Revolution is bitch gameTuyaenzi Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 1964 Milele na Milele. Zanzibar ndio alama yetu pekee tunayoitegemea hapa Visiwani. CCM oyee.
NB: Karibuni katika sherehe ya kusherehekea miaka 60 ya kumfurusha Sultani.
Naunga mkono hoja, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaenziwe milele ndio maana yanaitwa ni Mapinduzi Daima!, ambayo ndio yaluyotuletea huu muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.Tuyaenzi Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 1964 Milele na Milele. Zanzibar ndio alama yetu pekee tunayoitegemea hapa Visiwani. CCM oyee.
NB: Karibuni katika sherehe ya kusherehekea miaka 60
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Naunga mkono hoja, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaenziwe milele ndio maana yanaitwa ni Mapinduzi Daima!, ambayo ndio yaluyotuletea huu muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.
P
InshaAllahNawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P
Asante sanaTaanzania Taanzania! Nakupenda kwa moyo wote ndani ya Mapinduzi ya Zanzibar 😆😆😆
Zanzibar huru ilidumu miezi 3 tu (Januari - April 1964). AsanteniNawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P