jana

Jana Sena or Jana Sena Party (JSP) (People's Army Party) is an Indian Regional political party based in Andhra Pradesh and Telangana, India. It was founded by Tollywood actor and politician Pawan Kalyan on 14 March 2014. Jana Sena means "People's Army" in Telugu. The motto of the party is "fight for the rights of each and every common person".

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Aibu ya Kuzomewa Jana, Leo Ma CCM hayajaonekana BSS

    Millennials na GenZ Shikamooo 🤣🤣🤣
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tukio la Jana Lisigeuze Mgawanyiko

    Tukio la jana lisigeuzwe kuwa mtaji wa kuongeza mgawanyiko. Kuna nyakati ambazo taifa hujaribiwa si kwa ukubwa wa tukio lililotokea bali kwa namna tunavyoamua kulitafsiri. Tukio la jana linaweza kuonekana tofauti kwa watu tofauti. Wapo watakaoona ni ishara ya uhuru wa maoni wapo watakaoona...
  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Ni furaha ilioje jana watu weusi wameshinda. Nimelala kwa furaha sana

    Jana team yetu weusi imeshinda dhidi ya weupe. Kiukweli nliombea sana hilo litokee sababu sikupenda wale weupe wapate ushindi. Mbape, Dembele hawa asili yao ni huku huku kwetu nimefuatilia kumbe Kylian ni Mnyakyusa kabisa. KYLIAN MWAMBAPE na Dembele ni Mnyamwezi. Nikaona hawa ndo wenyewe...
  4. venchwa

    JamiiForums Tanzania Jana bwana Hiyo nikapata demu watatu wakanipeleka jakuzi

    Nimechelewa kuamka mgongo unauma sana Mbaga Jr ninafuata ushauri wako ni kuwala tu 😀 Baada ya mechi ya ureno nikawa na mademu tumezoena sikutumia hata mia Jana wao ndo walinunua, wakanipa na pizza za free kumbe washaambizana kwamba huyu ni Hatari wanataka ku test ice cream nyeusi dadek! Kwanza...
  5. venchwa

    JamiiForums Tanzania Jana ilikuwa Hatari mademu kama wote

    Ndo narejea home sasa , hizi tatu sum kwenye majakuzi Hatari ni Hatari Nitoe hangover niwape mkasa, ukijisahau wanakanya balls 😀
  6. zitto junior

    JamiiForums Tanzania "Gaidi" wa jana anaweza kuwa shujaa wa leo? Historia ya Israel ambayo wengi hawaijui

    Kila mara tunaposikia kuhusu Mashariki ya Kati, jina la Hamas huibuka haraka na mara nyingi hufuatwa na neno ugaidi. Lakini historia ina ukurasa ambao watu wengi hawaujui au hawapendi kuuzungumzia. Kabla ya Israel kuzaliwa mwaka 1948, harakati za Kizayuni nazo zilikuwa na makundi ya "kigaidi"...
  7. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Kuna member mzanzibari mwenye asili ya asia nae alifariki mwaka jana mwezi wa tano au sio wasita, tumuombee nae

    Huyu mzanzibari alikua kama anko wangu nadhani jamii forum ndo iliyo tufanya tuwe kama ndugu, mi nilikua nimeajiriwa na mdogo wake wa kike, ndo tulipo fahamiana hapo. Alikua anafanya kazi smz kama si ardhi, basi mambo ya ujenzi sijui sikumchinguza sana, alikua akiishi stone town, mwaka Jana...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hahahaha ndo nimejua kumbe internet ilizimwa na serikali 29/10/2025, Grid ya Taifa ilizimwa na heche na wenzake ili walipindue Taifa Jana?🤣🤣🤣🤣

    Naanza kuwajua WABAYA wa Taifa letu taratibu Sasa Umeme ni kitu MUHIMU saa kwa ulinzi wa Taifa letu😅 Internet ni MUHIMU sana kwa wapinzani wakitaka kupindua inji yetu ya Tanzania. Naelewa Sasa kumbe gridi ya Taifa Jana ilizimwa na heche na wenzake wakina Tundu Lissu ili walipindue inji yetu...
  9. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Unakutana na jamaa kapiga suti imekaa yupo kiheshima, kumbe hajala toka jana usiku

    Hapana lazma upate vidonda vya tumbo siku Wanawake watatumia mgodi waliopewa bure na Mungu Wale wanaume wasiojua kukaza ndo tunawapoteza kabsa kundini, wanahamia upande wa umamani Wale wabishi ndo tunaenda kaz ngumu na kuacha elimu na aibu za kijinga pemben Wale wachagua kaz pia wanaamia...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Leo Hispania atajua kuwa jana siyo leo!!: Go Cape/Cabo Verde Go!!

    Kama kuna maajabu nahisi dunia itayashuhudia leo ni Cape Verde kumkomalia Hispania!! Ķuna uwezekano mkubwa sana (90%) Cape Verde akaibuka kidedea mechi ya leo kombe la dunia!! Huu uzi ukisinzia nina uhakika utaamshwa baada ya kipyenga cha mwisho!!
  11. Stability

    JamiiForums Tanzania Tusiwachoke wake zetu regard ya mapungufu yao, tuendelee kuwapenda kwa dhati

    Love is beutiful my people Tusiwachoke wake zetu regard ya mapungufu yao, tuendelee kuwapenda kwa dhati na tujitahidi kuwapa dozi kisawa sawa kama umemuoa jana
  12. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu jana bado kidogo abomoe na kuivunja TV tukiwa tunaangalia mpira hisia zetu tuziweke pembeni mpira una matokeo matatu

    Kuna kufungwa, kufanga na kutoka sare. Sasa km timu unayoishabikia imefungwa usichukue hisia zako ukawa na hasira kiasi cha kutaka kuvunja mpaka TV. Ilikua hivi mpira umeanza alipofungwa SA dakika za mwanzo kabisa nikaona mtu anaanza kuuma ulimi nikasema emu tusubiri tuone gemu imeendelea mpaka...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kesho (Tomorrow) and jana( yesterday) havipo, unavitengeneza tu kwenye akili yako

    Habari wanajf, kila siku huwa na sema hapa jf. Na leo nitasema kwa mara ya mwisho "ishi sasa (Now) hayo mambo ya kesho ,yatajipambania yenyewe". Matatizo ,maumivu ,na shida zote sio za lazima(unnecessary). Ni kwa sababu hukubaliani na wakati wa sasa (now),kwa sababu wakati wa sasa(now) mara...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO AJIRA MPYA Halmashauri ya Wilaya ya MBOGWE-GEITA hatujapatiwa FEDHA ZA KUJIKIMU tangu mwaka jana

    Tukiwauliza viongozi hatupewi majibu tunaishiwa kutishiwa tu na kujibiwa kisiasa kuwa akama ni haki yetu tutaipata hata kwa kuchelewa sana
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Drake ni G.O.A.T, wamejaribu kukandamiza carreer yake ila mwana bado yupo hai, tangu jana nakula hits after hits kwenye hizi projects zake mpya

    https://youtu.be/fpr2AM8ziEs?si=vXyJlGXoQ2wbgbfP
  16. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Eti jana naota Seran ameandika uzi wa kunikataa😁😁

    Niliudhika sana ndotoni Najua hautofanya hilo Nakupenda
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Wapya Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma (2025-2026) tunadai pesa ya kujikimu

    Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini. Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January 2026 ) hawajapewa Bado na haijulikani wanapewa lini.
  18. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Goli la Chama linaizidi kwa mbali Goli la Puskat 2025

    https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili https://youtu.be/YeFifs15d8I?si=oelqqxCQEKTT4cA0
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa kuna muda unadharirika sana: Jana mimi wa kupangishwa foleni Mnazi Mmoja na HR anipe Elfu 50!

    Sawa nina njaa kali. Ila jana nimejitafakari sana, Kati ya kuendekeza njaa au kulinda dignity. Kwanza tumeenda Mnazi Mmoja saa 1 kamili tupo pale, mgeni rasmi RC wa Jiji akafika saa 3 Asubuhi. Tukaanza kupita na mabango yenye jumbe mbalimbali mbele yake. Saa 8 HR akatuita kwenye gari...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotumia hesabu kutabiri matokeo ya mechi muhimu za jana na kujikusanyia mamilioni

    Siwezi kuacha hili lipite bila kuleta mrejesho vijana wangu I feel good @ holoholo-baba kijacho Rejea post hizi ili kujifunza nguvu ya hisabati kweye maisha ya kilasiku https://www.jamiiforums.com/threads/leo-simba-ana-uwezekano-mkubwa-sana-wa-kushinda-nitawachambulia-kwanini.2434257/...
Back
Top Bottom