historia

Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).

View More On Wikipedia.org
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwa nini waislamu wanaona mbwa ni haramu kuishi nae ila historia inasema mbwa ndio kaishi na binadamu kuliko paka.

    Kuna tafiti na zilishakuwepo sana ila uwezi kusema mbwa ni haramu kuishi nao. Jamii ya mbwa tokea kuwepo mwanadamu walianza kuwa marafiki au kutafuta urafiki ulianza hivi. Mbwa walikuwa ni jamii iliyoshindwa kukabiliana na wanyama wenye nguvu kwenye kundi lao la jamii kama simba na wote wenye...
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mohamed Mangiringiri

    MOHAMED MANGIRINGIRI KAMA ALIVYO NDANI YA KITABU CHA ABDULWAHID SYKES Ofisi ya wilaya ya TANU, Tabora, sasa chini ya uwenyekiti wa Mohamed Mangiringiri, fundi cherahani aliyeajiriwa na mfanyabiashara wa Kiasia, G. B. Somji, iliwashirikisha wanachama wote na vyama vilivyokuwa na udugu na TANU...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mohamed Mangiringiri Kama Ilivyo Ndani ya Kitabu Cha Abdulwahid Sykes

    MOHAMED MANGIRINGIRI KAMA ALIVYO NDANI YA KITABU CHA ABDULWAHID SYKES Ofisi ya wilaya ya TANU, Tabora, sasa chini ya uwenyekiti wa Mohamed Mangiringiri, fundi cherahani aliyeajiriwa na mfanyabiashara wa Kiasia, G. B. Somji, iliwashirikisha wanachama wote na vyama vilivyokuwa na udugu na TANU...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Vurugu za Zanzibar 2001: Historia ya Maumivu

    👉 Matukio ya vurugu yaliyotokea Zanzibar baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 ni miongoni mwa matukio yaliyoacha maumivu makubwa katika historia ya kisiasa ya Tanzania. Mgogoro huo ulitokana na mvutano mkubwa wa kisiasa ulioibuka baada ya matokeo ya uchaguzi kupingwa na baadhi ya wadau wa kisiasa...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Jengo la Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika ni Alama ya Historia ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    https://youtu.be/4Azi52gW5U8?si=Ir7sExLBDoRqPSd-
  6. M

    JamiiForums Tanzania Gabo Zigamba afanya filamu ya kisa cha Mkulima Mwamwindi kumuua mkuu wa mkoa Iringa, Dkt. Kleruu

    Mnamo Sikukuu ya Krismasi mwaka 1971, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Wilbert Kleruu, aliuawa na mkulima Said Mwamwindi huko Isimani. Tukio hilo lilitokea wakati wa utekelezaji wa sera za serikali za kutaifisha mashamba makubwa, baada ya kuzuka mgogoro mkali kati yao. Mwamwindi alijisalimisha...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kigamboni Dar: Wazazi waendelea kumsihi mmliki wa shule kumuondoa Mwalimu Mkuu anayeelezwa kuwa na historia ya maadili mabovu

    Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa wito kwa mmliki wa shule hiyo kumuondoa mwalimu mkuu aliyeteuliwa hivi karibuni, kwa madai ya kwamba...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FIFA imeidhinisha mgao wa Tsh. Trilioni 1.9, kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya mashindano hayo

    FIFA World Cup 2026 imeidhinisha mgawanyo wa fedha wa dola milioni 727 (Tsh. Trilioni 1.9) kwa ajili ya mashindano hayo, ambao ni mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo. Kati ya kiasi hicho, dola milioni 655 zitatolewa kama zawadi kwa timu 48 zitakazoshiriki, ikiwa ni ongezeko la...
  9. Red black

    JamiiForums Tanzania Katika historia ya mwafrika hii part naichukia sana na inaumiza

  10. Zack Abdul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania PSG Wamefanya Historia Tena✍️🏆

    👉 Tarehe 30 Mei 2026 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Champions League kwa mara nyingine mbele ya Arsenal katika fainali iliyokuwa na presha kubwa. PSG walionyesha moyo wa kishujaa, utulivu na uzoefu wa mabingwa hadi kufikia...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Shaikh Hasina ni kama historia yake hipo Tanzania sasa

    Achana na stori za vijiweni .Nenda mkasome history ya huyu mama.Yani kama ni copy and paste . tabia yake na mwanaye na magenge,utawala wake na waziri wake na kila kitu.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Ford Foundation Misaada au Mtego wa Kimataifa? Historia ya FF je ina mchango wowote klatika uchochezi wa machafuko popote Duniani haswa Afrika

    Uchunguzi wa Kina · JICHO La Afrika 2026 | Makala ya Uchunguzi Uchunguzi Maalum NA ITS MALEKOGJ. malekoj27@gmail.com 0798888486 Ford Foundation: Siri Zilizofichwa kwa Miaka 70 — Jinsi Philanthropy Inavyoweza Kuwa Silaha ya Kisiasa Kipindi TUTAKACHOANGALIA 1936 – 2025 Nchi Zilizohusika...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Imepokea Vitabu Katika Historia ya Iran, Misri na Marekani

    https://www.facebook.com/share/p/1CiWRBfewf/
  14. Babu Sisu

    JamiiForums Tanzania Historia ya Professor wa chuo cha Udsm aliyeuawa kwa bomu

    Miaka ya 1970 katika chuo cha kikuu cha Dar-es-salaam (UDSM) kulikuwa kuna Professor mmoja maarufu aliefahamika kwa jina la Walter Rodney alikuwa ni raia wa Guyana nchi inayopatikana bara la Amerika kusini Rodney alikuwa ana PHD ya Historia ya Afrika aliyoipata katika chuo kikuu cha London...
  15. The introvert

    JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    Leo tufurahi kidogo ndugu zanguni wa JF ,em tupia kisa chako ulichowahi kukumbana nacho au kushuhudia hata kwa rafiki yako kutokana na matumizi ya kuberi 😂.
  16. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Mafwele soma historia ya Eugene De Kock, polisi katili wa enzi za ubaguzi Afrika kusini

    Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha Vlakplaas nchini Afrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, anafahamika kwa ukatili...
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kutoka Maktaba: Picha Adimu Hazikupata Kuwepo za Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Mkutano wa ndani wa TANU nyumbani kwa Ali Msham Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa miaka ya mwanzoni 1950 Fatilia ukurusa huu In Shaa Allah nitaweka picha zaidi kila nipatapo nafasi. Tumia picha upendavyo hazina hati miliki. Picha hii ilipigwa 1942 wakati Abdul Sykes alipokuja Dar es Salaam...
  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TBC Watembelea Maktaba Kutafuta Historia ya Mwami Theresa Ntare

    https://youtu.be/-rxfkdYqDjM?si=xaqGeZoMg-LGLW6U
  19. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Vurugu zilizotokea ziongezwe kwenye somo la historia ya Tanzania na maadili.

    Huu ni mtazamo wangu binafsi Kwakua Tanzania haijawahi kushuhudia vurugu za aina yeyote suala hili lingeongezwa kwenye somo la historia ya Tanzania na maadili ili kuonesha chanzo cha vurugu ,namna ya vurugu zilivyomalizika,jitihada za serikali zilizochukuliwaa. Lakini pia elimu kwa vijana...
  20. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Yapokea Kitabu Cha Historia ya Tippu Tip Kutoka kwa Hamisi Delgado

    MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA TIPPU TIP KUTOKA KWA HAMISI DELGADO Leo nimepokea kitabu, "Tippu Tip: Ivory, Slavery and Discovery," kutoka kwa rafiki yangu Hamisi Delgado. Nimebahatika kuingia ndani ya nyumba ya Tip Tippu Mji Mkongwe Zanzibar na nje ya hii nyumba yake ndipo lilipo kaburi lake...
Back
Top Bottom