Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo tisa katika ziara yake mkoani Manyara ikiwemo kusisitiza kwamba
1. Serikali itaendelea kukopa kwa lengo la kuchochea maendeleo ya haraka. na alisema kuwa maendeleo ni gharama na kuyafikia kunahitaji njia mbili ambazo ni kodi na mikopo hivyo alitutaka wananchi kulipa kodi maana mikopo hiyo lazima irejeshe.
2. Wananchi waendelee na kilimo serikali itaboresha umwagiliaji na mbegu.
3. wananchi wa Mayara waache vitendo vya ukatili kwani vimekithiti.
4. wakulima na wafugaji watakiwa kuacha migogoro.
5. wananchi waagizwa kutunza mazingira kupanda miti badala ya kuikata.
6. wanasiasa wasichochee wananchi kuvamia ardhi kwa nia ya kupata kura.
7. hakuna ukweli wowote wananchi wakisajiliwa TRA itawadai kodi.
8. Mabwawa na maziwa mkoani Manyara tathmini ya mazingira.
9. Serikali kutioa huduma ya maji kulingana na fedha atakayolipa mtumiaji.
Ukisoma kwa umakini utagundua Rais Samia Suluhu ndiye yule kiongozi watanzania wengi tulitamani kua nae maana maendeleo yote haya yanamgusa mwananchi moja kwa moja acha nisema Rais Samia Suluhu ni kiongozi bora zaidi haijawai tokea
1. Serikali itaendelea kukopa kwa lengo la kuchochea maendeleo ya haraka. na alisema kuwa maendeleo ni gharama na kuyafikia kunahitaji njia mbili ambazo ni kodi na mikopo hivyo alitutaka wananchi kulipa kodi maana mikopo hiyo lazima irejeshe.
2. Wananchi waendelee na kilimo serikali itaboresha umwagiliaji na mbegu.
3. wananchi wa Mayara waache vitendo vya ukatili kwani vimekithiti.
4. wakulima na wafugaji watakiwa kuacha migogoro.
5. wananchi waagizwa kutunza mazingira kupanda miti badala ya kuikata.
6. wanasiasa wasichochee wananchi kuvamia ardhi kwa nia ya kupata kura.
7. hakuna ukweli wowote wananchi wakisajiliwa TRA itawadai kodi.
8. Mabwawa na maziwa mkoani Manyara tathmini ya mazingira.
9. Serikali kutioa huduma ya maji kulingana na fedha atakayolipa mtumiaji.
Ukisoma kwa umakini utagundua Rais Samia Suluhu ndiye yule kiongozi watanzania wengi tulitamani kua nae maana maendeleo yote haya yanamgusa mwananchi moja kwa moja acha nisema Rais Samia Suluhu ni kiongozi bora zaidi haijawai tokea