wazazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Tunatumia muda mwingi kujadili maisha ya watu badala tujikite kwenye uzalishaji: makosa ya wazazi wako yasiathiri wengine.

    Tunajikita kushangaa watu wenye mafanikio kwasababu ya makosa ya wazazi wetu.... Wazazi wetu walizaliwa kipindi cha fursa wao badala wasome shule wakawa wanashinda wanawinda vindege maporini matokeo yake wakazaa watoto hawana hata mtu wa kuwa-inspire Wapo Wapo tu, Leo hii ndo hao wakiona mtu...
  2. Surya

    JamiiForums Tanzania Wazazi wanafiki hawafundishi IMANI vijana wao

    Huu ni ukweli usio pingika kuwa wazazi wengi hawapati Muda wa kuwafundisha vijana wao swala la imani, kwamba elimu ya shule, na Nyumba ya ibada ndio sehemu pekee tumejifunza tunayo yajua. Na kibaya zaidi dini zote tulizonazo wabongo zinafundisha hasa, usifanye hichi ni dhambi fanya bidii kwenye...
  3. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania NIGERIA: Katika wazazi 4 wanaopima DNA basi mmoja kapigwa, Yani analea goli la kidume mwezake

    Kampuni moja ya vipimo vya DNA nchini Nigeria inaitwa Smart DNA imetoa takwimu zao za 2025/2026. Wanasema kati ya watu wote waliokwenda kufanya kipimo cha kujua kama mtoto ni wao kweli, asilimia 23.6 walikuta hapana, sio watoto wao. Mwaka jana ilikuwa 24%, na 2023 ilikuwa 26.1%. Kwa hiyo...
  4. papag

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa sasa na kizazi chao

    Habari wazazi wa kipindi hichi cha zama za tekelinalokujia. Siku hizi mtoto si wa jumuia kama enzi zetu. Popote utakapo kutwa na mzazi yeyote waweza tumwa au kuadhibiwa. Ila kizazi hichi thubutu uone rangi za wazazi. Sasa hivi ukimfungia mtoto ndani kwenye mageti ni SHIDA na pia ukimuacha huko...
  5. K

    JamiiForums Tanzania 🔥 Kutoka Kongo Hadi Morogoro: Miamba Mitatu ya Rumba na Jinsi Watoto Wao Walivyobeba Urithi wa Wazazi

    Wanajamii Forums, leo naomba tupitie kwa ufupi magwiji wa muziki wa dansi ama Rumba wa Afrika Mashariki na Kati, kazi zao zilizotukuka, na jinsi vizazi vyao vinavyolinda urithi huu wa kihistoria. Tasnia ya muziki wa kizazi cha dhahabu (Golden Era) barani Afrika ilitawaliwa na ubunifu mkubwa wa...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mama yangu ni mtu ambae amekua akinikwamisha kwenye maendeleo yangu

    Kuna muda ata nashindwa Kuelewa wallah….. Mimi ni Mjasiliamali niko na wazazi wote 2 na nakaa kwetu by the way Mama angu ni mtu ambae amekua akinikwamisha jamaaan 😮‍💨 mzee alipanga kunipa pesa ya mtaji kuniongezea biashara ikue nilisagiwa kunguni jamaan mara mimi nakopesha sana silipwi, mara...
  7. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Wana jamvi kwema? Kama inawezekana kukataa kuandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi naombeni utaratibu wa kisheria ili kukamilisha jambo hilo. Mmiliki bado yupo hai ...lakini nahitaji kujitoa ktk makaratasi ambayo namimi nimeandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi.. Sitaki chochote
  8. M

    JamiiForums Tanzania Haki ya Mtoto Kutunzwa na Wazazi Wote Wawili Baada ya Utengano – Funzo Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania

    Utengano au talaka kati ya wazazi mara nyingi huacha majeraha makubwa, lakini waathirika wakuu katika migogoro hii huwa ni watoto. Leo tuangazie uamuzi muhimu sana wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mwanza (Rufaa ya Ndoa Na. 03 ya 2021) kati ya Aloyce Masalu Mapembe na Paulina Romanus...
  9. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    Juzi kati baada ya kusoma bandiko la mlevi min -me la kuhusu bintiye na kukosa upendo kwa mama yake, ambaye Wali kuwa separated na kumfanya min kuwa single father, so mtoto kukosa motherly presence ila fanya amchukie.. actually, ile issue ilinifanya nijione ndani yake. Why..? Kwa sababu...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Saad Mtambule : Wanafunzi mkawaambie wazazi juu uhamiaji haramu Kinondoni

    07 Agosti 2026 Kinondoni, Dar es Salaam Tanzania SAAD MTABULE : WANAFUNZI MKAWAAMBIE WAZAZI JUU UHAMIAJI HARAMU KINONDONI https://m.youtube.com/watch?v=d7oFRuKVK-w Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amewataka wanafunz i kutokaa kimya na KUWAFICHUA wahamiaji haramu Ofisi ya Uhamiaji...
  11. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Magoda Junior awachana wazazi wanao somesha English Mediums kwa kufuata A+

