kiranga

  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Tunawaandama wakina ifropreneur, kiranga na eli cohen ila ni watu ambao wapo huru nafsini mwao tofauti na sisi tuliofungamana na dini za mchongo

    Kuna jamaa nimesoma uzi jana kuwa hata baada ya kupata mkopo wa 30mln akaenda kutoa fungu la kumi, leo analia anafirisika ila alipopeleka 3m wanasonga. Kuna mwingine niliona uzi anasema hakuna mahali kwwnye quran na bible imeandikwa kuwa ukioa msichana mdogo hata wa miaka 10 ni kosa. Sasa...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nimepata maono kuwa kiranga atabadilika na kuwa mtume au nabii

    Ataitwa Pastor Kiranga au nabii kiranga au mtume kiranga. Atakua mlokole haswa anayenena kwa lugha na atakua anatoa mapepo. Atahubiri na kueneza neno JF na kwingineko. ataweka hadi spika kwenye mikusanyiko na kuhubiri. Destiny yake nimeshaiona karibu mtume Kiranga
  3. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania GE2025 Swali hili la Kiranga kwa Polepole lilipuuzwa: What is Polepole's strategy? Lilifanya Kiranga atukanwe sana

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ukiachana na maumivu makali sana niliyo nayo lakin swali la kiranga bado linaniumiza kichwa na linanifunza mengi na linanifanya nisimuelewe kabisa polepole Nakuombea polepole MUNGU MWENYEZI akulinde sana Nakuombea Tanzania ukomboz wako...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Epicurean paradox ni hoja mbovu ya akina kiranga na wenzie

    Kama Mungu ana nguvu zote na muweza wa yote kwanini Kuna mabaya duniani kwanini asingefanya dunia iwe ya mema tu? Vipi kama Mungu angefanya iwe ya mema tu watu kama hao wakauliza kwanini yawepo mema tu huyu Mungu muweza wa yote kwanini haruhusu mabaya ? Au tuseme kama Mungu angendoa mabaya...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

    Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake. Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa. Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu...
  6. Mobutu JR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kufumania,je hali ilikuwaje?

    Wanajamvi, tujadili hapa,ushawahi kumfumania mke wako au mume wako,mpenzi wako akifanya mapenzi na mtu mwingine? Hali ilikuwaje? Toa ushuhuda wako.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Kijana analala kwenye jeneza zaidi ya miaka 15

    Kiranga Unazungumziqje hiki kisa TOA mtazamo wako. --- Dunia ina mengi ya kushangaza ukiachana na maajabu saba ya ulimwengu lakini pia kuna maajabu ya walimwengu wenyewe, Najua umewahi kushuhudia na kusikia habari za watu kujinunulia Jeneza kwa ajili ya maandalizi ifikapo siku ya mwisho, Leo...
  8. Teslarati

    JamiiForums Tanzania THE POEM: Bwana Kiranga, Atheist

    Bwana Kiranga ni loser anaejificha kwenye kivuli cha success zake chache akidhani wengine kushinda zaidi ya hapo alipofanya yeye ni dhambi. He hates achievers who achieve more than him to the extent that he hates his own God The same mentality imekua kiasi kwamba yeye akiona mtu/kitu kina-power...
  9. passion_amo1

    JamiiForums Tanzania Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

    Wakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini. Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa mungu, tukitoa mihemko tukajenga hoja kwa mantiki (logical) character ya mungu mwenye nguvu zote...
  10. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiranga kimeniisha!

    Baada ya kusoma nyuzi kadhaa humu hususani ktk hii wiki kwenye jukwaa letu hili, nyuzi nyingi zimekuwa zikifunguliwa na wanaume zikizungumzia juu ya wanawake na pesa!. Kila nikifungua hili jukwaa ni wanawake na pesa!. Nikaona isiwe tabu Wacha niwe Albert Einstein kwenye hili!,niketi chini...
  11. TUKANA UONE

    JamiiForums Tanzania Ni rahisi sana Kiranga kuurithi uzima wa milele kuliko Wakristo na Waisilamu wengi walio wanafiki

    Ukihitaji salamu suburi kwanza nilewe, tofauti na hapo utaambulia chuya! Kiranga ana asilimia kubwa kuurithi uzima wa milele kuliko watu wengi wanafiki!. Narudia tena "Kiranga anazo asilimia kubwa za kuurithi uzima wa milele kuliko wanafiki walio wengi" Kiranga ni nani? Huyu ni jamaa ambaye...
  12. Liutenant

    JamiiForums Tanzania Kiranga anatoa sadaka na anaamini stori za majini lakini haamini uwepo wa Mungu

    Msome hapa chini cc Kiranga
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo yanayoweza kusababisha mahari ya unayemuoa kuwa juu

    MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MAHARI KUWA KUBWA Na, Robert Heriel Baada ya huyu msanii Kudai kuwa mahari yake ni zaidi ya 500Mil(Milioni Mia tano) kwa anayetaka kumuoa. Nimeona tujadili kidogo kuhusu suala la mahari Mahari ni zawadi itolewayo wakati wa kuposa au kuposwa kwa lengo la shukrani...
  14. Uponyaji na uzima

    JamiiForums Tanzania Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

    Mara nyingi nimekuwa nikiwaza huyu member hapa JF atakuwa alikutana na incident iliyomfanya akamchukia Mungu. Hapa anaeleza namna alivyokuwa anasali na Nyerere pale St Peters My take, huyu anahitaji kuombewa ili amrudie muumba wake.
  15. Waterbender

    JamiiForums Tanzania In 3D there is no future no present only past

    Nafikiri kwenye 3d hakuna future Wala present ni past tu so ni lazima tufe coz tulishakufagaa. to see the future is like to remember how it was. To see the future and you living straight to no where is impossible (tafakari)otherwize you knew it. Buddah said we are all here because we know...
  16. manchoso

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

    Ndugu zangu kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu. Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na...
  17. Waterbender

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

    Mwanzo 11 mstari wa 4 Usitake kuniambieni wajenzi wa Babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi 'lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament) wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Tujadili njia za kumsaidia mtoto kuongeza IQ yake katika ukuaji

    Habari za asubuhi wanajamvi, Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine. Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and...
  19. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Je! Tutegemee filamu kutoka kwa JamiiForums? Da'Vinci, Kiranga, Sky Eclat, Zero IQ, Kawe Alumni, Fortaleza na wengineo ndani

    kumekuwa na matukio mbalimbali yanayojiri Tanzania,. Je, ni muda sasa kueleza matukio hayo kwa filamu? Tutegemee filamu kutoka kwa JamiiForums? Ikiwa wapo wataalamu wa masuala mbalimbali na kila aina ya watu hapa JF Tunaweza kushuhudia kitu kutoka kwa Da'Vinci, Kiranga, Sky Eclat, Zero IQ...
  20. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua historia ya sanamu hii iliyopo New York

    Salama wana JF? Naomba kujua historia ya hii sanamu iliyopo huko New York City nchini America, na iliwekwa mwaka gani? Asanteni.
Back
Top Bottom