Hii ni moja ya sababu ya mafanikio ya alonso msimu huu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,311
4,021
Attack Attack Attack

Screenshot_20240422_175251_YouTube.jpg
 
Uchambuzi tayari..

Nakubaliana na wewe, ila bila kuuzungumzia mfumo wao wa defense na pattern nzima ya timu, bado haitoshi. Jamaa hata eneo la ulinzi lina shape nzuri. Kushambulia pekee haitoshi. Wanafanya hivyo kwakuwa tayari wanajua kama watapoteza mpira wakati wa attacking watazuiaje wapinzani wasiwadhuru.

N.B: ili uamini umewashinda hawa jamaa ni hadi usikie filimbi ya mwisho. Bila hivyo ni baaaadooo
 
Uchambuzi tayari..

Nakubaliana na wewe, ila bila kuuzungumzia mfumo wao wa defense na pattern nzima ya timu, bado haitoshi. Jamaa hata eneo la ulinzi lina shape nzuri. Kushambulia pekee haitoshi. Wanafanya hivyo kwakuwa tayari wanajua kama watapoteza mpira wakati wa attacking watazuiaje wapinzani wasiwadhuru.

N.B: ili uamini umewashinda hawa jamaa ni hadi usikie filimbi ya mwisho. Bila hivyo ni baaaadooo
Dortmund alikiona jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom