kuajiriwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Nimeamini kuajiriwa ni utumwa

    Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu. Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na...
  2. Think2

    JamiiForums Tanzania Nimefatilia hizi ndizo kozi za afya unazoweza kuajiriwa kwa urahisi

    ●Biometrical Engineering Hapa soma diploma tu fanya kazi utapanda daraja kidogo kidogo ●clinical ●Nursing ●health laboratory ●physiotherapy ●Dental therapy and surgeon ●Environmental health ●Radiology ●Nutrition ●occupational therapy ● Technologist pharmacy
  3. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Mnaposema kuwa mtu hawezi kutajirika kwa kuajiriwa, huwa mnazungumzia kiwango gani cha utajiri?

    Kuna mtu unakuta ameajiriwa sehemu lakini ana Mali mpaka unashangaa mtu hyu Anamiliki gari Kali harrier , Vanguard,Crown nk Ana mifugo ng'ombe kama 200 plus Mashamba ya mazao ya chakula na biashara, Maduka ya nafaka, spare parts za magari au ata pikipiki nk Amejenga ana nyumba Kali Hadi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu unaweza kupoteza muda na pesa kusomea biashara chuoni; ni heri ujifunze kwa kufungua duka dogo au kuwa winga

    Watu wengi wanapoenda kusomea biashara chuoni lakini wakifika wanatamani hata kukimbia, ni majuto. Walichofikiria watakikuta na wanachokikuta ni vitu viwili tofauti. Badala ya mtu ku-focus kwenye biashara, anakutana na mzigo mkubwa wa kozi nyingi kwa wakati mmoja. mfano kila semesta (miezi...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa kuna muda unadharirika sana: Jana mimi wa kupangishwa foleni Mnazi Mmoja na HR anipe Elfu 50!

    Sawa nina njaa kali. Ila jana nimejitafakari sana, Kati ya kuendekeza njaa au kulinda dignity. Kwanza tumeenda Mnazi Mmoja saa 1 kamili tupo pale, mgeni rasmi RC wa Jiji akafika saa 3 Asubuhi. Tukaanza kupita na mabango yenye jumbe mbalimbali mbele yake. Saa 8 HR akatuita kwenye gari...
  6. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ma genius wengi darasani bila kuajiriwa ni ngumu kutoboa kwenye biashara au kujiajiri ?

    Kwa nini mara nyingi wale waliokuwa “genius” darasani wakimaliza shule wanapata ugumu kutoboa kwenye biashara au kujiajiri? 🤔
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ila hii bongo🤔, kila uchao unakutana na influencer anasema watu hawajui kuajiriwa ni utumwa, sasa unajiuliza kuna mahala pa kuokota pesa ukawekeze?

    Tusipende kuchukulia poa maisha tena maisha haya yakibongo kisa tu mshangazi wako au sponsor wako umekula hela zake wee sasa umejipatia platform na mic ya kuzungumza ndio uanze kuropoka ropoka. Tusipende kuona kwamba kujiajiri ni kitu ambacho sio process, sio gharama na sio kigumu.
  9. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hivi lengo kuu la kusoma (elimu) ni kupata kuajiriwa?

    Nielewesheni nielewe wakuu wangu.
  10. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Taaluma za Afya zinazomuwezesha mtu kujiajiri mwenyewe, bila kusubiri kuajiriwa

    Orodha kamili ya taaluma za afya na aina ya biashara mtu anazoweza kumiliki/kujiajiri bila mtaji mkubwa—mfumo wa “Skill → Business” (Taaluma - Biashara). 📌 ORODHA YA TAALUMA ZA AFYA NA BIASHARA ZAKE ZA KUJIAJIRI 1. Pharmacist (Mfamasia) Huyu ni mtu aliyesomea kuhusu Dawa za magonjwa ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ina uhuru na inatajirisha lakini watoto wetu tunawaombea mje kuajiriwa tu, stress za biashara kichwa chaweza lipuka

    Hatuwazungumzii wafanyabiashara wenye helikopta zao hao ni level nyingine, tunajizungumzia kundi kubwa la wafanyabiashara ambao maisha yetu yamekuwa ni pirika pirika. kuna muda unaweza piga mshindo ila kuna muda soko likikugeukia utaimba, Kuamka alfajiri kurudi usiku daily labda ujipe ka off...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Ni Muda Gani kisheria inatakiwa kwa wanufaika wa Bodi ya Mikopo kuanzia kurejesha mkopo baada ya kuajiriwa?

    Kumekuwa na utaratibu kwamba wanufaika wa mikopo wanapoajiriwa katika sekta ua umma hawakatwi mshahara Kwa ajiri ya malipo ya HESLB Hadi baada ya mwaka mmoja kazini Hali hii ni tofauti Kwa sekta binafsi ambapo baada tu ya kuajiriwa HR wanadai wameambiwa na bodi wapeleke majina ya wanufaika wote...
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kulingana na mstari huu wa Biblia mwanamke hapaswi kuajiriwa huku ameolewa

    Leo sitaki kugusia matendo ya uzinzi yanayofanywa na wake wa watu wakiwa kwenye safari za kikazi au wakiwa kazini. Ninataka nigusie zaidi suala la uwajibikaji ambao mwanamke anapaswa kuwa nao kwa mume wake. Msije mkasema siijui Biblia — nimesoma vyuo vya Biblia takribani vitatu, vikiwemo...
  14. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa vs Kujiajiri kipi Bora? Mdau karibu utupe maoni yako

    Naomba maoni yako hapo chini je kati ya Kujiajiri au kuajiriwa ni kipi una prefer na ni kwanini?
  15. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukipata kiasi gani Cha fedha utaachana na kuajiriwa?

    Leo hii ukipata kiasi gani Cha fedha utaachana na kuajiriwa? 👇👇👇👇👇👇
  16. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Chief Godlove, Bilionea anayetafuta kuajiriwa kwa 18m/Mwezi

    Bilionea wa Mchongo yupo Kyela kutafuta ajira ya Ubunge kwa Mshahara wa 18m. #Kijana Stuka#
  17. Y

    JamiiForums Tanzania Je? Changamoto Gani ulikutanana nazo baada ya kuajiriwa

    Habari Wana JF uzu huu nimaalum kwa ajili ya wafiwa. Nikianza na wewe
  18. K

    JamiiForums Tanzania Naombeni muongozo. HGL division II ya point 10, ni kozi ipi yenye future ya kujiajiri ama kuajiriwa?

    Na kama nitapatiwa na jina la chuo inapopatikana hiyo kozi, itapendeza zaidi. Natanguliza shukurani.
  19. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata pesa kwa kufanya kazi za kuajiriwa mtandaoni (remote jobs)

    Kama umehitimu chuo kikuu au una certificate kutoka chuo au taasisi yoyote ya elimu ya juu, huu ni wakati wako wa kuchukua hatua ya kujiingizia kipato kupitia kazi za kuajiriwa mtandaoni. Kazi zipi unaweza kufanya 2. Mahali pa kuzipata 3. Jinsi ya kujiandaa 4. Na mbinu za kushinda ushindani...
  20. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Hivi ikitokea mdaiwa wa HESLB hajawahi kuajiriwa mpaka maisha yake yote anazeeka lile deni inakuwaje?

    Naomba majibu wakuu kuna mtu wangu wa karibu hajawahi kuajiriwa huu mwaka wa 22.
Back
Top Bottom