mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Msiseme mimi ni zaidi ya Magufuli, mnawatisha Watu!

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu Wananchi kusema yeye ni zaidi ya Hayati Magufuli kwani inawatisha watu "...Yule dada anasema huyu ni zaidi ya Magufuli. Usiwatishe watu bwana, maana hivi tu wana..... Ametoa kauli hiyo Juni 5, 2026 wakati anazungumza na wakazi wa Isimani, Mkoani Iringa.
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Nchi bado iko salama dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, Wananchi waendelea kuwa waangalifu

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa nchi bado iko salama dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoripotiwa katika baadhi ya nchi za Afrika. Akijibu swali la Mbunge Asha Moto wakati wa kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo Bungeni Juni 4, 2026 Waziri Mkuu amesema serikali inaendelea...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Uchaguzi umepita, watu wote wajikite kwenye kufanya kazi. Tusiwe nchi wanaowaza uchaguzi kila siku

    "Na sasa inageuza kwamba shughuli inakuwa uchaguzi badala ya shughuli zile ambazo zinafanywa na uongozi unaopatikana. Na kwa sababu hiyo, pana mantiki ya kuliangalia upya..." "Tuendelee kusimamia misingi hii kwamba uchaguzi umepita, watu wote wajikite kwenye kufanya kazi. Tusiwe na nchi na...
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Rais amfute kazi Mwigulu Nchemba ameshindwa kutekeleza majukumu yake

    Act wazalendo wamedai kuwa Waziri mkuu ameshindwa kusimamia majukumu hasa usalama wa raia. Hii ni baada Bibi mzeee kulia mbele ya waziri mkuu kuwa mtoto wake ametekwa na polisi tangu Aprili 21 lakini hakupata msaada Au sababu wanaotekwa wanaigiza?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nimeona mama mmoja analia kwa uchungu mbele ya Mwigulu Nchemba kuwa mtoto wake alitekwa na polisi. Je haya ni maigizo yanayofanywa na Chadema?

    Mama huyu amelia kwa uchungu sana. Tena Waziri mkuu ameona kwa kauli yake kwa kusema kuwa wanaChadema wanajiteka akimaanisha hakuna utekaji. Mama amelia kwa uchungu sana maana anadai polisi walifika nyumbani wakijifanya wamachinga na kumteka mtoto wake tangia mwezi wa nne. My take; hata kama...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Waziri mkuu kwa mujibu wa katiba JMT ndio msimamizi wa shuguli zote za serikali. Sasa Msimamizi wa shughuli za serikali anapokuwa namna hii taifa letu linaenda wapi? Limepotea na shughuli za serikali zimekwama. Huwezi kuwa waziri mkuu alafu unatatua kero za wanancho kisanii namna hii. Mfano...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    Nukuu ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, Jumamosi, Mei 23, 2026 alipozungumza na wananchi wa Manispaa ya Iringa katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Kichangani mkoani Iringa: “Wanaotumika kwenye ukibaraka, wanaohangaika na vyeo tusipotezeane muda, kwangu kubwa ni...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Bwana Mwigulu, Mchumi wa Makaratasi, uliyetembelea 'Uwezo wa Mzee Mpango", Acha Siasa za 1900, Unabwabwaja, Watanzania wa Sasa sio wa kuambiwa Upuuzi

    Yaan unajiita Mchumi, mara msomi, alafu kwenye Mkutano Unasema TUKIO la Lissu lilitengenezwa?? Yaan wewe unaona Watanzania ni Mazwazwa ? Au TU umeamua kuwatia Watanzania Hasira wachukie zaidi?. Niku challenge? Kwakua Ni TUKIO la kutengenezwa kwa Lengo la kuchafua Serikali, Toka 2017 Hadi...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba (PM) omba radhi kwa familia za watu waliopoteza ndugu zao. Azory Gwanda na wenzake waliopotea hadi hii leo Maigizo?

    Kauli yako imewachafua sana Watanganyika kwa ujumla. Nasema hivi sababu wazanzibar hawawezi kuchukia. Azory Gwanda na wengine wengi waliotekwa na kupotea ni maigizo ya kuichafua nchi yetu. Yule kijana mchoraji wa Mbeya yupo wapi? Mdude Nyagali yupo wapi? Soma Pia; Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hayo Mei 23, 2026 wakati akizungumza na wananchi katika Viwanja vya Kichangani kwenye ziara yake ya kikazi ya siku mbili. "Tunagombanishwa mno. Watu wanapoteza muda hata wa kutafakari kila jambo, kwamba hili limetokeaje. Unakaa hivi, unasikia sister...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Nimekuja, Nitawashikisha adabu wote wasio na Adabu, tuache kushikilia Mali ya Mtu anayedaiwa

    Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amesema serikali haitavumilia vitendo vya kushikilia mali na vitendea kazi vya wafanyabiashara, akisisitiza kuwa tabia hiyo inakwamisha uzalishaji na ukuaji wa uchumi. Amesema viongozi na watendaji wanapaswa kuacha mazoea ya kukamata mali za watu wanaodaiwa, kwa kuwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu Mwigulu Nchemba jiuzulu kwa kuyachafua mataifa ya jirani hasa Kenya kuwa raia wake walikuja Tanzania kushiriki kupindua serikali ya CCM

    Wakili Maduhu anasema amekagua hati za mashitaka nchi nzima za watu walioshitakiwa kwa kuhusika na uhaini wa Oktoba 29 lakini hakuna hata raia kigeni aliyeshitakiwa. Wewe kama Waziri mkuu baada ya kuapishwa ulitamka kuwa kwenye maandamano hayo raia wa kigeni hasa Kenya walihusika na walikuwa...
  13. H

    JamiiForums Tanzania WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward Summit: Africa-France Perternship for Innovation and Growth) unaofanyika jijini Nairobi Kenya, leo Mei 12...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Serikali itaendelea kusimamia sera, sheria na miongozo inayohusu afya na lishe

    Akizungumza Mei 7, 2026 Bungeni jijini Dodoma Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alisema Serikali itaendelea kusimamia sera, sheria na miongozo inayohusu afya na lishe ili kuhakikisha elimu inayotolewa kwa wananchi inalinda usalama wa afya za Watanzania
  15. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba aongoza kikao cha Mawaziri kujadili masuala ya Muungano Zanzibar

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameongoza Kikao cha Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kilichojadili masuala ya Muungano. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wa Ndege-Zanzibar leo Aprili...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Tasnia ya mazao ya bustani ni sekta ya kimkakati-Dkt. Mwigulu Nchemba

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa tasnia ya mazao ya bustani siyo tu sehemu ya sekta ya kilimo, bali ni sekta ya kimkakati ya biashara ya kimataifa inayounganisha Tanzania na Masoko ya Dunia. Amesema kuwa kwa kutambua umuhimu huo, Serikali ya Tanzania imeendelea kutoa ruzuku ya...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Tuepuke migogoro na mizozo

    Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa waepuke migogoro na mizozo kwa sababu kuna miradi inakwama utekelezaji kutokana na migawanyiko. “Twendeni tukatimize wajibu wetu, tuache migawanyiko...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Huruma ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mwenyekiti wa ALAT anayemaliza muda wake.

    Huruma ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mwenyekiti wa ALAT anayemaliza muda wake.
  19. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Kuna Uwezekano Ni Waziri Mkuu Wa Kwanza kukutana na Wananchi wengi zaidi ndani ya Muda Mfupi na kuwasikiliza kero zao

    Ndugu zangu Watanzania, Mpaka sasa na muda huu wananchi na wasomi mbalimbali Nchini wanaendelea kufanya Tathmini ,utafiti na kufuatilia ziara za Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba katika Mikoa mbalimbali Nchini. Ambapo Mpaka Sasa...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Rais aelekeza fedha za Muungano zikarabati miundombinu

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais, Samia Suluhu ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa kugharamia maadhimisho ya Sherehe za Muungano mwaka huu, zitumike kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Ameyasema hayo, Jumatatu, Aprili 20...
Back
Top Bottom