    Jitahidi Usome Mpaka Mwisho ✅Unatoa milioni 3+ na mtaaluma wa shule kitu pekee anaonyesha kwao ni best ni A+ tena ambazo zimetokana na remedial za kutosha , makambi ,speed test nyingi jua unatapeliwa tu. ✅Nafahamu sio wote watakaonielewa ila katika karne ya 21 ambayo shule ni nyingi sana...
  12. B

    JamiiForums Tanzania "Asilimia kubwa ya vijana kutoka Tanzania na Afrika nzima ujumla wanaoletwa na wazazi kusoma Marekani na Canada wamegeuka kuwa machoko ".. Elli David

    Elly David m Tanzania anaeishi nchini Canada anasema asilimia kubwa ya vijana wa ki Tanzania na kutoka sehemu mbalimbali barani Africa wanaopelekwa na wazazi wao kusoma Marekani, Canada na Ulaya wengi wao huishia my wa machoko na mateja... Du kama ndo hivyo Bora wasome Kayumba na waishi hapa...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi walia baada ya kesi ya Sh1.1 bilioni ya masomo Finland na Canada kuanguka mahakamani

    Ndoto ya watoto wa Uasin Gishu kusoma Finland na Canada imegeuka kuwa kilio kwa wazazi waliolipa mamilioni ya fedha kupitia mpango wa masomo wa kaunti. Baadhi ya wanafunzi walifika Finland lakini wakakumbwa na matatizo ya ada, huku wengine wakibaki Kenya licha ya wazazi kulipa fedha. Sakata...
  14. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Arusha chukueni hatua kama alivyosema Lema kuwalinda mabinti zenu na huu uselamavi unaozidi kuota mizizi Arusha

    Kiukweli huyu mnufaika wa michango ya CHADEMA na Mbunge aliyestaafishwa Godbless Lema huwa ana madini sana kwenye mambo ya familia na ndoa. Mimi huwa natofautiana naye kiitikadi ila kwenye ishu za familia na ndoa namkubali sana. Media zimeamua kupromoti upuuzi unaofanywa na vijana wachache...
  15. fact only

    JamiiForums Tanzania Ndoa nyingi hazidumu kwasababu watoto wengi wazazi wao walikuwa mashangingi.

    Hellow wana JF. Ukioa/olewa na mtu ambaye mama yake au baba yake ni shangingi yani hawajui chochote kuhusu ndoa there is no way kwamba hiyo ndoa yenu inaweza kudumu. Ndiyo maana ndoa nyingi siku hizi hazidumu, ndoa zimekuwa cancer kwasababu watu wengi wametoka kwenye mikono ya wazazi...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama mzazi na kama kuna wazazi hapa JF tuungane kurekebisha elimu ya tanzania naona kama ni vichekesho.

    Wengine tujasomea lugha ila tumesomea mambo mengine ila mtoto anakwenda form six na muuliza unachokwenda kusomea unakijua,wala haelewei nacho kwenda kusoma na yeye kutaka kuwa nani. Huyu mwengine yupo chuo kikuu ili mradi yupo chuo kikuu hata kutengeneza code zinamshinda wakati sisi tulisoma...
  17. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Nawashauri wazazi ukiona binti yako ni mpole na mwenye maadili ya kweli fanya ukale wa kumtafutia mchumba asizeekee nyumbani

    Kuna mabinti wanajiheshimu sana hata ile namna ya kumfuata kumtongoza huwezi ipata kabisa na mara nyingi huwa wamenyooka katika maongezi yao Kuna mmoja nakutana nae kwenye mitikasi yangu na namjua pia, hadi sasa hana mtoto wala hajaolewa kimuonekano ni mtu wa 1980s hivi huwa najiambia ningekuwa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini ndoa ambazo wanaume wametafutiwa wake na wazazi, ndugu wa wazazi au ndugu zao, zinadumu zaidi ?

    Ni zile aina ya ndoa mwanaume anatafutiwa mke na wazazi, ndugu wa wazazi au ndugu zake watu wazima.
  19. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania 90% ya ukilaza wa mtoto chanzo ni wazazi

    Kuna wazazi wengi wanalalamika watoto hawana akili,ukifuatilia kwa ukaribu utagundua kwamba wazazi wa mtoto wote ni sufuri kwa kila kitu wanachojua ni kubanduana tu. Huwa nawasisitiza wanafunzi wangu kufanya machaguo sahihi kwa wenza wao kwa tutazama kila kitu hasa thinking capacity,kuna viumbe...
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Labda miaka 20 mbele ndipo Watanzania watajaribu kuandamana bila vibali

    Vijana waliokosa akili sasa kidogo akili zinawarudi. Hao wapinzani hutumia matukio kama ya October 29 ili kupata pesa na mpenyo wa kushika madaraka. Walitaka vijana wafe kwa wingi October 29 ili wapate mtaji mbele za wazungu. Wameandika barua nyingi na kupeleka watu nje kwa siri Marekani na...
Back
Top Bottom