nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kilimi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    vigezo-wawe na namba ya nida , -wawe na sehemu ya kukaa kibaha - wawe wanaume tu -wawe waaminifu - wawe tayari kwa kazi -mshahara 200k kwa mwezi -whatsap tu 0657392242
  2. chapati mbili na chai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kusimamia ujenzi

    Nina uzoefu na kufanya kazi kwenye ujenzi kama Kuna mtu anataka mtu wa kusimamia ujenzi wa nyumba yake Niko hapa
  3. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Adui Yangu Anaitwa Simu

    Hii sio kawaida! Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee! Youtube Insta Fb Site za wakubwa(twice) Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu) .. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being...
  4. Kakondele

    JamiiForums Tanzania Nahitaji ekseli shaft ya Nissan civilian

    Nahitaji ekseli shaft ya Nissan civilian model RYW40 ya tundu sita meno 42 mawasiliano 0759399805
  5. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria ila Nida yangu imekosewa

    Kwema wakuu? Ninahitaji kupata passport ya kusafiria ila jina lililoko kwenye nida limekosewa herufi moja tu (badala ya kuishia na herufi “ni” jina la mwisho limeishia na “n”). Siko na kitambulisho mkononi kipo mkoani huko na time hii niko DSM. Je, inawezekana?
  6. Powder

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Silver Mercury ya kuoshea Dhahabu.

    Nahitaji angalau 300 kg, nataka kuingia Polini nikaweke kambi, nachukua kuanzia 50 kg Toka Kwa Seller mmoja. Nipo Dar. Karibu DM.
  7. Sexer

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mwanamke mzuri wa kuoa

    Binti mrembo ambaye yuko tayari kutulia na mme aje inbox chap, umri wangu ni miaka 37, pia asome Uzi huu na azingatie Waepuke wanawake masikini
  8. stan john

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kukunia nazi

    Habari, Nahitaji machine ya kukunia nazi kwa ajiri ya biashara ya genge, Nipo Dar ,mabibo Naomba kujua wapi nitapata na Bei yake , Asante
  9. abdallah sadiki mohamedi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Nimekubali mimi ni mgeni maana kila post napewa lawama mgeni mgeni 🤔🤔 lengo ni kuondoa stress na kupotezea vitu nipo humu kukutana na watu tofauti Nahitaji marafiki zaidi karibuni sana 😘😘
  10. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Habari za Ijumaa wana JF. Mimi leo nimeona nije na hii mada tajwa nahitaji kujifunza mambo ya asili hasa matambiko faida zake pamoja hasara zake kama zikiwepo. Na vitu gani vinatakiwa katika kukamilisha zoezi hilo la kutambika. NB: Mimi asili yangu mkurya itapendeza sana kurya iwe case study...
  11. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Router ya biashara

    Wakuu. Samahani, naomba mwenye uzoefu zaidi anaweza kunisaidia ni Router ya kampuni gani naweza kupata kwaajili ya biashara ya WiFi kwenye ofisi yangu ambayo mteja atakua analipia either kwa muundo wa kununua vocha or njia yoyote ambayo itaniwezesha ku control mapato hata nikiwa mbali na eneo...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji coster ya kukodisha kwa siku 180k mafuta juu yetu

    Kama una coster unakodisha inahitajika leo kwa siku 180k itakodishwa ndani ya miezi 6.mafuta kwetu dereva juu yako lakini tunamhudumia kila kitu.kazi ni site singida lkn gari hiyo lazima ije hapa ofisini kukaguliwa na kufungwa kingamzi na camera.kama uko tayari ilete gari
  13. Kilimi

    JamiiForums Tanzania Nafasi 10 za kazi kwa watafsiri wa kichina na 10 kwa wapishi wa kichina

    naitaji watu 10 ambaye yupo tayari kufanya kazi KIBAHA na DSM kwa nafasi ya mtafsiri wa kichina na 10 mpishi wa kichina anaeweza kupika vyakula vya kichina (certified) -uzoefu wa miaka 2 au zaid tuma cv 0657392242
  14. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna kitu kimoja kinanisumbua nahitaji ushauri

    Nina uwezo wa kupenda wanawake wengi sana hata 500 kwa pamoja, na nikishampenda mwanamke yeyote, hakuna kitachofanya niache kumpenda. Hii inaonekana nzuri lakini inaniletea tatizo moja, hata wanawake niliowahi kuwapenda nikiwa na miaka 9, licha ya kuootezana kwa muda mrefu bado nawapenda Hata...
  15. C

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuingia kwenye 'kikosi cha kusifu'

    Naombeni connection ili nipate kuingia kwenye kikosi cha kusifu mitandaoni. Nilisikia mshahara ni 7k kwa siku, hii ni hela kubwa sana nami nataka kuingia kwenye kikosi hiki kwabababu nina uwezo wa kuifanya kazi hiyo kwa weledi
  16. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkulima mpunga kuanzia heka 5

    Kama unadeal na ukulima mpunga Naomba nicheki kwa 0713 039 875 tufanye biashara
  17. 0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji subwoofer (10 inch)- single voice coil

    Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo kelele). Sifa ninazotafuta: ✅ Size: 10 Inch ✅ Impedance: 4 Ohms (Preferably) ✅ Aina: Single Voice Coil...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufanya check up ya mwili mzima nijue magonjwa niliyonayo

    Wadau hivi kipimo Cha CT-Scan kama nimekosea jina mtanisamehe kinaweza kumulika mwili mzima na kutoa matokeo sahihi ya magonjwa yote yanayonisumbua?vipi side effect ya kupima na kipomo hicho kama zipo nyingi naombeni mniambie. Hakika kwa nilikofikia nahitaji kufanya checkup ya mwili mzima labda...
  19. Bunchari

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke mwembamba aliyenyooka

    Hamjambo Binafsi nina ombi nalileta kwenu,natafuta mwanamke mwembamba haijalishi umri,rangi,tabia au kabila.Kwa upande wangu nipo sawa umri wangu nipo stage ya tatu. Kama yupo humu ndani au kuna mdau yeyote anamfahamu mwanamke mwenye sifa tajwa DM yangu ipo wazi. Asante
  20. MEGATRONE

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mfamasia ngazi ya degree

    Habari nahitaji Mfamasia Ngazi ya Degree! Aliye tayari tuwasiliane: Contact: 0672473087
Back
Top Bottom