapataje faida kama wanarudisha hela ile ile? Au kuna kitu sielewi hapa? Naomba nieleweshe kwa lugha rahisi maana kichwa changu kimegoma kabisa 😅
  4. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Angalia salio lako kwenye benki ya kijani

    Wameondoka na sh ngapi kwenye account yako?
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Responded Selcom: Unaweza kuweka salio kwenye N-CARD yako kwa kutumia Selcom Pesa

    Mara baada ya Mwananchi kupitia JamiiForums.com kulalamikia huduma ya Kazi za N-CARD katika kuweka fedha, inayowalazimu kupanga foleni wakati wa kuitumia katika Kivuko Kigamboni, ufaafanuzi umetolewa na Selcom. Kama hukusoma andiko la Mdau bofya hapa ~ Kwanini N-CARD hawana App inayowezesha...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Toa namba ya simu inayokuwa na salio muda wote siyo unampigia au unamjibu mtu kwa namba yako ambayo hujampa

    Hi ni tabia inayokera sana mtu anakupa namba ya simu ambayo anajua kabisa haina salio unawasiliana naye kupia namba hiyo badae yeye anakujibu au anakubip kwa namba tofauti kabisa,huo ni ushenzi uliopitiza kama vi toa namba zote basi ulizosajiri ili mtu aku-save ili ukipiga akutambue!!
  7. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Kagua salio lako CRDB, kuna pesa hazionekani kwenye akaunti

    Zaidi ya milioni siioni kwenye akaunti yangu ya CRDB. Mdau kagua na wewe salio lako usije ukawa upo hujui kinachoendelea. Kesho pakikucha tu natia mguu hapo Holland branch…
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Sio kila anaeenda choon bar anaenda kujisaidia wengine wanaenda kuhesabu salio wasiaibike

    Jana nilikuwa bar moja natafuta usingizi wangu ghafla nikasikia haja ndogo nilipoingia chooni nikakuta mwamba mmoja akihesabu mzigo wake wa kumikumi nikajua huyu jambo linaenda kumkuta Nikakumbuka Desemba 2024 Moshi Marangu nilikuwa nimekaa na girlfriend wangu pamoja na ndugu zake nikazungusha...
  9. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Sportpesa mnashindwa nini kuwa na instant payment mpaka mtu uanze kuulizia salio ndo hela iingie

    Mbona betpawa uki withdraw hela ni chap kwa haraka unapata message hapohapo hawa sportpesa wanaenda taratibu Sana kwenye malipo jirekebisheni kama mko ndani hapa.
  10. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya salio halisi na salio lililopo NMB

    Wakuu habari zenu. Naomba kujua hela yangu halisi/iliyopo kwenye acc yangu ya Nmb ni ipi.Kuna gap kama la elfu 50 kati ya salio lililopo na salio halisi kwenye acc yangu ya NMB.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mwanaume Jifunze kuangalia message ya miamala kwenye simu ya mke/mwanamke wako

    Wakuu kuna siku unaweza Kuja ukalala njaa kumbe mkeo ana fedha ya kutosha na akabunda kimya bila kukutaarifu, Unakuta ana milion Lakini pia ni vyema kufanya ambush phone searching mara moja moja ili ujuwe, mustakabali 🥶NB kama una moyo mdogo Usijaribu kusearch simu ya mke wako Ila wake...
  12. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tigo/ Yas mnachukua salio langu la GB zilizobaki na wakati nimelipia?

    Mimi ni mteja wa zamani tigo na sasa Yas wa Post Paid. Malipo Baada. Nalipia GB kadha kwa mwezi na kuna kipindi huwa zinabaki. Kwa nini unapoingia mwezi mpya mnafuta GBs zangu ambazo nlishalipia badala ya kuongezea pale pale? Nadhani hapo mnakuwa mnafanya wizi. Nimelipia zote so inapaswa kama...
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Sio kila mwanaume anaenda chooni kujisaidia, wengine kuangalia Salio. Mabinti kuweni makini sana na hizo ofa mtalia

    Hili ni angalizo kuelekea wikendi. Mabinti, msiwaamini sana wanaume! Kama mna hela, hakikisheni mnakabeba. Sio kila mwanaume anayeenda chooni anaenda kujisaidia, wengine huenda kuangalia salio lililobaki. Wengine wakiona bili ni kubwa, wanatafuta njia ya kutokea karibu na choo. Nawaambia...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Ongeza salio kwenye simu kwa kutumia kamera ya simu yako

    Kuna app inaitwa 'Voucher Master' inapatikana Google Play store. App hii inakuwezesha kuongeza salio kwenye simu yako kwa kuskani namba za vocha kwa kutumia kamera ya simu yako kisha kuongeza salio. Inauwezo wa kusoma vocha zaidi ya 5 kwa wakati mmoja. Pia inafanya kazi kwenye mitandao yote ya...
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marioo alitulia sana katika uandishi wa hii nyimbo ya Salio.Vijana tafuteni Salio ili msililie mapenzi

    Ukiisikiliza hii nyimbo ya Salio utagundua kuwa Marioo yuko vizuri sana katika uandishi wa nyimbo zake. Salio ni nyimbo yenye mafunzo kwa mabarobaro waache kukimbizana na mikongo wakati mifuko imechanika. Mwanamke atavumilia mengi ila sio neno " SINA HELA aka Salio. Tafuteni pesa vijana
  16. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais Samia amesema wanataka anayepokea simu naye anakatwa salio ili kuimarisha Uchumi

  17. S

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Raisi Samia ametoa kauli hii: "tunataka anaepokea simu na yeye awe na salio ili kuimalisha uchumi"?

    Kuna ujumbe wa picha ya Raisi Samia na chini kukiwa na hayo maneno unasambaa kwenye ma-group ya WhatsApp ukionyesha kuwa Raisi Samia ametoa hiyo kauli. Je, ni kweli Raisi Samia katoa hiyo kauli? Kama ni kweli, kauli hiyo kaitoa lini na wapi? Kama ni kweli, mimi naona itakuwa poa tu ili siku...
  18. Pain killer

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuangalia kama hela yako inawekwa NSSF kwa njia ya mtandao?

    Habari wakuu Hivi ni namna gani unaweza kuangalia kama mwajiri wako anaweka hela NSSF kila mwezi online ,yaani Kama Kuna app ,au kwenye ya website ya nssf hio huduma ipo ?. Naomba kujua na ni kwa namna gani
  19. C

    JamiiForums Tanzania Tigo wanakata 3% unapohamishiwa salio?

    TIGO Tanzania, juzi wakati namuhamishia dogo salio (siyo kifurushi na wala siyo pesa) ili yeye sasa ajiunge na kifurushi akitakacho, On the process kufikia mwishoni baada ya kuweka amount (angalia picha) naletewa ujumbe wa kwanba mtumiwaji atakatwa 3% ya amount nitakayomtumia. WHY IS THIS 3%...
  20. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wanaojua kutumia pesa, akaunti zao zinasoma salio kidogo

    Utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua, watu wanaojua matumizi ya hela akaunti zao zinasoma hela ndogo ndogo tu; kama elfu kumi, ishirini au hamsini na haizidi laki; ila kwa wale wasiojua matumizi ya pesa akaunti zao zimenona, zinaweza kusoma kuanzia milioni nakuendelea. Hii inatafsiri...
Back
Top Bottom