1. Hapakuwa na umuhimu wowote kukamata Tundu Lissu na hizi forced disappearances za kina mdude, soka na wengine, hata Lisu angeongea namna gani, angechoka, hata chadema ingeenda kwenye uchaguzi na wewe, nakuhakikishia wasingeshida, ccm bado ilikuwa na watu wengi, ungeshida uchaguzi bila yote...