Naombeni connection ili nipate kuingia kwenye kikosi cha kusifu mitandaoni.
Nilisikia mshahara ni 7k kwa siku, hii ni hela kubwa sana nami nataka kuingia kwenye kikosi hiki kwabababu nina uwezo wa kuifanya kazi hiyo kwa weledi
Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo kelele).
Sifa ninazotafuta:
✅ Size: 10 Inch
✅ Impedance: 4 Ohms (Preferably)
✅ Aina: Single Voice Coil...
Wadau hivi kipimo Cha CT-Scan kama nimekosea jina mtanisamehe kinaweza kumulika mwili mzima na kutoa matokeo sahihi ya magonjwa yote yanayonisumbua?vipi side effect ya kupima na kipomo hicho kama zipo nyingi naombeni mniambie.
Hakika kwa nilikofikia nahitaji kufanya checkup ya mwili mzima labda...
Hamjambo
Binafsi nina ombi nalileta kwenu,natafuta mwanamke mwembamba haijalishi umri,rangi,tabia au kabila.Kwa upande wangu nipo sawa umri wangu nipo stage ya tatu.
Kama yupo humu ndani au kuna mdau yeyote anamfahamu mwanamke mwenye sifa tajwa DM yangu ipo wazi.
Asante
Aliyewahi tumia dawa za kuongeza uume na kufanikiwa nahitaji anipe recommendation.
Kama hutaki kucomment unaweza kuja PM
Kama hujawahi tumia tafadhali achana na hii thread 🤣🤣
Ushauri wa kipuuzi sihitaji.
Side effects nazijua kwahyo sitaki comment zakijinga
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...
Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno...
Wadau Salaam!
Ninahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche pamoja na mixer angalau ya lite 200. Mwenye nayo au mwenye uelewa naweza ipata wapi naomba anisaidie kwa kunitumia ujume PM. Asanteni sana.
Salaam wakuu.
Mimi ni kijana umri wangu 28 nipo Mtwara nahitaji mabosi wa kuwanunulia korosho ambazo kwa huku tunaita za kuoka ambazo kwa huku zinanunuliwa kwa Kg 1 Tsh 14000- 16000 malipo juu ya kazi tutaelewana .
Nahitaji mtu wa kinifanyia Config ya DOCKER, PORTAINER, CONTAINERS kama vile Pi hole, Nextcloud, Tailscale-vpn, Paperless ngx, Media automation kama vile SONAAR kwenye NAS SERVER.
0715 240140
Kuna dawa gani zitaongeza urefu na unene wa mashine? Jana nmebahatika kupata jidada lenye kinu kipana sana na mchi wangu umekuwa mwembamba na mfupi.
Je kuna dawa za kuongeza size ambazi hazina madhara? Maana nmelijaribu aaaaargh wapi hatusikizani kabisa. Mimi sisikiii na lenyewe halisikiii...
Habari wakuu
Kiukweli nahitaji kuongeza uelewa kuhusu mambo mifumo ya sim na mambo ya computer like androids, OS, Linux, bypassing and other like that.
Hivo nilipendelea sasa kisaidiwa kupata connection hasa za whatsapp ili kukutana na wataalamu mbalimbali katika group hizo.
ASANTENI SANA.🙏🙏🙏
Habari ndugu wanaJF wenzangu mimi ni mgeni humu ndani. Nimejulishwa jukwaa hili na rafiki yangu wa karibu baada ya kumuelezea changamoto nazopitia katika ofisi yangu.
Kiufupi ni kwamba mimi ni msichana umri miaka 25 nimemaliza shahada ya ualimu mwaka juzi. Baada ya kukaa mtaani kwa takrban...
Simu: 079 531 536 9
Nimerudi tena, baada ya andiko la kwanza naona wawekezaji mnakuja na kuondoka.
Habari;
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Ninahitaji mdhamini kwenye biashara ya mazao ya bahari.
Kwasasa nimeanza kufanya hii biashara nikishirikiana na Mama angu mzazi, lakini mimi...
Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Maisha ya upweke ymenichosha hivyo nahitaji mwanamke wa kuishi nae maisha ya kumpendeza Mungu.
Sifa kubwa awe na uhitaji wa mume kweli na pia awe mwanamke mwenye maono kuhusu maisha na awe mwanamke anayejitambua.
On top of that, elimu yake isipungue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.