kazini

  1. M

    JamiiForums Tanzania Duchu: Jina ni langu natamba nao, suala hili lipo kwenye mikono ya sheria, kazini wamechukua hatua

    "Ai see, hilo swala bwana... Kwanza ningetamani sana kukujibu lakini sasa ha- hili jambo pia lipo kwenye... kwenye mikono ya sheria kwa hiyo sasa kila... Kwa upande wa ambao wanalilalamikia jina... wanaosema wamepotezea jina nao wana... wana mashtaka yao, lakini na mimi pia nina mashtaka yangu...
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Maturity ni kugundua kuwa kiuhalisia unaishi kazini na nyumbani kwako unaendaga kutembelea tu. Nawaombea financial freedom wapambanaji.

    Kuna namna unajikuta kuwa mateso ya kifedha ndio mtaji wako, hata katika unafuu unajikuta kupitia stress za madhara ya "deep state economy", Muda na energy unayo invest haikulipi sambamba na commitment yako. Watu wengi wanaishi katika credit, hakuna mwenye surplus, ili kujikimu inabidi ukope...
  3. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    Mimi namwamini Mungu katika Yesu kristo na President ambitionist SINA KANISA HUDUMA YANGU NI ONLINE Anzia page ya 5 post ya 100 ndo mistari inapoanzia na itakupa mambo yafuatayo Itakupa wazo jipya kwenye fikra zako na mbinu za kufanya ili utoke hapo ulipo Kama kuna roho chafu itaziondoa...
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania Chimbuko la uchawa ni mishahara midogo sana kazini

    Kazi yangu mimi ni biashara ya genge, nauza mboga. Nilichogundua hapa kijijini kwetu ukiona noti mpya nyingi zinakuja gengeni kununua bidhaa ujue watumishi wamelipwa misharaha yao. Wingi wa hela hizi nyingi na mpya unapotea ndani ya siku 7 hadi kumi tu. Nikamuuliza mwenzangu anaemiliki glossary...
  5. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Mstaafu mmoja anarudi tena kazini, wengi mtashangaa

    Kutoka kwenye korido za siasa huko teeth, Mstaafu mmoja aliyependwa sana awamu ya 5 tayari amedokezwa ajiandae kula kiapo siku chache zijazo kama Makamu wa Rais mpya.
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya Kasulu DC, Walimu tulioajiriwa 2025 hatujathibitishwa kazini

    Walimu tulioajiriwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu (Kasulu DC) mwezi Julai 2025 bado hatujathibitishwa kazini hadi sasa. Hatujapewa maelezo ya wazi kuhusu sababu ya kuchelewa kwa uthibitisho huo, hali ambayo imekuwa ikitutia wasiwasi na kutokuwa na uhakika kuhusu ajira zetu. Tunaomba...
  7. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Je matendo ya Trump kumpendelea Mrusi na maksudi kazini kama mKGB?

    Niliwahi sikia hizi tetesi kitambo... na nimekuwa namuangalia anavomsema vizuri hata kumtendea mema putin na nchi yake... na anavomkaripia zelinski. Kuna wakati najiuliza huu ni ukichaa wake, uzee, ama maksudi akiwa kzn... wenzangu mnasemaje https://youtu.be/TYI4EoAPq4U?si=B8wC9KTr439VXKBI...
  8. J

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama alivyoelekezwa. Hata hivyo, alipofika katika kituo hicho, aliambiwa kuwa kituo kina magari machache na hivyo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Pale unapokataliwa kazini nini cha kufanya ?

    Miaka kadhaa mara baada ya kuangaika hapa na pale kutaguta ajira nikafanikiwa kuajiriwa ofisi moja ya umma Kwangu lilikuwa jambo la heri sana kupata kazi, na kwa wazazi wangu walifurahi sana kijana wao kupata kazi. Mara baada ya taaribu za ajira nilipangiwa kituo cha kazi mkoa jirani na...
  10. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Rasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.
  11. Soul21

    JamiiForums Tanzania Upigaji kupitia semina za kutoa mafunzo kazini, Chanzo cha elimu duni.

