tanganyika

Tanganyika was a sovereign state, comprising the mainland part of present-day Tanzania, that existed from 1961 until 1964. It first gained independence from the United Kingdom on 9 December 1961 as a state headed by Queen Elizabeth II before becoming a republic within the Commonwealth of Nations a year later. After signing the Articles of Union on 22 April 1964 and passing an Act of Union on 25 April, Tanganyika officially joined with the People's Republic of Zanzibar and Pemba to form the United Republic of Tanganyika and Zanzibar on Union Day, 26 April 1964. The new state changed its name to the United Republic of Tanzania within a year.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Samia anasikitikia KIFO cha Mzanzibar Mwenzake, ya Okt 29 ,Kwa akina Mama wa Tanganyika aliwaambia 'Kwanini mliwaruhusu Vijana wenu waandamane "

    Hatusahau Hatusahau Hatusahau!!.
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kutoka Maktaba: Picha Adimu Hazikupata Kuwepo za Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Mkutano wa ndani wa TANU nyumbani kwa Ali Msham Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa miaka ya mwanzoni 1950 Fatilia ukurusa huu In Shaa Allah nitaweka picha zaidi kila nipatapo nafasi. Tumia picha upendavyo hazina hati miliki. Picha hii ilipigwa 1942 wakati Abdul Sykes alipokuja Dar es Salaam...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Picha ya Makatibu wa Kwanza Tanganyika Baada ya Jamuhuri 1962

    Hii ni picha ya makatibu wa kwanza baada ya nchi yetu kuwa jamhuri mwaka1962. Katika picha hii walikuwa wamebaki watatu waliohai kabla ya kufariki dunia Paul Sozigwa aliye wa pili kulia msitari wa pili. Tunao waombea mmaisha zaidi ni fredrick mchauru 97yrs aliye wa pili kushoto mstari wa pili...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mashujaa FC Vs Simba Sc Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma, 14 Mei 2026

    Yap Yap ni Leo, Mei 14 2026 Simba ndani ya Msitu mzito wa Sokwe Aina ya Mashujaa FC, Mashujaa wamejiapiza kuikaanga Simba siku ya leo huku Simba wakiweka wazi kuwa kilichowapeleka Kigoma ni alama 3 tu na si vingine, kwani utalii wa kuona Sokwe si jambo lao. Simba leo watakuwa na Presha kubwa...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Jitu kama hili halina habari na Liberation struggles za Tanganyika. FLUINISHING

    Kilichotuumiza ni FLUINISHING
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Faida za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni zipi?

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una faida zipi? Isije ikawa tunapinga tu jambo lenye faida/manufaa.
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hawa Wazanzibar wanaotumia Leseni za Zanzibar kuendesha gari Tanganyika Wakamatwe

    Tangu Samia Suluhu Hassan ajimilikiishe Tanganyika, kumekuwepo na Wimbi la Wapemba wansotumia Leseni za Zanzibar Tanzania bara. Hawa ndugu zake samia wote wana leseni za Zanzibar. Wote wakamatwe kwani Leseni sio jambo la Muungano. Pia wasiijifanye ni International license sababu Zanzibar...
  8. 4

    JamiiForums Tanzania Sauti ya Mungu inaniambia utashindana na Tanganyika ila hutoweza, watakuja wababe na ni suala la muda tu kisiwa kitakuwa mateka ya Tanganyika

    Leo sina salamu, siku hazigandi, wanaonizunguka wananichora tu, kuna siku kisiwa kitatawaliwa kibabe na Tanganyika kama Tawan, na hakutakua na namna, niyafanyayo mpaka vitukuu wangu watajutia sana. Cha msingi natakiwa hacha ubinafsi, muungano hautokufa bali utaboreshwa na haitakua kwa maombi...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya Tanganyika baada ya kuuza na kugawa kila kitu

