music

  1. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Why Kenneth Mugabi chose music

    Kenneth Mugabi For ugandan singer and song writer, Kenneth Mugabi, the decision to pursue music, is more than just a career choice. It is his life’s calling. In a heartfelt statement, Mugabi said music has always been part of who he is, tracing his passion back to his childhood. He revealed...
  2. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Government gives Shs7 billion SACCO fund for music promoters.

    Prime Minister Robinah Nabbanja officially handed over Shs7 billion to music promoters, marking a major step in the implementation of President Yoweri Museveni’s pledge to support Uganda’s events and entertainment industry. The announcement came after a meeting between the Prime Minister and...
  3. Red black

    JamiiForums Tanzania Kwenye industry ya music Machel Jackson hakuwa mtu wa kawaida.

    Huu ni ukweli usiopingika MJ alikuwa hatari sana kwenye mc na dance.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Apps ya kuweza kuangalia video na liveshow za rhumba music

    Sasa utaweza kutazama video za music wa rhumba,show na vipindi bure kabisa . Kudownload ingia Google Playstore Kisha andika rhumba music tv au unaweza kuipata kupitia Google kama hauwezi unaweza tazama kupitia https://rhumbamusictv.com
  5. C-C Daily Stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini music video za Watanzania(uneducated)hazina kiwango kikubwa, Kama za Watanzania (educated)?

    https://youtu.be/SkLvVyZveTI?si=zlCNhPi_1K0pnYpj
  6. O

    JamiiForums Tanzania Kumbi za cinema na music concerts ni chache au hakuna promo?

    Ukitoa Dar ni majiji gani mengine yana kumbi za cinema atleast Kila weekend WATU wanaweza jipoza. Aya Kwa music wapi UNAWEZA sikia Kuna burudani ukiacha bar za mbagala kule atleast kama ni music ya injili au ya Dunia in a weekend tunaweza PATA burudani? Kama zipo Dar, vipi majiji mengine...
  7. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Live Music Performance or Playback Performance?

    What is your take and preference on music performance? Would you pay to attend a live music performance or a playback performance?
  8. Moaz

    JamiiForums Tanzania BONGO FLAVOR COIN (BFC) WHITEPAPER: The Rhythm of Revolution: Empowering Africa's Music Ecosystem Through Blockchain

    Version 1.0 Release Date: September 2025 Authors: BFC Core Team Website: www.bongoflavorcoin.com (Placeholder) Contact: info@bongoflavorcoin.com 1. Abstract In the pulsating heart of Africa's music scene, where rhythms like Bongo Flavor echo the continent's spirit, lies an untapped revolution...
  9. Mhaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Music Producer ni nani, na kuna aina ngapi za Music Producers?

    Kwa uchache tu mfahamu Mtayarishaji wa mziki au kwa kimombo Music Producer Music Producer au Mtayarishaji wa muziki ni mtaalamu anayehusika na kusimamia na kuratibu mchakato mzima wa kutengeneza wimbo au albamu. Mchukue kama meneja wa mradi (kwa kimombo unaweza kumuita Project Manager) na pia...
  10. Sema kama nenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Mwaka 2016 kijana mmoja wa Iraq akamatwa na Wanajihad kwa kusikiliza muziki wa Kimagharibi wakati wa Swala

    Mnamo mwaka 2016, nchini Iraq, kijana Ayham Hussein alikamatwa na wanajihadi alipokuwa akisikiliza muziki wa Kimagharibi katika duka la baba yake. Alifikishwa katika mahakama ya Sharia ambayo ilimhukumu kunyongwa. Kijana huyo alikatwa kichwa hadharani kabla ya mwili wake kurejeshwa kwa familia...
  11. Baba Rhobi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Music Enthusiasts na Wakali wa Sound System, Pitieni hapa mtoe ushauri.

    Wakubwa nimecheki huko Mjini Facebook, kuna wakenya huko wanatamba na hizi Sound System za magari wanaweka majumbani mwao hii idea imekaaje, make sote tunajua mziki wa gari huwezi linganisha na Sabufa za hapa na pale.
  12. Kalamu Nzito

    JamiiForums Tanzania Gospel Music Manager/Management

    Habari wadau, Nina kiu ya kuwekeza kwenye muziki wa Injili lakini sina pa kuanzia. Nina maono ambayo naamini ninaweza kumshawishi mwekezaji tukafanya kitu kwa mkataba maalumu. Nimeandaa album kamili yenye nyimbo zaidi ya 12. Bado nipo kwenye tafakuri aidha nianze na album au EP (Extended...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Live music performance Bongo

    Mimi ni Mpenzi wa muziki na nikiwa na nafasi huwa nahudhuria events kadhaa ambazo top artists wa bongo wanaperforme, nimenotice jambo ambalo ni utaratibu ambao sielewi ulianzishwa na nani lakini wasanii karibu wote wameuiga, suala la kuperforme huku bodyguards na videographers wao...
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Music production

    Natafuta mtu wa kufundisha mdogo wangu music production Dodoma aniachie namba
  15. W

    JamiiForums Tanzania Tuzo za Trace Music Awards zilikatishwa kutokana na maji kujaa karibu na Jukwaa

    Ninachojiuliza ni kwamba hawakujua au hawakufanya Survey ya eneo kabla ya kuweka Jukwaa ————————————— Tuzo za Trace kwa wasanii wa Afrika zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Visiwani Zanzibar, Tanzania, zilikatishwa kutokana na maji kujaa karibu na jukwaa. Tuzo hizo zilizoonekana kuchelewa...
  16. Nifah

    JamiiForums Tanzania Trace Awards 2025: 26 February Mora Resort, Zanzibar

    Jioni ya leo February 26 kutakuwa na kilele cha msimu wa pili wa tuzo za muziki zinazojulikana kama Trace Awards huko visiwani Zanzibar. Tukio hilo litakalofanyika viunga vya hadhi ya juu kistarehe, Mora Resort zitahudhuriwa na mastaa wakubwa Afrika wakiwemo Davido, Rema, Fally Ipupa, WizKid...
  17. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Eti beyonce ameshinda tuzo ya album bora ya music wa county!!!!!!!!

    Juzi nilikuwa live kufuatilia utoaji wa tuzo za grammy uko kwa beberu trump Matukio mengi yalienda sawa kabla ya bwana Ye kuingia na demu wake redcarpet akiwa uchi ad wakatimuliwa Ila tukio la kuvunja moyo ni beyonce kushinda tuzo la album bora la music wa country 🤣🤣 Inamaana wamarekan...
  18. L

    JamiiForums Tanzania JF Music Awards 2024: Karibu uwajue washindi wa tuzo hizi za muziki

    Hello! Leo ndio ile siku ya kujua wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki Tanzania kwa mwaka 2024. Tuzo hizi zimeandaliwa na wanachama wa jf ku represent jukwaa letu hili la jamii. Washindi wa vipengele mbalimbali wamepatikana kutokana na utafiti na ukusanyaji wa maoni mbalimbali...
  19. Introvert Music

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni mnitajie app ya kudownload music

    Naombeni mnitajie app ha kudownload music naona Vidmate inanizingua Kila nikidownload nyimbo inaishia nusu naona kama app hii imeshakua mizinguo inakera
  20. Isaack Newton

    JamiiForums Tanzania Natafuta music academy kwa hapa dar

    Habari wakuu, natafuta chuo au sehem ambayo wanafundisha muziki. Nina mtoto wangu wa kiume anapenda drums sana. Kwa hapa dar es salaam ni sehem gani naweza pata?
Back
Top Bottom