taaluma

Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (Institute of Kiswahili Studies), known by its acronym TATAKI, is a research body dedicated to the research of the Kiswahili language and literature at the University of Dar es Salaam in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mabalozi wa Nchi watakiwa kutumia taaluma, uzoefu kuharakisha mabadiliko ya kimfumo

    Mabalozi wamehimizwa kutumia taaluma, uzoefu na ujuzi tofauti waliokuwa nao kuharakisha mabadiliko ya kimfumo yanayoendelea ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Kauli hiyo imetolewa leo Aprili, 23, 2024 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka wakati...
  2. I

    Kwa ufaulu huu asome nini?

    Habari wadau... Kijana wangu amemaliza form four mwaka 2023 na ufaulu wake ni- Civ-D Hist-C Geo-D Kisw-C Engl-D Bio-C B/math-F Je? ni elimu ipi itamfaa Kwa upande wa FANI au TAALUMA.
  3. U

    Wazazi tusomeshe watoto waje kujiajiri kwa taaluma walizosomea au kuajiriwa, biashara kwa hapa Tanzania zataka moyo

    Tangu nimezaliwa 1980s mwishoni nimeshaona wafanya biashara wengi sana wakifirisika, kufunga biashara, mtu anaenda dukani kila siku asubuhi hadi jioni hana muda wa familia, kurudishwa nyuma kwa maduka kuungua au kuibiwa, umafia katika biashara, n.k. Lakini kwa wakati huo huo niliona waajiriwa...
  4. Ivan Stepanov

    Nahitaji kijana mwenye taaluma ya uhasibu

    Habar ya jioni wadau. Kindly fall through 👇👇👇👇 Anahitajika: Kijana mwenye taaluma ya uhasibu kwa ajili ya kufanya kazi. Sifa: Kijana wa kiume, kulingana na mazingira ya kazi na uwajibikaji husika. Elimu kuanzia ngazi ya Diploma Uzoefu - Atleast awe na background ya kufanya kazi za kihasibu...
  5. Madwari Madwari

    Taaluma muhimu za kujifunza katika mwaka huu wa 2024

    Kwa ujio wa Artificial Intelligence umuhimu wa kujifunza na kuwa na uelewa wa programmig na coding ni muhimu sana. Kuna ajira nyingi sana ambazo ni remote zipo mitandaoni zinazohitaji mtu mwenye uelewa wa kuandika code na kujua programming. Nimeshuhudia vijana wa Kenya na wengineo huku Ulaya...
  6. Mjomba Fujo

    Taaluma zinazoongoza kwa kuaminika zaidi Tanzania

    Kuna ukweli kiasi gani? Nani kaonewa hapo? Weka maoni yako?
  7. S

    Mawakili tumieni taaluma yenu kuzuia unyanyasaji huu wa Serikali ya CCM dhidi yenu. Enough is enough!

    Naona sasa ishakuwa tabia kwa kila wakili anayejaribu kuikosoa serikali ya CCM anakutqna na rungu la kuvuliwa uwakili. Fatma Karume alivuliwa uwakili kimizengwe, Mawakili Jebra Kambore na Edson Kilato walishitakiwa na kamati maadili baada ya kuonekana ni wakosoaji wakubwa wa Serikali na sasa...
  8. Roving Journalist

    Ummy: Msimamo wangu TMDA wasimamie Maduka ya Dawa, Baraza la Famasia libaki kwenye taaluma

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema “Msimamo wangu tubadilishe Sheria ili Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) ndio isimamie maduka ya Dawa kisha Baraza la Famasi libaki kusimamia taaluma, TMDA ina nguvu na inaweza kufanya kazi." mesema hayo Novemba 17, 2023 katika Kongamano la Tatu...
  9. B

    Ridhiwani Kikwete: Serikali italinda Vijana wapate ajira kwa vigezo vya taaluma na si uzoefu kazini

    Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema serikali itahakikisha inawalinda vijana kwenye soko la ajira kwa kuhakikisha ajira zao za kwanza kwenye utumishi zinazingatia vigezo vya utaalamu wa kada husika na sio uzoefu kazini. Kikwete amesema hayo leo Jumatano Novemba...
  10. T

    Natafuta Volunteer 20 wenye taaluma ya Clinical medicine (8), nursing (7) na physiotherapy (5)

    Habari. Nahitaji Volunteers 20 wenye taaluma ya Clinical medicine (8), nursing (7) na physiotherapy (5) wa hapa Dar es salaam ngazi ya diploma kusaidia shughuli ya upimaji kwa watu wenye uhitaji maalum., Wanafunzi wa NTA level 5/6 pia wanaruhusiwa Usaidizi huo utaambatana na posho ndogo ya...
  11. Dr Akili

    Taaluma isiyo na maadili sio taaluma. Hongera AG kwa kulisimamia hili lakini kwanini usimfutilie mbali Uwakili wa Tundu Lissu badala ya Mwabukusi?

