A club is an association of people united by a common interest or goal. A service club, for example, exists for voluntary or charitable activities. There are clubs devoted to hobbies and sports, social activities clubs, political and religious clubs, and so forth.
Kamwe hii timu yangu haiwezi chukua ubingwa mbele ya timu ya Yanga, wana malengo mabaya sana , hatuna plan na tuna matajiri oya oya na viongozi wahuni takataka🚮
Note ..endeleeni kushabikia matajiri wajinga kwenye soka, viva epl clubs✔
Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
Day 1
Wataalamu wa jiografia karibuni kwenye siku ya kwanza ya Club Mate’s Geography Quiz. Wa kwanza kutaja jibu sahihi la category moja atapata point moja, wa kwanza kutaja majibu yote sahihi kwa pamoja atapata points 10 kwenye leaderboard. Tumpate bingwa wa jiografia wa hapa JF.
Leaderboard...
Ilikua mkesha wa pasaka. Mwanangu Zombie akanicheki like always, Oyaa location wapi leo? Nikamwambia wewe tu mwanangu master plan. OK sawa man tutazama mbeya pazuri.. (at that time nilikuwa naishi mbeya).
By that time nilikuwa nilisha break up na demu wangu, i just numbed the pain by parting...
Hii nchi ni una mataila,
Nimepita Leaders club, nmekuta kinachojengwa ni ushuzi mtupu, nauliza naambiwa ni maandalizi ya Afcon real?
Rais kashauliwa na kashaulika real?
Makonda Makonda kumanyokooo
Mwaka ule ule napata connection ya kisanga cha Mnyarwanda kabla ya hapo nawaleta kati
Katika Uzi uliopita niliiongelea Vietbam nikasema itakuwa story ya siku ngingine
Kifupi Vietnam nimeenda Mara mbili
Moja ni awali kabla sijampata mnyarwanda
Na ya pili nilimpeleka mnyarwanda aka pate kutoa...
Hatimaye vacation yangu ndani ya Dasalamu imeharibika rasmi na kuingia nuksi baada ya kujichanganya na kukanyaga Velvet club Sinza!
Muhudumu anakuja kukusikiliza huku anakuletea nyonyo kifusi zimazima usoni. Kisha mkwanja wa bili unatakiwa uuchopeke katikati ya mtindi.
Mbaya zaidi na...
Yanga kwa hii misimu yote iliyocheza club bingwa,Kila msimu kwenye makundi imekua ikimaliza makundi na jumla ya point 8 Kwa match zote 6 inazocheza.Hali hiyo imeifanya yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali mara mbili mtwalia.
Kwa hivyo msimu ujao uongozi wa yanga nafikili Hilo nao pia...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house.
•It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club.
•The plot has fairly used house.
Size: SQM 580+.
Price: Tsh 150 Million.
Document: Clean Title Deed.
For further details or to arrange a viewing, kindly...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house.
•It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club.
•The plot has fairly used house.
Size: SQM 580+.
Price: Tsh 150 Million.
Document: Clean Title Deed.
For further details or to arrange a viewing, kindly...
Wakuu jana usiku wa kuamkio leo Kondeboy ameonekana visiwa vya Zanzibar akipiga show kwenye club moja ambapo watu walikuwa akisherehekea Christmas. Limekuwa jambo la tofauti sana kutoka Harmonize yule wa kuandaa concert kubwa leo hii karejea mitaani tena. Naona kuvunga wameshindwa na kumbe sisi...
IFFHS Top 10 African Club Rankings – October 2025
🇪🇬 Pyramids FC – Egypt
🇪🇬 Al Ahly SC – Egypt
🇲🇦 RS Berkane – Morocco
🇹🇳 Espérance Sportive de Tunis – Tunisia
🇿🇦 Mamelodi Sundowns FC – South Africa
🇪🇬 Zamalek SC – Egypt
🇿🇦 Orlando Pirates FC – South Africa
🇲🇦 FAR Rabat – Morocco
🇹🇿 Simba SC –...
Injinia Hersi unajulikana jinsi ulivyo Makini lakini katika hili UMEHARIBU . Wenzenu Simba Jezi zao ni nzuri sana na quality ya juu sana, kwanza zinavutia na ukivaa unapendeza.
Au jukumu la kutengeneza mlimuachia Ali Kamwe . Ukute katengenezea Kiboroloni kule Moshi WAKAPIGA HELA HAWA
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Gezaulole near ASAS house.
•It's on main street, 150m away from beach, opposite Islamic Club.
•The plot has fairly used house.
Size: SQM 580.
Price: Tsh 150 Million.
Document: Clean Title Deed.
For further details or to arrange a viewing, kindly...
Dear FIFA Ethics Committee,
I am writing to report a potential breach of the FIFA Code of Ethics by Young African Sports Club, the current premium football champion in Tanzania. On Monday, 11 August, at Mlimani City Hall in Dar es Salaam City , the club's president contributed 39,000 to the...
Baada ya droo ya caf ccl nimeona niwaonye yanga wawe makini na wachukue tahadhali zote dhidi ya timu hii ya Wiliete club de benguela ya Angola kwani sio timu kibonde ni timu iliyosukwa vizuri na Iko timamu kweli kweli!
Timu hii msimu uliomalizika 2024/2025 imemaliza nafasi ya pili kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.