Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
Shekh Mwaipopo amemtabilia makubwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza kwa elimu na usomi alioupata katika ngazi ya chuo kikuu.
Amesema mafanikio ya Dkt. Mwigulu yamechangiwa pia na nidhamu, kujituma, uwezo wa kuwasikiliza wananchi na...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchembaakiwa Bungeni leo Septemba 3, 2026 amezungumzia malipo ya wanajeshi waliopigana katika Vita ya Kagera Mwaka 1978.
Pia soma ~Mafao ya Wanajeshi waliopigana vita ya Kagera imekuwa ahadi isiyotekelezeka
Mara kadhaa Wadau mbalimbali wamekuwa wakihoji kuhusu malipo...
Tumejipanga kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za Elnino - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Bungeni-Dodoma
🗓️ Agosti 27, 2026.
————————————-
Amesema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mtasingwa.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amempongeza Deogratius Ndejembi kwa kuonekana na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa msaidizi wake.
Jana, Jumatano, Agosti 26, 2026, Ndejembi alipendekezwa na vikao vya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Makamu wa Rais, kuchukua nafasi ya Dkt. Emmanuel Nchimbi...
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akishiriki katika hafla ya Baraza la Maulid Kitaifa 2026 amesema kila Mtanzania ana wajibu wa kulinda nchi na kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kuwepo.
Watanzania tunao wajibu wa kutunza hali hii. Tunao wajibu wa kutimiza kwa taifa letu. Tunao wajibu wa...
Mpaka sasa kuna 85% ya Makonda kuukwaa umakamu wa rais au Mwigulu Nchemba.
Mmoja kati ya hawa ndiye atakabidhiwa kijiti.
Tuweni wapole , muda utazungumza .
Mungu atuvushe salama kwenye hichi kipindi kigumu tunachopitia watanganyika.
Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuwapongeza na kuwashukuru wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa katika uzalishaji wa chakula, malighafi, ajira na ukuaji wa uchumi wa Taifa.
Katika maadhimisho ya Siku ya Wakulima (Nane...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 2, 2026 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Jengo la Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Mtumba jijini Dodoma.
WAZIRI MKUU AZINDUA BOTI MBILI ZA DORIA NA UOKOZI
▪️Atoa siku 14 Kituo cha Kitaifa cha Oparesheni kianze kufanya kazi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akiwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wameshiriki katika Semina elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu umuhimu wa mawasiliano Serikalini, iliongozwa na Rais Samia iliyofanyika Ikulu Ndogo Tunguu Zanzibar
FEDHA ZA MARATHON ZILETE TIJA KWA WALENGWA ~ Dkt. MWIGULU
▪️Serikali kuendelea kuboresha miundombinu wezeshi Mkoani Dodoma.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha...
Afrika isiendelee kuwa uwanja wa ushindani wa mataifa makubwa. Tunapaswa kutumia nafasi yetu ya kimkakati, rasilimali tulizonazo na nguvu ya watu wetu kujiletea maendeleo yenye manufaa kwa wananchi wetu - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Dar es Salaam - Tanzania.
🗓️Julai 21, 2026.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Julai 17, 2026 amekagua na kupokea taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa kufanyika Julai 25, 2026 katika Viwanja vya Mashujaa, Mtumba, jijini Dodoma.
Katika ukaguzi huo, Waziri Mkuu ameridhishwa na hatua zilizofikiwa na...
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Julai 17, 2026 amefanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Uganda Marco Elisha Gaguti, Ofisini kwake Mlimwa Jijini Dodoma
DODOMA: Serikali imeahidi kuendelea kuweka uwekezaji mkubwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa (BMH) ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za kibingwa na kibingwa bobezi nchini.
Akizungumza katika hafla hiyo, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amepongeza hatua kubwa...
Wakuu,
Kama unaishi Dar au Arusha alichokisema huyu dada ni kitu ambacho tunakutana nacho kila siku humu mababarani
Nisiongee zaidi msikilizeni dada hapa
Soma Pia: Wenye magari ya Serikali wanaowasha ving’ora wao ndio wanaharaka kuliko wengine kila siku?
Alichokisema:
"Hivi why no one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.