    Tukichambua hoja hii ya kwamba "kuuza kila kitu ni kuuza urithi," tunaingia kwenye kiini cha mjadala wa uzalendo, uchumi, na mustakabali wa Tanganyika .Hapa ngoja nichambue kwa kina kwanini dhana hii ni nzito na ni muhimu kwa mustakabali, uhai na ustawi wa Tanganyika 1. Kupotea kwa Maamuzi...
  10. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Tanganyika tunafeli hatuitangazi Mafia island

    Tanganyika tunafeli sana tuna kisiwa cha kitalii kizuri lakini hatukitangazi , vivutio vilivyopo mafia havina utofauti na Zanzibar lakini hatuweki juhudi kukitangaza kisiwa cha Mafia , sina maana ya ubaguzi mimi ni muumini wa Muungano ila tu nakumbushia pia vivutio vyetu vya bara huku
  11. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uwe hai au umeuliwa, Humphrey Polepole umeliponya taifa la Tanganyika

    Ni kweli Humphery sababu ya kisema ukweli tu kuwa Rais Samia anaiba rasilimali za Watanganyika? Kosa lako lilikuwa ni nini? Kuwaeleza ukweli Watanganyika kuwa Samia ni zao la wanaCCM chini ya mstaafu?
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Makosa SUGU Katika Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    https://youtu.be/XPUzrHfjH2s
  13. M

    JamiiForums Tanzania Bendera ya Tanganyika, Ishara ya Ukombozi

    Hakuna Ukombozi hadi Tanganyika huru. Vijana Tiktok wameanza upya.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Leo ndio nimeamini Tanganyika itapiganiwa na Watanganyika wenyewe

    Kwa hali jinsi ilivyo tusitegemee mtu kutoka visiwani au Comoro aje aipiganie nchi yetu Tanganyika Yule asuman wa tume nadhani ni mvisiwan yule ni ngumu SANA kukubal hali ya uchaguzi uliopita ulisababishwa na dada yake kushupaza shingo na ndipo akamchagua yeye kuziba kelele halali za...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chande. Imevunja Umoja wa Tanganyika na Zanzibar

    Tunzeni hii kumbukumbu
  16. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Warioba aliwahi kusema CCM waipe Tanganyika mamlaka yake Kabla watu hawajaidai. Maandamano yote yajayo yanakuja na hoja ya "Free Tanganyika". Sasa imagine Rais kutoka Zanzibar unawazuiaje Watanganyika kuidai nchi waliyokualika tu. CCM itatuma machawa wake kuongea nini. Hatimaye hatari...
  17. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Public Statement: Chande's Commission Has No Answers For The Mass Killings of Innocent Tanganyika Citizens during and after 29th October 2025 Sham Ele

    The Chande Commission Has No Answers for the Killings of Tanganyikan Citizens on October 29, 2025 For Urgent Release Dar es Salaam, 02 April 2026 No. 56 1. It has been 6 months since terrorist leader Samia Suluhu Hassan and her terrorist son Abdul Hafidh Ameir, terrorist daughter Wanu Hafidh...
  18. Ileje

    JamiiForums Tanzania Zanzibar inavyoichafua Tanzania (Tanganyika) kimataifa

    Zanzibar kwa kutumia mamlaka yao ya ndani imekuwa ikisajili meli za walanguzi wa madawa ya kulevya na kuwaruhusu kutumia bendera ya Tanzania. Hali hii imeiweka Tanzania katika hali mbaya sana kimataifa kuwa nchi inayosambaza dawa za kulevya duniani na hivyo kushusha hadhi kama moja ya nchi...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Pole sana Tanganyika

    A stolen sovereignty.. Hakuna marefu yasiyo na ncha Bei ya mafuta Zanzibar leo
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baadhi ya Watumishi Halmashauri ya Tanganyika hatujalipwa malipo ya likizo tangu 2024

    Natokea Halmashauri ya Tanganyika Mkoa wa KATAVI, kuna tatizo kwenye malipo ya likizo kwa Watumishi wa Serikali, mfano likizo ya December 2024 kuna Watumishi hawajalipwa pesa hata mia, cha ajabu Mwaka 2025 walilipa kidogo. Yaani kama unadai shilingi Laki 5 basi unalipwa laki moja, ila kuna...
Back
Top Bottom