club

A club is an association of people united by a common interest or goal. A service club, for example, exists for voluntary or charitable activities. There are clubs devoted to hobbies and sports, social activities clubs, political and religious clubs, and so forth.

View More On Wikipedia.org
  1. min -me

    JamiiForums Tanzania Simba Sports Club maskini timu yangu😭

    Kamwe hii timu yangu haiwezi chukua ubingwa mbele ya timu ya Yanga, wana malengo mabaya sana , hatuna plan na tuna matajiri oya oya na viongozi wahuni takataka🚮 Note ..endeleeni kushabikia matajiri wajinga kwenye soka, viva epl clubs✔
  2. bullbar

    JamiiForums Tanzania Mangungu lazima abaki Simba sports Club

    Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

    Nimeona hii taarifa kwenye official page ya Club,mwenye kujua kwa undani nini kimefanyika huko Bunju.
  4. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Club Mate's Geography Quiz: Onesha utaalamu wako, mdau!

    Day 1 Wataalamu wa jiografia karibuni kwenye siku ya kwanza ya Club Mate’s Geography Quiz. Wa kwanza kutaja jibu sahihi la category moja atapata point moja, wa kwanza kutaja majibu yote sahihi kwa pamoja atapata points 10 kwenye leaderboard. Tumpate bingwa wa jiografia wa hapa JF. Leaderboard...
  5. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua kukesha club si sawa kwangu

    Ilikua mkesha wa pasaka. Mwanangu Zombie akanicheki like always, Oyaa location wapi leo? Nikamwambia wewe tu mwanangu master plan. OK sawa man tutazama mbeya pazuri.. (at that time nilikuwa naishi mbeya). By that time nilikuwa nilisha break up na demu wangu, i just numbed the pain by parting...
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Nimepita Leaders club, hivi Makonda kamshauri Rais pajengwe kitu gani?

    Hii nchi ni una mataila, Nimepita Leaders club, nmekuta kinachojengwa ni ushuzi mtupu, nauliza naambiwa ni maandalizi ya Afcon real? Rais kashauliwa na kashaulika real? Makonda Makonda kumanyokooo
  7. venchwa

    JamiiForums Tanzania Kule Vietnam sasa nikakutana na wadada wawili ma nes kutoka Marekani, club inaitwa Blue bar

    Mwaka ule ule napata connection ya kisanga cha Mnyarwanda kabla ya hapo nawaleta kati Katika Uzi uliopita niliiongelea Vietbam nikasema itakuwa story ya siku ngingine Kifupi Vietnam nimeenda Mara mbili Moja ni awali kabla sijampata mnyarwanda Na ya pili nilimpeleka mnyarwanda aka pate kutoa...
  8. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Ibilisi ametia nanga Velvet club Sinza

    Hatimaye vacation yangu ndani ya Dasalamu imeharibika rasmi na kuingia nuksi baada ya kujichanganya na kukanyaga Velvet club Sinza! Muhudumu anakuja kukusikiliza huku anakuletea nyonyo kifusi zimazima usoni. Kisha mkwanja wa bili unatakiwa uuchopeke katikati ya mtindi. Mbaya zaidi na...
  9. Da Dona

    JamiiForums Tanzania FALSE Kai Havertz: Without me, Chelsea wouldn't even be Club World Cup Champions

  10. M

    JamiiForums Tanzania Club de nuit intense man Club de nuit limited edition Club de nuit urban elixir Club de nuit intense man Untold

    Wakuu naomba ushauri hapo na wapi napata ogiiina contact hasa waliotumia naomba ABC
  11. M

    JamiiForums Tanzania Yanga msimu ujao club bingwa boresheni point zenu walau zifike 9 sasa tumechoka

    Yanga kwa hii misimu yote iliyocheza club bingwa,Kila msimu kwenye makundi imekua ikimaliza makundi na jumla ya point 8 Kwa match zote 6 inazocheza.Hali hiyo imeifanya yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali mara mbili mtwalia. Kwa hivyo msimu ujao uongozi wa yanga nafikili Hilo nao pia...
  12. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Kigamboni Gezaulole Islàmic club

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580+. Price: Tsh 150 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Dodoma Jiji VS Simba Sports Club Jamhuri Stadium 22/2/2026.

    Mtanange ukiwa unaendelea, mzani ushaanza Kuwaelemea Wenyeji. Mnyama yuko mbele kwa bao 2... Kipute kinaelekea halftime
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Kigamboni Gezaulole near Islamic club

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580+. Price: Tsh 150 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly...
  15. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Harmonize jana arudi kupiga show za club na sio kuandaa matamasha tena

    Wakuu jana usiku wa kuamkio leo Kondeboy ameonekana visiwa vya Zanzibar akipiga show kwenye club moja ambapo watu walikuwa akisherehekea Christmas. Limekuwa jambo la tofauti sana kutoka Harmonize yule wa kuandaa concert kubwa leo hii karejea mitaani tena. Naona kuvunga wameshindwa na kumbe sisi...
  16. lembu

    JamiiForums Tanzania Top 10 African Club Rankings – October 2025

    IFFHS Top 10 African Club Rankings – October 2025 🇪🇬 Pyramids FC – Egypt 🇪🇬 Al Ahly SC – Egypt 🇲🇦 RS Berkane – Morocco 🇹🇳 Espérance Sportive de Tunis – Tunisia 🇿🇦 Mamelodi Sundowns FC – South Africa 🇪🇬 Zamalek SC – Egypt 🇿🇦 Orlando Pirates FC – South Africa 🇲🇦 FAR Rabat – Morocco 🇹🇿 Simba SC –...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Jezi za Yanga ni mbaya sana. Uongozi wa Club MMEZINGUA

    Injinia Hersi unajulikana jinsi ulivyo Makini lakini katika hili UMEHARIBU . Wenzenu Simba Jezi zao ni nzuri sana na quality ya juu sana, kwanza zinavutia na ukivaa unapendeza. Au jukumu la kutengeneza mlimuachia Ali Kamwe . Ukute katengenezea Kiboroloni kule Moshi WAKAPIGA HELA HAWA
  18. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Kigamboni Gezaulole Opposite Islamic club.

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house. •It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club. •The plot has fairly used house. Size: SQM 580. Price: Tsh 150 Million. Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Complaint Regarding Breach of FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club

    Dear FIFA Ethics Committee, I am writing to report a potential breach of the FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club, the current premium football champion in Tanzania. On Monday, 11 August, at Mlimani City Hall in Dar es Salaam City , the club's president contributed 39,000 to the...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Mechi ya awali dhidi ya Williete Club De Benguela Yanga kuweni makini kule Angola sio kibonde ni timu iliyojiimarisha!

    Baada ya droo ya caf ccl nimeona niwaonye yanga wawe makini na wachukue tahadhali zote dhidi ya timu hii ya Wiliete club de benguela ya Angola kwani sio timu kibonde ni timu iliyosukwa vizuri na Iko timamu kweli kweli! Timu hii msimu uliomalizika 2024/2025 imemaliza nafasi ya pili kwenye...
Back
Top Bottom