wazazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Kombo: Rais Samia amesemwa na kuchorwa sana baada ya uchaguzi, wakati amefanya kazi kubwa kutulinda kuwa na uhai

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa siku za hivi karibuni Rais Samia amekuwa akisemwa na kuchorwa sana na lawama zote kupewa yeye kutokana na matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi, wakati rais alifanya kazi kubwa ya kikatiba...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi— "Tumuoneeni huruma kiongozi wetu" Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje, jana Mei 26, 2026, Balozi Mahmod Kombo amewataka Wabunge kumlinda Rais dhidi ya mashambulizi ya shutuma mbalimbali hasa kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025. “Anayepitia...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wimbi la ‘single mothers’, wa kulaumiwa zaidi ni Wazazi na Serikali

    Siku za hivi karibuni single mothers wamekuwa wakilaumiwa, kukejiliwa na kurushiwa maneno mengi ila ukweli ni kwamba wao ni matokeo tu na sio sahihi kuwananga wao badala ya kuangalia chanzo. Ukweli ni kwamba chanzo kikubwa cha single mothers ni wazazi kushindwa kuwahudumia watoto wao wa kike na...
  4. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Katika pita pita zangu nimekutana na watoto acha niwaite tu "broiler" Wana tabia za ajabu sana ila kilichonishtua ni kuona wazazi wao wanachukulia normal sana hawashutuki wala hawajali juu ya tabia za ajabu ajabu walizo nazo watoto wao. Nimeshangaa rafiki yangu kanialika chakula cha usiku...
  5. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Fadhira za kuwatendea wema wazazi wawili

    Assalam alaykum. Tujikumbushe fadhira za kuwatendea wema wazazi wetu Katika Uislamu, baada ya haki ya Mwenyezi Mungu ﷻ, hakuna haki kubwa kuliko haki ya wazazi wawili. Kuwatendea wema wazazi ni sababu ya kupata radhi za Allah, kuongezewa baraka, na kufunguliwa milango ya kheri duniani na...
  6. UTPC

    JamiiForums Tanzania KIGOMA: Wazazi Kasulu washauri kubadilishana zamu kupunguza Utoro Shuleni

    Sehemu ya pili ya makala hii iliweka wazi chanzo kikuu cha tatizo la utoro wa wanafunzi zaidi ya 2000 kuacha masomo kila mwaka, ifikapo msimu wa kilimo katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu kuwa ni mitazamo hasi ya jamii juu ya elimu, ikichanganywa na changamoto za kiuchumi, miundombinu na...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Waitara: Wabunge tunapata huduma ya bima lakini wazazi wetu hawajajumuishwa, inaleta taharuki katika familia

    Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia nyingi wakati wazazi wanapougua. Akizungumza bungeni leo Mei 12, 2026, Waitara ameeleza kuwa utaratibu...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wazazi wenzangu huwa tunaongea na watoto wakiwa bado tumboni ili kuwajenga namna tunataka wawe?

    Kuongea na mtoto aliye tumboni ni kitendo cha mzazi (hasa mama au baba) kuwasiliana na mtoto kabla hajazaliwa kwa kutumia sauti, nyimbo, kugusa tumbo na kumwambia kwa upendo kuwa wewe ni mama yake au baba yake, unampenda na unamsubiri, unataka aje kuwa mtoto wa aina gani au hata kusali naye nk...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    SINGLE MOTHERS WANAHAKI YA KUWASILIANA NA WAZAZI WENZA. KAMA HUTAKI UNGEOA ASIYE NA WATOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Huyo mwanamke sio Wako peke yako. Hilo lifahamu. Sio wako peke yako kwa sababu ana mtoto na mwanaume mwingine. 2. Kabla yako alikuwepo mwanaume mwingine ambaye...
  10. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazo langu kwa hawa wazazi wenzangu linaweza kuwa na faida?

    Kutokana na harakati za maisha za hapa na pale, nimejikuta nimezaa na wanawake mbali mbali nje ya ndoa; na kabla ya wao kuingia kwenye mahusiano walijua kabisa mimi namilikiwa na mrs Equation x. Ila kwa kutaka kupata chata tu ya equation x iliwalazimu wao wenyewe, kwa mida yao kujibebea mimba...
  11. jamaikatz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusiwalaumu wazazi wetu

    Sema ile kauli ya "Sitaki watoto wangu waje kuishi maisha kama niliyoishi mimi" Kwa namna moja ama nyingine huwa tunawakosea sana wazazi wetu. Walijitahidi sana kutupa Kila kitu kwa nafasi zao na walicho jaaliwa 📌
  12. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania Wazazi tunaochapa watoto under 3 years tukutane hapa

    Wataalamu tunaomba mwongozo wa kudispline watoto maana waziri amecharuka huko. Kumbe tunafanya uhaini
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Free Education ama ni Story Tu? MPs Wafichua Ksh77B Hole Wazazi Sasa Wabebe Mzigo?”

    Kenya iko kwa dilemma kubwa sana kwa sector ya education. MPs sasa wanauliza swali direct—is education still free or ni slogan tu? Hii inakuja baada ya Basic Education PS Julius Bitok kufichua kuwa kuna underfunding ya karibu Ksh77 billion kwa secondary schools. Kwa ground, reality ni tofauti...
  14. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Hapa mtaani Kuna jamaa ni likubwa miaka 33 ila lipo nyumbani kwao linakula ugali wa shikamoo ubaya babayake analalaimika mtaani jamaa hataki kazi yeye kazi yake ni kubeti tu hivi huyu jamaa anaakaili timamu maana hata mtoto na mke Hana yeye kazi ni kushinda kijiweni na kurudi nyumbani kula hivi...
  15. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa NILSA watofautiana ishu ya michango

    “Baada ya Kifo cha Nilsa: Wazazi Watofautiana Kwa Pesa za Michango!” 🤔💔 Inadaiwa kuwa kwa sasa kuna sintofahamu kubwa kati ya Baba na Mama wa marehemu Nilsa, kufuatia tuhuma nzito za matumizi mabaya ya fedha za michango ya matibabu ya mtoto wao. Mtoto Nilsa, ambaye alizaliwa na kuishi na...
  16. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

    Kuna majina kwa sasa hayafai kuwapa watoto maana yameshapitwa na wakati. Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne, Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius...
  17. F

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha Watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza

    Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza. Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10. Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu. Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka...
  18. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kumbe mahari zinafika milioni 7? Wazazi kuna muda mwengine ni chanzo cha watoto kutoolewa au kufosiwa ndoa kwa watu wasiowapenda

    kijana ana miaka 28 yupo normal kiuchumi ana shughuli zake, kapata mchumba mwenye 23, wanapendana perfect match, kufika kwao kupeleka posa wazazi wanahitaji MILIONI 7 wazazi kuna muda mwengine ni chanzo cha watoto kuto olewa au kufosiwa ndoa kwa watu wasiowapenda
  19. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kuna Watu Wanafanya Kumbukizi ya Vifo vya Watu Wengine Lakini vya Wazazi Wao Hawafanyi

    Sasa usipowapenda ndugu zako na kujifanya unawapenda ndugu wa wengine ni unafiki na sala isiyokuwa na baraka. Upendo huanza nyumbani.
  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sawa kusajili mali zako kwa jina la wazazi na/au ndugu zako wakati una mke/wake na watoto ?

    Kuna hii tabia inazidi kutrendi, mtu ana familia yake yenye mke na watoto lakini anasajili mali kwa majina ya wazazi na ndugu zake. Ni sawa ?
Back
Top Bottom