jana

Jana Sena or Jana Sena Party (JSP) (People's Army Party) is an Indian Regional political party based in Andhra Pradesh and Telangana, India. It was founded by Tollywood actor and politician Pawan Kalyan on 14 March 2014. Jana Sena means "People's Army" in Telugu. The motto of the party is "fight for the rights of each and every common person".

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO AJIRA MPYA Halmashauri ya Wilaya ya MBOGWE-GEITA hatujapatiwa FEDHA ZA KUJIKIMU tangu mwaka jana

    Tukiwauliza viongozi hatupewi majibu tunaishiwa kutishiwa tu na kujibiwa kisiasa kuwa akama ni haki yetu tutaipata hata kwa kuchelewa sana
  2. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Drake ni G.O.A.T, wamejaribu kukandamiza carreer yake ila mwana bado yupo hai, tangu jana nakula hits after hits kwenye hizi projects zake mpya

    https://youtu.be/fpr2AM8ziEs?si=vXyJlGXoQ2wbgbfP
  3. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Eti jana naota Seran ameandika uzi wa kunikataa😁😁

    Niliudhika sana ndotoni Najua hautofanya hilo Nakupenda
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Wapya Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma (2025-2026) tunadai pesa ya kujikimu

    Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini. Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January 2026 ) hawajapewa Bado na haijulikani wanapewa lini.
  5. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Goli la Chama linaizidi kwa mbali Goli la Puskat 2025

    https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili https://youtu.be/YeFifs15d8I?si=oelqqxCQEKTT4cA0
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa kuna muda unadharirika sana: Jana mimi wa kupangishwa foleni Mnazi Mmoja na HR anipe Elfu 50!

    Sawa nina njaa kali. Ila jana nimejitafakari sana, Kati ya kuendekeza njaa au kulinda dignity. Kwanza tumeenda Mnazi Mmoja saa 1 kamili tupo pale, mgeni rasmi RC wa Jiji akafika saa 3 Asubuhi. Tukaanza kupita na mabango yenye jumbe mbalimbali mbele yake. Saa 8 HR akatuita kwenye gari...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotumia hesabu kutabiri matokeo ya mechi muhimu za jana na kujikusanyia mamilioni

    Siwezi kuacha hili lipite bila kuleta mrejesho vijana wangu I feel good @ holoholo-baba kijacho Rejea post hizi ili kujifunza nguvu ya hisabati kweye maisha ya kilasiku https://www.jamiiforums.com/threads/leo-simba-ana-uwezekano-mkubwa-sana-wa-kushinda-nitawachambulia-kwanini.2434257/...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waajiliwa Afya Butiama tunadai Hela ya Kujikimu. Hatujapewa tangu mwezi wa Nane 2025 mpaka sasa

    Hellow habari za Majukumu... Naomba mtusaidie kupaza Sauti sisi waajiliwa wapya wa kada ya AFYA katika halmashauri ya wilaya Butiama Hatujapewa Hela ya Kujikimu tangu tumepata Ajira mwaka Jana mwezi wa Nane 2025 Mpaka Sasa. Tulifatilia kwa Katibu wa Halmashauri hii Yeye kila tukimtafuta...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Jana nilikutana na mimi

    Katika pitapita zangu jana kuna mtu nilimuona nikasema mbona yule ni kama mimi, alikua yupo kwa mbali ilibidi nimsogelee ili kumuona vizuri, Lakini nilivomsogelea nikamkuta sijamfananisha alikua mimi kabisa nimekaa pale, nguo alizovaa zinafanana na zangu kasoro viatu ndo tofauti, Ikabidi...
  10. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    heirry Henry speaks on PSG vs Bayern Munich score line 5:4 "Listen, we need to have a serious conversation about what we are watching. For the fans, of course, it’s exciting, nine goals, end-to-end, moments everywhere, Everyone is on social media screaming, 'Oh, what a game! But is it? Really...
  11. bwawani90

    JamiiForums Tanzania Chelsea inasikitisha sana ilitakiwa iwe ya 16 hafi jana

    kwa huu msimamo hii timu inapaswa iwe chini sana. kwenye wanasema number don't lie lkn hapa namba zinadanganya
  12. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Commando huyu ndie shujaa aliyetuliza hali ya wasiwasi kwenye karamu ya Trump jana

    Mwamba huyo mmarekani mweusi ni miongoni wa makomandoo maalum wa secret service. Unaambiwa alivyoingia tu ukumbini baada ya ufyatuliaji wa risasi yeye na timu yake walitumia mbinu za medani na kumdhibiti jambazi hilo. Bado nafuatilia jina lake na maelezo mengi kumhusu. Ila kwa ufupi tu...
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mwaka jana nilitoa wazo la kuanza mchakato wa haraka sana wa kujenga refinery Tanga

    Mwaka jana na hata mwaka huu baada ya straight of hormuz kufungwa nilitoa maoni yangu binafsi, Tuanze mchakato wa crude oil refinery haraka sana nashukuru dangote alikuwa na mawazo kama yangu na mchakato utaanza Kwanza ijengwe integrated refinery kama ile ya gujarati ambayo itakuwa na crude...
  14. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo vya habari vya Iran viliripoti mashambulizi katika maeneo mbalimbali nchini humo, huku moshi...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Lile bao la jana! VAR" ya Chumbani

    Mshkaji alisherehekea bao la kwanza kwa mbwembwe nyingi akimbia uwanja mzima wakati demu anadai "VAR" iangaliwe kwa sababu bao lilikuwa la "offside" maana kwa lilidumu sekunde chache tu.. au mchezaji alikuwa amezidiwa kasi. VAR ikasema hilo "Bao la Mapema" ni sawa na timu kufunga ndani ya...
  16. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inawezekana Wamarekani wakaandamana kutokana na kilichotokea jana

    Mimi nipo Swedeni ila kuna jamaa Mtanzania mwenzangu alichukua uraia wa Usa anasema kwa hotuba iliyotolewa jana na Samia. Kunawezekana kuibuka maandamano makubwa Marekani. Bei ya mafuta kumbe imekuwa kubwa sana kuliko wakati wowote ule toka Dunia iwepo. Na hawakuwa wakijua mpaka Samia...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Sabuni ya jana, povu la leo

    Pale Tanganyikaaaa... Lete babaaa..! Kipofu akifufuka leo Tanganyika atachanganyikiwa na mengi sana! Sana! Anaibukia Tandale kwa Tumbo akifika huko hilo tumbo halioni Anatoka hapo mpaka anasafiri mpaka Zenji huko ananyoosha mpaka Kibanda maiti akashuhudie kilivyo.. Loh akifika huko hakuna hata...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mpaka leo Shirika la hifadhi za taifa TANAPA limeshindwa kulipa Madai ya Watumishi toka mwezi wa 12 mwaka

    Mwezi March mwaka huu, watumishi wanaishi maisha magumu sana. Shirika limeshindwa kulipa madi hayo ya watumishi, mfano fedha ya likizo baadhi ya hifadhi za mwaka juzi hawajalipwa Pia limeshindwa kulipa stahiki nyingine ambazo baadhi ya taasisi ambazo ziko katika Jeshi la Uhifadhi zinalipa...
  19. cacutee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    Ndugu zangu eid mubarak Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote walikuwa wamefunga wananialika Eid tukailie chimbo. Me kwakweli nimekataa sitaki laana ndogondogo. Yani...
Back
Top Bottom