Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
mesema hayo Novemba 17, 2023 katika Kongamano la Tatu la Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa Mkoani Arusha ambapo amesisitiza kuwa hadi Januari 15, 2024 pendekezo hilo liwe limefika kwake ilia aliwasilishe kwenye Baraza za Mawaziri.
Kupitia Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com, Mdau alilalamika kuwa baadhi ya Maafisa wa Ofisi ya Mfamasia Mkuu wamekuwa wakiwanyanyasa Wamiliki wa Maduka ya Dawa kwa maslahi Binafsi na kushauri Wizara ya Afya kuchukua hatua dhidi ya changamoto hizo.
Pia soma = Ofisi ya Mfamasia Mkuu inawanyanyasa sana wamiliki wa Maduka ya Dawa Nchini