Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Nifah

JF-Expert Member
Feb 12, 2014
31,530
65,286
IMG_4394.jpeg
IMG_4395.jpeg
Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI!
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
 
Wenye mji wenu.

Ila kwa Lulu...... tokea zamani tu watu wanakibutua tokea akiwa Perfect Vision.

Ila hizi ndoa hizi watu wanachekeana kwenye Social Networks ila ndani kunafukuta.

Kiba mzee wa vitonga/kulelewa,Madam Rita kamlea wee mpaka alisahahu kazi yake ya mziki, so now yupo kwa Lulu kimya kimya.
 
Acha kuharibu Ndoa za watu Mkuu.

HEKIMA NI JAMBO JEMA KULIKO UMBEA UNAOLETA HAPA JF.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
wewe naye hujui mtu mbea husema ukweli ila shida ni moja tu hajapewa ruhusa ya kusema huo ukweli?? tatizo wewe ni wa kiume ungekua wa kike ungeelewa jinsi gani umbea unachoma choma kifua kuliko unavyotaka kwenda haja kubwa kinyesi kinavyokuchoma, hapo ukute moyo wake mwepesii muache atugee miubuyu sie hatufatilii app ya mange
 
wewe naye hujui mtu mbea husema ukweli ila shida ni moja tu hajapewa ruhusa ya kusema huo ukweli?? tatizo wewe ni wa kiume ungekua wa kike ungeelewa jinsi gani umbea unachoma choma kifua kuliko unavyotaka kwenda haja kubwa kinyesi kinavyokuchoma, hapo ukute moyo wake mwepesii muache atugee miubuyu sie hatufatilii app ya mange
UMBEA Usiozingatia Privacy ya mtu ni UJUHA!

Mleta Mada akiambiwa atoe ushahidi wa anachokisema, atatoa ushahidi?

HUMU JF HATUJUANI ILA HAIMAANISHI KUWA UNAEMUONGELEA VIBAYA HAYUPO HUMU.

HESHIMA NI JAMBO DOGO LAKINI LINA MAANA KUBWA SANA.
 
Elizabeth Michael and two others ( Salama Jabir@ Ali Kiba) versus Nifah and Jamii Forums Media.

In the Resident Magistrate Court of Dar Es Salaam at Kisutu.
Usinitisheeeee, wale ni mastar na kusemwa ni kawaida.
Labda kama wewe ni mgeni wa jukwaa hili, yamewahi kusemwa makubwa zaidi ya hili.

Kwani nimesema wameua hadi niwe na kesi ya kujibu? Watanipatia wapi kwanza?
Hebu nipishe bwana.
 
wewe naye hujui mtu mbea husema ukweli ila shida ni moja tu hajapewa ruhusa ya kusema huo ukweli?? tatizo wewe ni wa kiume ungekua wa kike ungeelewa jinsi gani umbea unachoma choma kifua kuliko unavyotaka kwenda haja kubwa kinyesi kinavyokuchoma, hapo ukute moyo wake mwepesii muache atugee miubuyu sie hatufatilii app ya mange
Halafu kwa anayejua habari za mjini wala hakuna jipya hapa katika niliyoyasema.

Nisipowaletea ubuyu wanalalamika, nikileta ninavunja ndoa za watu.
Kwahiyo ni nani wa kuleta ubuyu wake? Ukiwa star haya ndio maisha yako, huwezi kuyakwepa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom