nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Sio kwamba anakupenda, Anakuhitaji kwaajili ya kutimiza nahitaji yake

    Habari wadau, Haya mahusiano Yana Siri kubwa sana 1.Wakati wewe mwanaume unafikria kuwa umempata mke wa maisha mwanamke anafurahi kupata boya la kumaliza shida zake za kwao na kumsaidia ex wake mtaji. 2 Kuna mwanaume unamwona kama vile kakuzimia anatangaza na ndoa kabisa kumbe akili zake...
  2. chapati mbili na chai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    JF Jeshi kubwa Niko hapa sihitaji mnipe Hela naombeni kazi au shughuli ya kufanya Ili mpaka kufikia tarehe tajwa hapo (Laki mbili na elfu stini za kitanzania) niwe na kiasi hicho Cha Pesa. Nipo Pugu Kinyamwezi hapa msaada wenu ni WA muhimu Sana. Thanks in advance
  3. Gabb_y

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanya biashara au mawinga nahitaji combination hii ya nguo

    Habari wakuu nilikuwa naomba kuulizia wapi ninaweza kupata combination kama hii?
  4. betting machine

    JamiiForums Tanzania Nahitaji namba ya daktari wa afya ya uzazi kwa wanaume , nasumbuliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume

    Nahitaji daktari humu ndani niwasiliane nae naombeni msaada wenu tafadhali
  5. baunsamuoga

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI MSHAURI.

    Mimi ni mkulima mdogo kutoka mkoa X, nimechungulia pia kwenye fursa ya ushonaji, kudalizi pamoja na kudizain nikiwa Nina lengo la kufanya uwekezaji mdogo kupata kiwanda kidogo (small garments) ambapo nitajikita kwa vijana zaidi ili kuwainua kwa fani hiyo. Dhima yangu ninaomba nipate mtu mwenye...
  6. Karanga Lawfirm

    JamiiForums Tanzania Nahitaji printer ya mkopo

    Habari, Mimi nikijana naejishughulisha na biashara ya stationery katika mkoa wa Songwe wilaya ya Mbozi . Printer nayotumia nilinunua Kwa mudu inachangamoto ambazo zinaathiri utendaji wangu wa KAZI. Naomba msaada kama Kuna taasisi au mtu BINAFSI anayoprinter inayofanya KAZI vizuri na kwasasa...
  7. 888I

    JamiiForums Tanzania Nahitaji simu (Google pixel 9 a/pro)

    Wanajamvi nahitaji simu aina hiyo sasa kila nikipita mitandaoni nakutana na matangazo Cha ajabu Bei ni Chee kweli kweli Hadi zinanitisha mara Tsh 400k mara 350k nikiwasiliana nao wananieleza lipia nusu ukipokea mzigo unakamilisha nimewachek watatu Hadi sasa na wote ujumbe ni huo. This deal is...
  8. E

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI MUME HIV POSITIVE

    Habar Mimi ni kijana wa miaka 28 Ni hiv positive, hivyo nahitaji meantime mwenye status ya afya kama yangu lengo kuanzisha familia pamoja
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kipato changu ni 400k na marupurupu 300k kila mwezi. Nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi na maziwa ili kidogo nipate chochote

    Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya. Wadau najua wataalamu na wafanyabishara wamo humo ndani naombeni ushauri kama nilivyoeleza hapo juu kuwa kipato changu na nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi je hiyo pesa inatosha kwa mtaji na ni vitu gani hasa vinahitajika ili...
  10. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Nahitaji container 40 ft

    Wakubwa heshima kwenu, nahitaji container used 40 ft. Lisiwe limeoza ama lisiwe na kutu popote. Nipo musoma. Njoo na offer yako
  11. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Habarini wakubwa ninawasalimia. Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake. Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo...
  12. Harrykany

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kazi Arusha mjini au Moshi mjini, Mimi nipo iringa

    Mimi ni kijana mwenye umri 28 nipo iringa ni fundi sofa na vitanda vya sofa kwa pamoja, najua kutumia cherehani na kukata vitambaa kwa jiri ya kushonea sofa, hivyo kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kazi iyo naomba anitumie ujumbe, inbox kwa mawasiliano zaidi, hata kama ipo kazi nyingine yoyote...
  13. Marry Diana

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  14. Madame S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji dada wa kazi

    Hello! kama uko na mtu anahitaji kaz za ndan naomba nicheki, location ni pemba,
  15. Kilimi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    vigezo-wawe na namba ya nida , -wawe na sehemu ya kukaa kibaha - wawe wanaume tu -wawe waaminifu - wawe tayari kwa kazi -mshahara 200k kwa mwezi -whatsap tu 0657392242
  16. chapati mbili na chai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kusimamia ujenzi

    Nina uzoefu na kufanya kazi kwenye ujenzi kama Kuna mtu anataka mtu wa kusimamia ujenzi wa nyumba yake Niko hapa
  17. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Adui Yangu Anaitwa Simu

    Hii sio kawaida! Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee! Youtube Insta Fb Site za wakubwa(twice) Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu) .. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being...
  18. Kakondele

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ekseli shaft ya Nissan civilian

    Nahitaji ekseli shaft ya Nissan civilian model RYW40 ya tundu sita meno 42 mawasiliano 0759399805
  19. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria ila Nida yangu imekosewa

    Kwema wakuu? Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”). Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
  20. Powder

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Silver Mercury ya kuoshea Dhahabu.

    Nahitaji angalau 300 kg, nataka kuingia Polini nikaweke kambi, nachukua kuanzia 50 kg Toka Kwa Seller mmoja. Nipo Dar. Karibu DM.
Back
Top Bottom