note

  1. Stephano Mgendanyi

    MP Twaha Mpembenwe: APPRECIATION NOTE to Madame Speaker to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committe

    Hon. Twaha Mpembenwe (MP from Kibiti): APPRECIATION NOTE to Madame Speaker, Dr. Tulia Akson to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committee 22nd April 2024. APPRECIATION NOTE Dear; Madame Speaker I would like to express my gratitude first to Allah...
  2. D

    Ushauri Used Samsung note 10 plus

    Naomba ushauri nataka kununua used Samsung Galaxy note 10 plus je ni nzuri?
  3. R

    Sukari tanga Tsh. 6,000 kwa kilo moja! CCM take note of that!

    Tumefika hapa tulipo. Rais Samia take note of that!
  4. Gushleviv

    Redmi Note 12 Pro+ 5g Inauzwa!

    Salaam wadau. Kama kichwa cha tangazo kinavyojieleza. Nauza simu tajwa hapo juu yenye sifa zifuatazo:- Simu bado ni mpya, imetumika kwa wiki 2 tu. Storage 8 ni 8/256 gb. Ina kila kitu chake tatizo Box tu ambalo kwa bahati mbaya lilitupwa. Bei ya kuanzia ni Tsh 600,000/= Yeyote aliye serious...
  5. Wadiz

    Kiama cha marejesho nimechukua simu Infinix note 5 kwa wadaiwa wangu watumishi kama Serikali haiwajali na mimi sina huruma

    Sasa watumishi wanaokopa kwangu kwa riba watakiona cha moto mpaka akili ziwarudi pumbavu zao, marejesho yakichelewa sina huruma na hawa ngedere tukiwaambia waache ujinga wa kujilegeza hawataki. Awamu hii serikali mdebwedo hadi mseme ngedere nyie. Na ikipita leo ngedere watasaga meno niliwaambia...
  6. B

    Phone4Sale Nauza Samsung note 20 5g full box

    Nauza Samsung Galaxy note 20 5g full box kwa 630k tuuuu Ina ram 8 storage 128 Pia zip Nokia 3310 kwa 65k tuuu
  7. Wadiz

    Ipo siku wale waliomtukana Rais Hayati Magufuli na sauti zao kuvuja watafunguliwa kesi ya Uhaini.

    Wasalaam JF, Ndugu Watanganyika wenzangu wakati vuguvugu hili la Bandari zetu kuwa katika hali ya sintofahamu. Niwakumbushe huyu Mwamba anaezuia mainstream media kuripoti taarifa mbalimbali za kukataa mpango wa Bandari zetu kugawiwa kwa DP World. Miaka kadhaa nyuma huyu bwana na wenzako...
  8. R

    NACTEVET nchi nzima hawapokei simu, Dkt. Rutayugwa unafanya nini hapo ofisini?

    Watoto wanahangaika kuomba vyuo vya kati ambavyo viko chini ya NACTEVET. Hawapokei simu na kuna mambo muhimu yanayohitaji ufafanuzi. Unapiga simu zote hazipokelewi nchi nzima. Rutayugwa unafanya nini hapo ofisini? Uzembe of the highest degree exemplified by this!
  9. Kilimbatzz

    Natafuta unlock codes za Samsung Note 10 5G

    Natafuta codes za simu tajwa hapo juu, Mwenye nazo aje tuyajenge, nakaribisha wadau wote
  10. R

    Kwanini viongozi walioshiriki kupokea ripoti ya haki Jinai hakuna aliyekuwa anatake note isipokuwa President peke yake?

    Ni sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo? Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa. Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala...
  11. Dr. Zaganza

    Natafuta kioo used cha samsung note 9

    Habari wakuu Kama una kioo au unamjua mwenye nacho, nicheki kwa 0713 039 875
  12. Dr. Zaganza

    Pata Simu za Samsung Note 5, Toleo maalum linalodumu

    nchi ya China, inatengeneza bidhaa kwa ubora aina 2, kuna ambazo made for china (kwa matumizi ya ndani ya china ,zinakuwa imaa mno na mara nyingi hazina box. Pia kuna aia ya pili made for out of china(kwa kuuza nje ya China) zinakuwa na ubora wa kawaida na box. Leo natambulisha kwenu samsung...
  13. blakafro

    Phone4Sale Brand New Redmi Note 12 Pro+ 5G

    Redmi Note 12 Pro+ Color: Blue RAM: 8GB Storage: 256GB Network: 5G Price: Tsh 750,000 Location: Kijitonyama Brand ipo sealed kabisa Whatsapp: 0714812151
  14. MFALME WETU

    Nauza simu Samsung Note 10+

    Samsung Note 10+ inauzwa bei rahisi RAM 12 ROM 256GB @450,000/= [negotiable] ☎️ +255676721372 Dar es Salaam 📍
  15. robbinhood

    Flutter Programming: MpesaApp UI (Note: The UI will not be 100% identical to the original).

    Kwa wapenzi wa programing. Twende sawa kwa framework ya flutter. Any comments and suggestions is allowed, Day one Pic 1 Pic 2 Source code:
  16. Tutu97

    Kwa wahitaji wa kuandaliwa Research topic, concept note, proposal, report, research paper, an article n.k

    Kwa huduma tajwa hapo juu. Usisite kuuliza ni bure pia kupatiwa huduma at an affordable price kupitia namba ya simu +255755194070; barua pepe: mon.eycafeconsultancy@gmail.com Karibuni sana.
  17. YETU MOTORS CO LTD

    Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali

    PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
  18. F35-Bomber

    Phone4Sale Simu aina ya Note 9 Samsung inauzwa

    Jipatie simu Samsung note 9 kwa bei ya kutupa laki 350,000 Storage GB 128 Ram gb 6 Haina cracks. Used but in good conditions Free charger Free cover Free protector
  19. Gus Fring

    Natafuta mke makini haswa

    Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31, mkazi wa Dar es Saalam, Mkristo, nnaejishughulisha. Elimu niliyonayo ni kubwa, urefu wangu ni 6'1 mrefu fulani hivi, maji ya kunde, sina mtoto wala sijawai kuoa. Natafuta mke wa kuoa, mwenye sifa zifuatazo; ~ Umri miaka 25 kushuka chini ~ Mweupe ~ Elimu yoyote...
  20. M

    Natafuta screen replacement ya ULEFONE NOTE 11P

    Wasalaam wadau, Natafuta, screen replacement ya ULEFONE Note 11p ( Ulefone Note 11P - Full phone specifications) , hii ni baada ya kioo kilicopo kuacha kufanya kazi baada ya simu kuanguka. Naomba msaada kama kuna mtu mwye hiki kioo au anafahamu kwa uhakika mahali ambapo naweza kupata kwa...
Back
Top Bottom