Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Michoro na mkataba wa ujenzi wa uwanja mpya wa soka Arusha uko tayari na umesainiwa; na tayari wakandarasi wako site!
Kelele nyingi na majigambo ya machawa ni kuhusu jina la uwanja wakati bado hata Lori Moja la mchanga halijamwagwa pale tayari wametoka na jina la uwanja wenyewe! .
Samia Suhuhu Hassan stadium ! Kwanini Kila kitu apewe Rais !? Bado ana muda mwingi tu na yuko hai atapewa tu katika miradi ijayo !
Namshauri mh Rais kama anasoma hapa asikubali kelele za akina msigwa !. Kataa kabisa uwanja ule kupewa jina lako mpe mwanakwenda ERDWARD NGOYAI LOWASSA STADIUM!
Kelele nyingi na majigambo ya machawa ni kuhusu jina la uwanja wakati bado hata Lori Moja la mchanga halijamwagwa pale tayari wametoka na jina la uwanja wenyewe! .
Samia Suhuhu Hassan stadium ! Kwanini Kila kitu apewe Rais !? Bado ana muda mwingi tu na yuko hai atapewa tu katika miradi ijayo !
Namshauri mh Rais kama anasoma hapa asikubali kelele za akina msigwa !. Kataa kabisa uwanja ule kupewa jina lako mpe mwanakwenda ERDWARD NGOYAI LOWASSA STADIUM!