An arsenal is a place where arms and ammunition are made, maintained and repaired, stored, or issued, in any combination, whether privately or publicly owned. Arsenal and armoury (British English) or armory (American English) are mostly regarded as synonyms, although subtle differences in usage exist.
A sub-armory is a place of temporary storage or carrying of weapons and ammunition, such as any temporary post or patrol vehicle that is only operational in certain times of the day.
Kwenye Video hapo chini usiku wa kuamkia leo Kikosi kizima cha Arsenal kilikuwa Kwenye chumba uwanjani kwao Emirates wakifuatilia mubashara mechi kati ya City na Bournemouth.
Unaweza kumuona Martinelli akikata tamaa baada ya Haarland kusawazisha goli.
Lakini baada ya kipenga cha mwisho ni...
Nawashukuru sana Arsenal baada ya miaka 22 kusubiri hadi kuwa mabingwa wa kombe lenye hadhi kubwa ulimwenguni la EPL (ENGLISH PREMIER LEAGUE)
Nimefurahi mnooooo!
Arsenal imechukua ubingwa wakati ambao Chadema wanaenda kuwa mabingwa na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania
Ahsante Chadema...
Hatimaye safari ndefu ya kusubiri imefika mwisho kwa mashabiki wa Arsenal F.C. baada ya kutwaa ubingwa wa EPL baada ya miaka 22 tangu msimu wa 2003/04 wa “Invincibles” chini ya Arsène Wenger. 🔥
Chini ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wameandika historia mpya huku mashabiki wa wapiga bunduki...
Arsenal have officially been crowned 2025/26 Premier League champions after rivals Manchester City F.C. failed to keep pace in the title race following their draw with Bournemouth on Tuesday night.
The result leaves Arsenal Four points clear at the top of the table with just one match...
Imepita zaidi ya miaka 20 tangu Arsenal iteae ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza. Pamoja na kucheza soka safi la kuburudisha huwa wanaishia kunawa tu! Lakini hatimaye inaelekea soka linaenda kuitendea haki Arsenal itwae ubingwa ikiwa nje ya uwanja. Hadi muda huu Man city kachapwa 1-0. Matokeo...
Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja.
Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
Mimi siyo shabiki wa hii timu ya Arsenal lakini naiombea ichukue ubingwa wa FA Premier league na Uefa UCL.
Ila nimependezwa sana na huyu binti sikujuwa ni shabiki wa Arsenal.
Si mwengine bali ni Valentina Gabriel al maarufu Vale nafaka nembo ya taifa mrembo wa taifa binti mrembo mwenye uzuri...
Nitalia arsenal atapo beba ubingwa, hakika hii ni kubwa kuliko, funzo kubwa kwenye maisha linatolewa na arsenal, mara ya mwisho kubeba ubingwa wa epl nadhani ilikua 2003/2004.
Ni miaka 22 imepita bila kukata tamaa, wameshindwa sana, hawa kukata tamaa, na sisi sasa tujifunze. hujapata bahati ya...
Habari zenu,
Leo nusu fainali ya Uefa itakuwa ndo mwisho wa safari ya Arsenal kwani Atletico ndie atakayeshinda mechi hii, huu sio utabiri ndivyo inavyokwenda kutokea.
Atlético Madrid wanatarajiwa kuwa wageni wa Arsenal katika uwanja wa Emirates, kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League, mchezo utakaopigwa saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Nusu fainali ya kwanza iliyofanyika katika uwanja wa Metropolitano jijini Madrid...
Atletico Madrid wanatarajia kuikabili Arsenal kwenye dimba la Riyadh Air Metropolitano, katika nusu fainali ya mkondo wa kwanza ya UEFA Champions League, kuanzia saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Mechi ya marudiano (2nd leg) inatarajiwa kupigwa Jumanne Mei 5, 2026 kwenye Uwanja wa...
Guys wajinga sio Bongo tu na Mwangosi na Dube wana Role Model wao huku England.
I was very FLABBERGASTED a such Professional Player, you turn a clumsy cross while you've an option to score or give a cross earlier before the critical deadlock from the two defenders.
Number of goals this season...
MANCHESTER CITY DHIDI YA ARSENAL: PAMBANO LINALOAMUA MSIMU ⚔️
Uchambuzi wa Mdau:
Manchester City
Rayan Cherki: Ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha pasi 10 za mabao (assists) katika msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu tangu Dimitri Payet afanye hivyo msimu wa 2015-16.
Rekodi ya Nyumbani...
MANCHESTER CITY DHIDI YA ARSENAL: PAMBANO LINALOAMUA MSIMU ⚔️
Uchambuzi wa Mdau:
Manchester City
Rayan Cherki: Ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha pasi 10 za mabao (assists) katika msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu tangu Dimitri Payet afanye hivyo msimu wa 2015-16.
Rekodi ya Nyumbani...
Shakibi mmoja wa Arsenal nchini Uganda ameshindwa kuvumilia matokea mabaya inayopata timu na ameichapa notice ya malalamiko na kudai kuwa atachukua hatua za kisheria dhidi ya Klabu, wachezaji wake wa kikosi cha kwanza pamoja na meneja wake Mikel Arteta kufuatia uchezaji usiokubalika dhidi ya...
Arsenal, ambao ni vinara wa Ligi Kuu England (EPL), wamepoteza mchezo huo kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth katika dimba la Emirates. Matokeo hayo yanaifanya Arsenal kubaki na alama 70 baada ya kucheza michezo 32, huku wapinzani wao wa karibu, Manchester City, wakiwa na alama 61 na michezo 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.