    Wizara ya elimu chini ya Professor Mkenda imeendelea na upigaji wa pesa za elimu. Moja, wanatengeneza semina na mtaala mpya ambazo hazina kiwango cha kutosha iki kupata pesa za kuendeshea na pesa hizo zinaishia mkononi kwa watu wachache nasi walimu walio hudhuria semina hizo Semina hizo...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mv Liemba yarudi kazini, uwezo wa usafirishaji wa abiria na mizigo waongezeka

    Meli ya MV LIEMBA, inayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo katika Ziwa Tanganyika, inatarajiwa kurejea katika huduma hivi karibuni baada ya kukamilika kwa ukarabati mkubwa ulioanza Julai 2024. Ukarabati huo umehusisha mabadiliko makubwa ya mifumo na miundombinu ya meli, ikiwemo...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Urambo DC: Mganga Mfawidhi kutokuwepo kazini, hali hiyo hutokea kwa nadra

    Halmashauri ya Wilaya ya Urambo imefuatilia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii katika ukurasa wa Jamiiforums ikidai kuwa "Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Kata ya Itundu hafiki kazini", hali inayosababisha wananchi kukosa huduma za afya. hivyo kutokana na uzito wa suala hilo...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Meta wapo kazini muda wote

    Meta muda wote wana process data hawalali , watumishi wa umma bado unasikilizia muamala tuuh hadi lini , ninaona post za walimu kama wote na nyingi sana . Mi yangu mawili amua uwe na boss zaidi ya mmoja au endelea toa comment hapa jamii forum na mbaya zaidi boss wako haendeshwi kwa comment .
  15. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi mnapokuwa kazini kuweni makini, ona Civilian-Coin anacho wafundisha

    Watch
  16. V

    JamiiForums Tanzania Walimu wa arts na lugha waanza kuitwa kazini #kiswahili, English,htm

  17. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini watumishi wa huduma afya wakiwa kazini wanavaa sana yeboyebo je ndio utaratibu rasmi wa wizara ya afya?

    Nipo katika hospital ya Wilaya ya Mkalama muda huu. Naona kila mhudumu wa afya anapita kavailia uniform nadhifu lakini cha kushangaza chini wanavaa yeboyebo tena za shilingi elfu tano tano. Je, ndio utaratibu rasmi wa Wizara ya Afya?
  18. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Zahanati ya Kata ya Itundu, Wilaya ya Urambo - Tabora, Mganga Mfawidhi anaenda kazini anapojisikia

    Zahanati ya Kata ya Itundu, Wilaya ya Urambo katika Mkoa wa Tabora, Mganga Mfawidhi anakuja kazini anapojisikia ni kama Mganga Mkuu wa Wilaya ameshindwa cha kufanya. Kwa wiki anaweza kuna mara moja au hasije kabisa hali hii ibasababisha wananchi wasipate huduma stahiki. Kwa utaratibu anatakiwa...
  19. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Majungu na fitna kazini

    Leo nimewawaza sana wale watumishi wanaopitia madhira na manyanyaso, mateso na wakati mwingine kutengwa kazini kwao. Katika semina zangu za Uongozi wa Kimkakati, Itifaki, Maadili ya Uongozi na Ustaarabu, nimekuwa nikugusia eneo moja nyeti sana. Nalo ni kuepukana na majungu kazini. Ofisi nyingi...
  20. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Zamani msichana akiolewa alikuwa anaumwa wiki nzima Anaamka anachechemea. Siku hizi kesho yake anaamkia kazini. Bado natafuta tatizo liko wapi?

    Zamani msichana akiolewa alikuwa anaumwa wiki nzima. Anaamka anachechemea. Siku hizi kesho yake anaamkia kazini. Bado natafuta tatizo liko wapi…
Back
Top Bottom