    Maadili ndiyo kila kitu kwenye kila kazi na kila taaluma. Maadili hayo yanajumuisha jinsi unavyoongea, unavyovaa na hata unavyotembea na yanapaswa yazingatiwe hata kama mtu yuko nje ya kazi. Maadili ndiyo utambulisho wa taaluma. Na kila taaluma ina maadili yake special. Mhudumu wa baa...
  12. M

    Sakata la Bandari linaidhalilisha Taaluma ya Sheria!

    Katika kipindi Cha mwezi mmoja Sasa .. Bila shaka Taifa limeingia kwenye sitofahamu kubwa ! HII ni kuhusu Mkataba wa Uwekezaji baina ya JMT na DPW! Mengi yamesemwa ,Kuandikwa na kujadiliwa ! Kinachoshagaza ni namna tasinia ya Sheria inayotumika kukosoa au kutetea Mkataba au Makubaliano haya...
  13. H

    Ni aibu kubwa sana kwa waandishi wa habari kukubali kujidhalilisha kwa kudhalilisha taaluma yenu

    Nimefuatilia siku hizi mbili tatu za sakata la uuzwaji wa bandari ya tanganyika, kwa waarabu wa dubai, kazi wanayoifanya waandishi wa habari ni ya kipuuzi sana, ni bora wangechagua kukaa kimya kuliko kupotosha habari. Kiufupi dunia imebadilika sana na watu wanachagua source ya kuwabarisha...
  14. 2013

    Ukosefu wa taaluma katika vyombo vya habari vya dini

    Vipindi vingi vya Dini hususani vya Kikristo katika radio mbalimbali nchini vinaendeshwa na watangazaji ama wasemaji wasioweza kuzungumza lugha fasaha ya kiswahili. Inaonyesha hata wanao wasaili hawajui kama hawajui kiswahili Sanifu. Mfano, Unakuta mtangazani anatakiwa aseme Roho Mtakatifu...
  15. Stephano Mgendanyi

    Makandarasi Watakiwa Kuzingatia Taaluma

    MAKANDARASI WATAKIWA KUZINGATIA TAALUMA Makandarasi wa ndani wametakiwa kutumia wataalam wenye sifa katika kutekeleza shughuli zao, ili kuifanya miradi inayotekelezwa kuwa na viwango na kudumu kwa muda mrefu kulingana na vigezo vilivyowekwa kwenye mikataba...
  16. OKW BOBAN SUNZU

    Haya ndio madhara ya kuajiri watoto kwenye taaluma

    Unajiuliza hawa ni wawakilishi wa timu kwenye umma au ni vibonzo?! Hapa wanahojiwa na mwana habari, lakini wanajibu upuuzi
  17. Msanii

    Tujiulize uchawi, ramli na mazindiko vina nafasi gani kwenye siass za Tanzania? Je wasomi hawaamini taaluma zao?

    Amani iwe kwenu wachambuzi jadidifu. Ninaleta hoja kwenu ili tuelimishane ikibidi tukosoane ama kuwajibishana Wanasiasa wengi kama siyo wote, wamekuwa wakionesha matendo yao fulani fulani kwa kificho au kwa uwazi kabisa. Wamejenga mazoea ya kutumia watu wanaoitwa waganga wa kienyejj ili...
  18. Equation x

    Kufungua biashara iliyo nje ya taaluma yako, ni upotevu wa ada kwa yule aliyekusomesha

    Wengi tunaamini kuwa, tunachokisoma mashuleni na vyuoni, ndivyo tunavyoenda kuviishi huko mtaani. Tunategemea mtu aliyesoma fani kama udaktari wa kutibu, uhandisi, uanasheria, uhasibu, ugavi, masoko n.k aende akaishi kile alichokisomea, iwe kwa kuajiriwa au kwa kujiajiri. Changamoto iliyopo...
  19. M

    Kumlaumu kocha kwa kumtoa Chama ni kuikosea heshima taaluma yake

    Kila kocha uwa anao mfumo wake na aina ya wachezaji anaowataka kwenye mfumo husika, kitendo cha kumtoa chama kocha ameona aendani na kile anachokitaka hasa kasi kati kati ya uwanja, uyu kocha inaonekana ni muumini wa soka la kasi ndio maana amewakubali kina kibu denis wakati mashabiki...
Back
Top Bottom