sakata

Sakata (酒田市, Sakata-shi) is a city located in Yamagata Prefecture, Japan. As of 1 October 2015, the city has an estimated population of 106,244 in 39320 households, and a population density of 180 people per km². The total area of the city is 602.97 square kilometres (232.81 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. Jidu La Mabambasi

    Mbunge Msukuma: Sakata la kazi visiwani, Wazanzibari ni wavivu!

    Haya sasa, Mbunge Msukuma kawatolea uvivu wale walio ingiza maneno fiksi juu ya ajira na mambo ya Afya inapokuja waTanganyika huko Zanzibar. Msukuma kajieleza vizuri alipoongea na waandishi wa habari. Kimsingi Msukuma anasema Wazanzibari ni wavivu kiasili. Mnasemaji wajameni
  2. peno hasegawa

    Sakata la Milioni 800 za Wananchi: Kilio Chaibuka Ujenzi wa Kituo cha Polisi Itumbi Kusuasua, IGP Aombwa Kuingilia Kati

    Kwa heshima kubwa, tunaiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi Tanzania na hasa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kuchukua hatua za haraka kuhusu malalamiko yanayoendelea kujitokeza juu ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Itumbi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Wananchi wa Itumbi pamoja na...
  3. Pudental

    Nani yupo nyuma ya mpango wa sakata la CWT??

    Tarehe 25-05-2026 Viongozi waandamizi(wakuu) wa chama cha walimu Tanzania yaan kuanzia Raisi wa chama,katibu mkuu pamoja na muweka hazina Taifa ikiwa ni sambamba na viongozi waliopita (Rais na katibu mkuu wake) walifikishwa mahakaman na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumu na matumizi mabaya ya...
  4. Jidu La Mabambasi

    Wabunge wetu mnatia aibu, sakata la vikwazo, huko Bungeni mnamuwakilisha nani?

    Ubinafsi ulioonyeshwa na wabunge wetu wakibanwa imewafanya watie aibu katika jamii. Sakata la vikwazo vya Marekani liko mbele yetu kama nchi. Wahusika binafsi ni wale waliofanya mambo mabaya dhidi ya umma wa Kitanzania. Watu hao ni watekati, waliovuruga utaratibu wa uchaguzi, walioua...
  5. O

    US Yaibana Tanzania Kufuatia Human Rights Abuse na Sakata la Boniface Mwangi na waathira wengine kutoka kenya na Tanzania

    Marekani imechukua hatua kali dhidi ya mkuu mmoja wa polisi nchini Tanzania baada ya kumwekea sanctions kutokana na madai ya ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na serikali ya United States, Kamishna Msaidizi Mkuu wa Polisi, Faustine...
  6. O

    Football Kenya Federation Yatikiswa! FIFA Wafuatilia Sakata ya Kusimamishwa kwa Hussein Mohammed

    Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa. Kwa mujibu wa...
  7. MakinikiA

    Sakata la Iran Wazinzi sasa wataumwa sana UTI

    Vita vya Iran vyachangia kupanda kwa bei ya kondomu Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi iwapo vita vitaendelea nchini Iran. Kampuni hiyo iliopo nchini Malaysia, imesema vita...
  8. Ziroseventytwo

    Sakata la kupanda mafuta, kila kitu kitapanda bei. Isipokuwa kimoja

    Sakata la kupanda mafuta, kila kitu kitapanda bei. Isipokuwa kimoja, Mshahara tu ndio hautapanda.
  9. Ex Spy

    SAKATA LA MWANZA airportT: Kampuni ya Airco Kuondolewa na Mwarabu wa Transom Handling (Oman) Kupewa Kandarasi Kimya Kimya. Nini Kinaendelea?

    Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote, Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari kubwa sana kwa uchumi wetu, usalama wetu, na sera zetu za kuwezesha wazawa. Kuna mabadiliko...
  10. W

    Sakata la Michango Shuleni: Matamko ya Viongozi hayatoshi, tunakwepa Mzizi wa Tatizo

    Sera ya "Elimu Bure" ilikuja kama mkombozi kwa wazazi wengi wa Kitanzania wenye kipato cha chini. Lengo lilikuwa wazi: kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya msingi ya elimu bila kikwazo cha kifedha. Hata hivyo, uhalisia mtaani na mashuleni kila uchwao unazidi kuthibitisha kuwa, huenda elimu hii...
  11. funaku

    Kwanini mwanaharakati Maria Hazungumzii sakata la mafaili ya Epstein?

