soka

Mchezo wa mpira wa miguu.
  1. S

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutoa maoni ya vikwazo vya ukuaji wa soka la Tanzania

    Wakuu karibuni mchangie maoni yenu kuhusu vikwazo vya ukuaji wa soka la hapa kwetu Tanzania
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania Foot School TV: Chaneli Bora ya Soka Iliyotufunza Ufundi

    Kwa wale wahenga ambao tulikutananna harakati za Mchina kuingia kwenye soko laa kuuza visimbusi vyake basi tutakuwa tunakumbuka namna ambavyo Kampuni ya StarTimes ilivyoingia nchini. Mwaka 2009 mpaka 2010 wakati watoto Wa Madiba wapo busy kuandaa michuano ya Kombe la Dunia. Basi StarTimes naye...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hii timu licha ya kutawala soka la bongo,ina watu dhaifu na waoga sana.

    Timu iliyojaa mashabiki wanaotegemea uchawi na nguvu za serikali ni dalili za woga na kutojiamini katika mpira. Mashabiki wanamtukana mchezaji mmoja kwa ushirikiano na wadangaji wa kwenye mitandao huku wakimtisha eti timu yao ina watu na mkono mrefu hadi serikalini?!! Huku ni kuonesha udhaifu...
  4. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mshabiki wa soka nchini wamvaa mtangazaji Baraka Mpenja

    Mtangazaji maarufu wa soka nchini Tanzania, Baraka Mpenja, amejikuta katikati ya kimbunga cha malalamiko kutoka kwa mashabiki wa soka nchini baada ya kutuhumiwa kuonyesha upendeleo wa wazi na kusifu uwekezaji wa Gharib Said Mohamed (GSM) ndani ya Yanga SC badala ya kuzingatia utangazaji, mbinu...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Tetesi za soka Ulaya: Arsenal, Man City zinamgombea Neto wa Chelsea

    Arsenal, Manchester City na Al-Hilal zinamvizia winga wa Chelsea, Pedro Neto, na zinaweza kuwasilisha ofa kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno mwenye umri wa miaka 26 katika dirisha la usajili la Januari. Chelsea inataka kukamilisha usajili wa kiungo wa Bournemouth, Alex Scott, mapema, huku...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Lionel Messi astaafu katika soka la kimataifa

    Messi mwenye umri wa miaka 39, ambaye ana mkataba na Inter Miami hadi mwaka 2028, alitangaza Jumatatu kuwa kipindi chake cha mafanikio na timu ya taifa ya Argentina kimefikia mwisho baada ya zaidi ya miaka 20. Messi amesema alikuwa akitafakari kuhusu mustakabali wake katika soka kufuatia kifo...
  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Tupate historia leo katika soka! Ipi imekukosha zaidi?

    Tarehe 24 Agosti imeacha alama kubwa katika historia ya soka, kuanzia rekodi za Arsenal, hat-trick ya Thierry Henry hadi mafanikio makubwa ya Bayern Munich. Haya ni baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea siku hii: 1997: THIERRY HENRY AWEKA ALAMA LIGUE 1 Akiwa na miaka 20 tu na akiichezea AS...
  8. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Ronaldinho Gaucho, arudi kwenye soka la ushindani akiwa na miaka 46

    Habari zilizo tikisa dunia ya kandanda ni kitendo cha Ronaldinho gaucho, kurekea UWANJANI kuichezea Ravenna fc ya italia serie c. Akizungumza mwenyekiti wa klabu hiyo kaongeza kua Ronaldinho asajiliwa Kwa AJILI ya mpira wa ushindani na si maswala ya matangazo. Hivo mashabiki wajiandae kuona...
  9. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ya Soka ya watu wafupi nchini Sudan yajiandaa kwa Kombe la Dunia 2026

    Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya watu wenye kimo kifupi nchini Sudan, inapambania ndoto yake ya kucheza Kombe la Dunia licha ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo. Timu hiyo inajiandaa kwa ajili ya Kombe la Dunia la Mpira wa Miguu la Watu Wenye Kimo Kifupi 2026, linalotarajiwa kufanyika...
  10. Heci

    JamiiForums Tanzania Leo ndio siku ambayo Ibrahim Doumbia anaenda kusimika ufalme wake wa soka duniani

    Dunia leo inaenda kumheshimisha Ibrahim Doumbia. Tayari mpaka sasa Doumbia anaenda kudidimiza vichwa vinne pale Jangwani. Wataimba haleluya
  11. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wawekezaji wote Katika soka hawaongei Sana kama Mo Dewij kanjibhai ?

