nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Gawio la Bilioni 61 za NIDA: Mteja wa Mwisho ni Wewe! Taarifa zako Binafsi zinapogeuzwa kitegauchumi na Serikali

    Tarehe 30 Juni 2026, Ikulu ya Dar es Salaam ilishuhudia hafla ya kila mwaka ya upokeaji wa gawio na michango ya taasisi za umma. Miongoni mwa waliopanda jukwaani ni Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, NIDA. Cheki kubwa ilikabidhiwa mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan. Thamani yake: zaidi ya...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vya NIDA vipigwe "photography" kisha muhuri wa serikali ya mtaa kama cards za gari

    It's me JamiiForums member: Nina Akili Ndogo Sana. Kama kadi ya gari inapigwa photocopy pamoja na kuwekwa muhuri (stamp duty) ya TRA, kwanini kitambulisho cha NIDA kisipigwe photocopy na kuwekwa muhuri wa serikali ya mtaa kwa gharama ya 1,000 TZS pekee ili mtu atembee na copy pekee?? Mtu...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nimerudisha Kitambulisho changu NIDA Morogoro tangu Januari, hadi leo sijapewa kingine

    Mi ni mmoja wa wananchi tuliotekeleza maelekezo ya National Identification Authority (NIDA) ya kurudisha vitambulisho vya Taifa vilivyokuwa na tatizo la kufutika kwa majina au namba ili vibadilishwe na kutolewa vingine visivyo na changamoto hiyo. Nilirudisha kitambulisho changu tangu mwezi...
  4. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania NIDA yakabidhi kiasi cha TZS 61,053,535,363 Serikalini kwa maendeleo ya Wananchi

    Dar es Salaam, 1 Julai 2026 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa tarehe 30 Juni 2026, imekabidhi Serikalini mchango wa TZS 61,053,535,363 ikiwa ni fedha za makusanyo yake katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Jamuhuriy a Muungano wa...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nini kimempata Lucas Mwashambwa tokea azungumzie suala la NIDA?

    Waziri katambi alipootoa agizo la NIDA Jumapili alijitokeza Lucas kulalamika sana. Tokea hapo Jumapili hakuna mada zake tena. Wana JF kapatwa na nini huyu
  6. L

    JamiiForums Tanzania Amri ya kutaka nyumba za kulala Wageni kupokea wenye namba ya NIDA tu itadhoofisha sana Sekta hiyo binafsi na kuleta usumbufu mkubwa sana kwa Raia

    Ndugu zangu Watanzania, Amri iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutaka Wageni wote wasajiliwe kwa kutumia Namba za Nida katika nyumba za Kulala Wageni Inakwenda kudhoofisha secta hiyo na kuleta usumbufu Mkubwa sana kwa Raia Hususani wale ambao wanakuwa wanatembea na kuzunguka katika...
  7. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Ofisi za NIDA zina changamoto maombi yanapotea na kujikuta ukikaa muda mrefu kusubiri majibu

    Ofisi za NIDA ni changamoto kubwa kwa wananchi. Unapeleka maombi yako na yanakaa hata miezi mitatu bila kushughulikiwa. Ukifuatilia, unaambiwa hukukamilisha taarifa fulani, na kibaya zaidi unaweza kukuta nyaraka ulizowasilisha zimepotea na hazionekani kabisa. Hali hii hukulazimu kuanza mchakato...
  8. AJIRA SASA

    JamiiForums Tanzania Miaka 6 ya Ahadi Hewa: Kituo cha Simu cha NIDA Kinafanya Kazi ya Kasuku au Kuna Siri Gani Nyuma ya Vitambulisho?

    Wana-JamiiForums, Nimefika kikomo cha uvumilivu. Naandika post hii kwa hasira, masikitiko na maswali mengi ambayo naamini mimi siyo mhanga pekee katika nchi hii. Mnamo mwaka 2020, nilikamilisha taratibu zote za usajili wa Kitambulisho cha Taifa (NIDA). Nilipigwa picha, nikatoa alama za vidole...
  9. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria ila Nida yangu imekosewa

    Kwema wakuu? Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”). Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha-Khamis: NIDA kuanza kutoza Tsh. 1,000 kwa Wananchi wanaohitaji Nakala ya Taarifa zao

    Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza mabadiliko makubwa katika utoaji wa huduma za Mamlaka ya Usajili na Utambuzi wa Watu (NIDA), ikiwemo kuanza kutoza ada kwa wananchi na taasisi...
  11. Moles_OG

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mtu anayefanya kazi NIDA Arusha

    Habari za wakati huu ndugu zangu, kwanza nikiri tu kwamba JF imekuwa msaada sana kwangu pindi ninapokuwa na issues mbalimbali, response imekuwa kubwa. Kwa leo nilikuwa naomba mawasiliano au kama kuna mtu anayefanya kazi ofisi za NIDA Arusha (Especially ofisi za Kisongo) ili nimuombe anisaidie...
  12. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Wakuu kwema, Umepita muda wa mwezi mmoja tangu nijiandikishe nida ili kupata kitambulisho cha Taifa, sijatumiwa sms na NIN na kawaida wanasema inachukua wiki 1 tu kutoa namba Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama namba imetoka au kujua maombi yapo hatua gani anielekeze. ASANTENI.
  13. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Ufanyike mpango ili tuwe tunajisajili na mitandao yetu kwa kutumia IDs za NIDA.

    Hili ni wazo tu,mamlaka zetu tukufu zione jinsi gani tutaweza kujiunga mitandaoni kwa kutumia NIDA namba,and then mtandao wenyewe uka translate jina la muhusika halisi hii itasaidia sana kuwabaini wale wote waovu wa taifa letu,bila shaka nchi nyingi sana zitaiga hili wazo kwetu Tanzania, Thank...
  14. O

    JamiiForums Tanzania Ofisi za NIDA Makao Makuu hawaruhusu kurekebisha mwaka wa kuzaliwa uliokosewa

    Ikumbukwe Kuwa Mheshimwa Raisi alitoa muda wa mwaka Mzima kwa wananchi waliokosea taarifa zao NIDA zirekebishwe. Lakini cha ajabu NIDA Amekaidi kurekebisha mwaka wa kuzaliwa tuu wanaweka mazingira Magumu Kama kihitisha cheti cha darasa la 7 nk. Nahisi haya ni mazingira ya Rushwa Kama Rais...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu inawezekana kupata NIDA Namba

    Wakuu inawezekana kupata NIDA NUMBER? Majina yake ninayo Mtu mwenyewe alishakufa mda mrefu Msaada wa haraka unahitajika
  16. Termux

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, NIDA ni haki yako? Je, kwanini huruhusiwi kupata taarifa za NIDA yako ukienda kuomba?

    Ndiyo, NIDA ni haki yako kama raia, kwa sababu taarifa za utambulisho wa taifa ni sehemu ya haki zako za msingi za kutambuliwa kisheria na kupata huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi kupitia NIDA. Kupitia NIDA unaweza kupata Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN), kufungua akaunti ya benki...
  17. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Wakimbizi Raia Wa Burundi Wamekuwa Wakijipatia vitambulisho vya NIDA kwa Njia Hii

    Warundi wengi wana background ya Ukimbizi wa nchi mbalimbali ikiwemo hapa Tanzania. Serikali ya Tanzania iliingia makubaliano na Serikali ya Burundi kuwarejesha warundi wote wanaoishi kwenye makambi ya wakimbizi Nduta na Nyarugusu. Sasa baada ya kurejea makwao, Warundi kwa kushirikiana na...
  18. N

    JamiiForums Tanzania NIDA inatumia mifumo ya kizamani ya miaka ya 90 ndio maana huduma ni mwezi mzima tunatia Aibu tutumie Ai na mifumo ya kidigital

    Kwa kuzingatia mabadiliko ya kiteknolojia, mifumo ya usajili ya NIDA inahitaji kuboreshwa kwa kutumia AI (Inteligensia ya Bandia) na usajili wa kidijitali. Hii ni njia bora ya kuleta huduma bora, haraka, na salama kwa wananchi. Teknolojia hizi zitasaidia kuondoa mapungufu yaliyopo kwenye mifumo...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded NIDA: Kujua kama Kitambulisho chako cha NIDA kimechapishwa, huna ulazima wa kwenda Ofisini, unaweza kujua kwa njia ya Mtandao

    Baada ya Wananchi mbalimbali kupitia Jukwaa la JamiiForums.com kuweka wazi malalamiko yao ya kutopata taarifa ya kujua lini hasa kitambulisho cha NIDA kinakuwa tayari kwa wale wapya waliojisajili na wale ambao wamefanya mchakato wa kupata vitambulisho vipya, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa...
  20. Eratosthenes

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NIDA NA MADENI YALIYOKUWA LINKED NAYO

    Naomba kujua namna naweza kutrack taasisi yoyote ya mikopo iliyo linked na namba ya nida!
Back
Top Bottom