milele

Milele is an urban gospel and humanitarian group composed of Kanjii Mbugua, Harry Kiiru, Christian Mungai and Kaima Mwiti. The group formed after the longtime friends who were originally from Kenya met in Pomona, California at a prayer breakfast in 1998. Milele, which means "forever" in Swahili has performed alongside gospel artists like Andrae Crouch and Helen Baylor and recorded four albums, Forever, Level up, Afrique and their most recent recording, Monday. Apart from the music, Milele has also launched many campaigns in Africa with the purpose of providing means for impoverished African communities to gather strength to make steps towards better living standards.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Sharpeville Masacre, March 21st 1962 kwanini inakumbukwa Duniani mpaka leo. October 29, 2025 itakumbukwa kwa mtindo huo milele na milele

    Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are! Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta Sikiliza clip
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Muundo na Mfumo wa kiutawala wa CCM ni wa Milele

    Hii ikimaanisha, kamwe haiwezekani CCM kushindwa uchaguzi wowote itakaoshiriki hasa kwenye nafasi za kitaifa, na wala kamwe haiwezekani uongozi wake kupinduliwa na vibaraka wa ndani au nje ya CCM yenyewe. Ni mfumo imara na madhubuti sana wa kiutawala wa milele. Na ndio maana mpaka leo hakuna...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live From Tunguu Zanzibar: Kongamano Kuadhimisha Miaka 62 ya Muungano Wetu Huu Adimu na Adhimu, Tutaulinda kwa Gharama Yoyote ili Udumu Milele!

    Wanabodi, Kupitia TBC, matangazo ya moja kwa moja, live Mubashara kutoke Tunguu Zanzibar: Nawaletea Kongamano la Vijana la kuadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika Viwanja vya Tunguu - Zanzibar ambapo mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa CCM na Rais...
  4. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Sayansi kwa swali maarufu la Atheists. Kwanini hakuna uwezekano kwamba ulimwengu ulikwepogi tu milele. Vita kali dhidi ya Atheists Ep4

    ‎Atheists wengi wanaposikia hoja ya Mungu kama Muumba wa ulimwengu wanajibu haraka kwamba "Ulimwengu ulikuwepo milele hauhitaji muumba." ‎ ‎Jibu hilo linaonekana rahisi. Linaonekana la akili. Linaonekana kama njia nzuri ya kukimbia swali zito. ‎Lakini ni sayansi sio mimi P h a r a o h sayansi...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Je, ndoa ni leseni ya ridhaa ya milele? Ukweli mchungu kuhusu ubakaji ndani ya ndoa ambao jamii inakataa kukubali.”

    Kwa ndoa Kuna ubakaji unakubaliana
  6. H

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Viongozi: Je, tunachukulia kwa uzito wa kutosha?

    Katika dunia ya leo, hotuba ya kiongozi si maneno tu—ni taswira ya taifa, dira ya wananchi, na wakati mwingine ni ujumbe wa kimataifa unaobeba heshima au aibu ya nchi. Ndiyo maana inapotokea hotuba yenye makosa ya wazi ya lugha, taarifa zisizo sahihi, au ujumbe usioeleweka, wananchi wengi...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    Itende HAKI na HAKI itakutenda Milele. Ikatae pressure ya Executive, tenda Haki na nenda zako, usisubiri shukrani au cheo toka Executive. Mtendee Lisu HAKI NA WALA SI UPENDELEO Siku 40 or so kweli CoA haiwezi kukaa na kutolea maamuzi pingamizi la serikali? Muhukumuni kwa haki hata kama...
  8. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Nchi za Mashariki ya kati huwenda zisisimame Milele wakimruhusu Marekani kutumia Anga zao

    Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na kuendelea kujitanua pitia ardhi za wengine Kupitia sera za kimataifa. Katika ugawaji huu wa Maeneo...
  9. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Zahir Zorro moto wa Allah hauzimiki kwa fire extinguisher, ni wa milele

    OOOH ZAHIR ZORO MOTO WA ALLAH HAUZULIKI Mzee Zahir Ali Zoro — Mmanyema wa kabila, mzaliwa wa Uislamu — kwa bahati mbaya aliteleza katika mtego wa anasa za dunia. Akauacha Uislamu, dini aliyozaliwa nayo, dini aliyojua haki yake, mwisho wake na uzito wa kuigeuka. Si hilo tu; aliwavuta pia...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Polisi nanyi hamuaminiki milele, taarifa hii hakuna mwenye akili anaweza kuiamini kutokana na matendo ya kuteka watu na kusema hamuhusiki

    Polisi hamuaminiki. Mmeteka watu maelfu mnasema hamihusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS. Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombe na mkasema hamuhusiki.
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hao mashahidi wa kificho kesi ya Lissu hawatajulikana milele?

    Lengo la kuwafanya baadhi ya mashahidi dhidi ya Tundu Lissu kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili wawe wa kificho ni nini? Hao mashahidi hawatajulikana milele?
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

    Mods Uzi huu uachwe ujitegemee tafadhari.🫷 Awali ya yote Mimi mpango wa kwenda mbinguni ni kama haupo maana kila nikipiga tathimini Bado najiona Sina sifa hizo Kwanza Zaka sitoi,sadaka nishakataa kuipeleka kanisani. Ukija namna ya kuishi napo Bado na pwaya maana uko zako unawaza kuchuma...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Mimi kila nikitazama mbele sioni kama nitatoboa na hatimae kuingia paradiso. Nimekaa nikafikiria na kuwaza sana Mungu atakuwa na faida Gani iwapo atatuchoma moto wa Milele? Na vipi tulio tiyari kufanywa watumwa tuwatumikie tu hao watakatifu wake? Kwakweli kutuchoma moto hapana manabii...
  14. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Nitaandamana 'milele' kuipinga TEC na kuunga mkono mashehe

    Jina langu halisi naitwa Muhamed Awadh Mafwere. Ni inspekta wa polishi kikazi. Kwa amri toka juu, niliwaita washirika wetu akina Zuwena aliyejiita Rose, Zahra aliyejiita Sofia, Mahamoud aliyejiita Martin, Yahya aliyejiita Yohana na wengine wengi. Kama 'wakatoliki' tuliandamana kupinga namna...
  15. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana uliye juu ya mawe jaribu mbinu hii. Ukikosa ajira najitoa JF milele

    Leo nitatoa mbinu moja ya kupata kazi nyepesi kwenye miradi ya Wachina. Kesho au baadaye nitatoa mbinu ya kupata kazi au kuokota kazi ya serikali kirahisi. Hata kama kuna tatizo la unemployment kiasi gani lakini tambua kila siku watu wanaajiriwa na kulipwa pesa nyingi sana. 1. Nenda play store...
  16. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Pamoja na kutambua athari kwa haki ya...
  17. BLACK_

    JamiiForums Tanzania Naamini katika Mungu kwa sasa ata milele

    JESUS LORD Uzi tayari.
  18. Common Folk

    JamiiForums Tanzania CCM mkiendelea kukaza shingo, hawatang'oka viongozi tu, bali mpaka chama kitakufa, hakuna atakayetaka kukisikia milele.

    Kwa sasa ikipigwa kura ya vyama vinavyopendwa Tanzania, CCM itashika mkia. Huku mitaani chini kabisa mashinani hata wale waliokuwa CCM vindakindaki hawataki kukisikia kabisa. Kosa la karne mlilolifanya mwaka huu ni kukubali kuzidiwa akili na CHADEMA. Ni rahisi sana kupambana na chama pinzani...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kuwatawala Watanzania kimabavu milele na milele!

    Kuna tofauti Kati ya KUWAONGOZA watu na KUWATAWALA. Alichokuwa anakifanya Farao kwa Wana wa Israeli ni KUWATAWALA. Lakini alichokuwa akikifanya Musa kwa Wana wa Israeli wale wale ni KUWAONGOZA. Kwa sababu ninyi mlichagua KUWATAWALA watanzania badala ya KUWAONGOZA basi tangu AWALI kabisa...
  20. canular

    JamiiForums Tanzania Wazalendo wa Tanganyika historia itawakumbuka milele daima Amen

    Damu zenu wa Tanganyika wazalendo zitawasumbua watawala na wote walio husika katika hili mmekufa kishujaaa mkilipigania Taifa lenu la Tanganyika mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu Mungu wa Mbingu na Ardhi mlinzi wa wote Bariki vijana hawa wa kitanganyika walio mwagwa damu na...
Back
Top Bottom