    Kuanzia bakharesa, Azim Dewij , Yusuph Manji, Ghalib Mohammed na hata ukienda ulaya na duniani kote matajiri wote wawekezaji Katika soka wanapenda kubaki kama mashujaa nyuma ya camera, na sio kubwabwaja bwabwaja hovyo na kutafuta justification na public sympathy kama huyu muhindi mzaramo. Au...
  12. min -me

    JamiiForums Tanzania Kwenye soka hakuna kama Mo Dewji tajiri asieleweka kabisa

    Mfanyabiashara Mohamed Dewji amezungumzia suala la mchango wa shilingi bilioni 30, huku baadhi ya watu wakitoa maoni mbalimbali kuhusu hatua hiyo. Wakosoaji wamemkosoa kwa kauli kali, wakidai kuwa utajiri wake haupaswi kumfanya awapuuze wananchi.
  13. PAYE

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Okwi astaafu soka la kulipwa

    Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Arnold Okwi, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa baada ya miaka mingi ya mafanikio uwanjani. Kupitia ujumbe wake, Okwi amesema uamuzi huo ni miongoni mwa maamuzi magumu zaidi maishani mwake, akieleza kuwa soka halikuwa kazi tu bali...
  14. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Messi aendelee kupewa Ballon d'Or mpaka pale atakapoamua kuacha kucheza soka ni aibu kumpa mtu kama Dembele ile tuzo

    Mimi sina mengi sana kwa namna ya uchezaji wake ni dhahiri kwamba hakuna mtu yeyote kwa soka la sasa kumlinganisha naye. The real GOAT
  15. M

    JamiiForums Tanzania Zawadi Kombe la Dunia la 2026 ni dola milioni 871 za Marekani, ambayo ni kubwa zaidi katika historia ya soka

  16. M

    JamiiForums Tanzania Afrika ijitathmini upya katika SOKA

    Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu. Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za Taifa),mwenye uwezo aruhusiwe kubeba "ndoo" ili kujijenga kwa pamoja (inclusive football) Rejea: 1.Senegal...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Tunalimiss sana soka staili ya samba!!

    Brazil waliingia mkenge kwa kuachana na staili ya soka lao la samba lenye burudani ya kufa mtu, linalowekeza kwenye vipaji na wakaiga soka la ulaya linalo-base kwenye mpira wa kibiashara zaidi kuliko burudani!! Tusahau kuibuka na kuendelezwa kwa vipaji kama Pele, Maradona, Ronaldo og...
  18. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hakuna pahala dola imeonekana kuwa chanzo cha utekaji. Yaani kina Soka na Polepole walijiteka au?

    Kati ya sababu alizo zitaja Chande , hakuna pahala amesema dola inausishwa na utekaji Badala yake amesema watekwaji yawezekana ni ushirikina, mapenzi, kutafuta umaarufu na mengine mengi. Hivi kweli kusoma hatujui hata kuona? Hii ripoti ni mali ya Rais
  19. B

    JamiiForums Tanzania Ushirikiano wa PigaBet na Fountain Gate FC Watoa Mwanga Mpya kwa Soka la Ndani

    Dar es Salaam — Kampuni ya michezo ya kubashiri ya PigaBet imetangaza rasmi kuingia mkataba wa udhamini na klabu ya Fountain Gate FC wenye thamani ya Shilingi bilioni 1, hatua inayotarajiwa kuongeza nguvu katika maendeleo ya soka nchini Tanzania. Ushirikiano huo umetangazwa jijini Dar es...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania TFF na Bodi mnafungia waamuzi kila siku hamjiulizi shida iko wapi i jitathmini hii n aibu kwa soka letuu

    Hii n aibu sana kwa soka letu mnataka kutuaminisha waamuzi wanaungia na matokeo uwanjan Means kuna rushwa inaendelea soka letu Haiwezekani kila mechi jaman mnafungia wamuzi Hivi vikaoo mnalipwa na nani kila siku mnafungia waamuzi mbaya wameshindwa kutasfiri sheria Mna shida kubwa sana snaaaa...
Back
Top Bottom