Kuna siku sikulipa nauli, ndani kulikuwa giza, afu nilikaa na limama libonge, kwa hiyo kondakta hakuniona.
Sasa juzi daladala ilijaza kwelikweli. Me nilibatika kusimama. Sasa kuna mdada mrembo huyoo! Alisimama nyuma yangu, afu mbele yangu, kulikuwa na jamaa. Tulikuwa tunashusha(kitonga hiyo)...