CHADEMA, ACT Wamkaribisha kwa Shangwe Dkt. Samia Suluhu mkoani Lindi

kalacha mateo

Senior Member
Sep 27, 2021
118
237
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
chadema haina wanachama wajingawajinga kama hao, hayo ni matakataka ya ccm yaliyovalishwa mavaz ya chadema.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Hii ni Serikali ya Awamu ya Tano. Watanzania hatujafanya Uchaguzi wa Viongozi wa Awamu ya Sita kuwa na akili basi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Siasa za maendeleo.👏👏👏
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Jambo jema sana maana Rais ni wa watanzania wote na sio wa chama kweli Rais Samia Suluhu anapendwa sana na wananchi wake
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.

Mbona watatu?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.

Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.

Mbona wapo watatu tu?
 
Back
Top Bottom