    Wadau wa mtandaoni wanajiuliza sana kuhusu ukimya wa wanaharakati wa kijamii na kisiasa. Je kwanini mwanaharakati huyu hazungumzii kuhusu files za Jeffrey Epstein??
  12. A

    KERO Wakazi wa Makurunge, kata ya Kiluvya, wilaya ya Kisarawe hali tete baada lile sakata la uvamizi wa uporaji

    Ni baada ya polisi kuanza doria usiku imesababisha raia hasa wale wanaochelewa kurudi majumbani kwa sababi kadhaa wakikutana na polisi wanachezea kichapo kwanza ndo kisha kuhojiwa. Hii imepeleka raia wengi kuwa na hofu asa kuwahi makazini kwao au kutokurudi kabisa kukwepa kurukishwa...
  13. Damaso

    Sakata la Interview za Air Tanzania leo tarehe 31 January 2026

    Kama kuna siku vijana wamejisikia kama wako kwenye onyesho la futuhi—lakini lisilo na kicheko chochote—basi ni siku ya usahili wa ajira wa Air Tanzania leo pale DUCE. Kilichotarajiwa kuwa zoezi la kitaalamu, la haki na la kutoa matumaini, kimegeuka kuwa kilio chenye maswali mengi kuliko majibu...
  14. Jidu La Mabambasi

    Sakata la dhahabu kwa lugha inayoeleweka!

    Tusijumbue kwa maneno mengi!
  15. S

    Asenga aibua ishu ya mtoto wa Rais Samia kupewa unaibu waziri - Sakata la Abdul - ''NONGWA TU''

    https://youtu.be/A9g01IWawAs?si=MpgoXABf4N-5Efu-
  16. DuaZaMama

    Mchungaji Mwakipesile amkosoa Butiku kuhusu sakata la Polepole 'Huaminiki'

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, akimtuhumu kuonesha chuki dhidi ya aliyekuwa Balozi Humphrey Polepole, ambaye hivi karibuni kumeripotiwa sintofahamu juu ya alipo. Mchungaji Mwakipesile...
  17. Waufukweni

    Butiku amshukia mwenezi CCM: 'Ziara ya hovyo', Agusia sakata la CHADEMA

    Mpasuko CCM!? Ni ziara ya HOVYOOO! Mzee Butiku amvaa vikali Mwenezi wa chama cha CCM Kenani Kihongosi na ziara yake huko mikoani.
  18. Think2

    Tujikumbushe hili sakata la CPA seni, limefikia wapi? Mpaka sasa

    "Mkurugenzi wa Fedha na Utawala (Director of Finance and Administration) wa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA), CPA George Mahigu Seni, amesimamishwa kazi kwa kupinga mauaji ya watu wasio na hatia Oktoba 29. CPA Seni anatuhumiwa kuchapisha maneno ya uchochezi kwenye WhatsApp group ya...
  19. M

    Sakata la Polepole Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri

    Asalaam Aleikum - Amani iwe juu yenu. Kwa muda nimejaribu sana kujizuia kuandika lolote juu ya MKASA wa Kiongozi balozi mstaafu Humphrey Polepole. Mengi yamesemwa kwa Ubaya na Uzuri ili mradi kuridhisha nafsi na malengo ya wasemaji. Lakini UKWELI wa yote unabakia kuwa fumbo la Mbayuwayu. Mimi...
  20. Genius Man

    Walio mhoji Murilo sakata la kukamata watu kisha kuwapiga na kuwatupa porini nilisikia amewaambia eti amefuata sheria ?

    Nilisikia murilo anasema alifuata sheria kwenye lile sakata la kuwakamata watu na kuwapiga na kuwatupa porini kwamba ni la kisheria. Mlio muhoji mbona hamkumuuliza vizuri ni sheria gani hiyo isiyo staharabika ya kutupa watu porini, mimi sijasoma sheria lakini haipo sheria kama hiyo. Kama...
Back
Top Bottom