THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,729
- 3,290
Ile Fainali ilikua Kati ya Manchester United vs Chelsea.
Nakumbuka Fergie aliwaambia Wachezaji wake kua Nenden mkijua kua katika Fainali hii nyie ndio Mnachukiwa zaidi.
Katika Fainali hiii nyie ndio mnaombewa kufungwa na watu wengi Dunian kote,Maana mmetawala sana kuanzia kwenye Ligi hadi Ulaya.
So watu wanaombea Mpoteze nikwambie tu Wachezaji walipigana sana at the End Team ambayo ilikua haipendwi ikashinda Mchezo na kunyakua kombe
Turudi Kwa upande wa Yanga sasa,kivipi nailinganisha na ile Fainali Facts zinaendana sana kwa wakat huu Yanga inaongozwa kutokupendwa hapa Tanzania na hawa watoto wa 2000 ambao ndio wanaongoza kutumia simu nakuandika Vitu wasivyoelewa Mtandaoni hasa hapa Jamiiforum
Hata hapa Jukwaani yamesemwa Mengi sana
kuhusu Yanga..Ila Leo Saa 3 Jukwaa Litakuaa Letu sisi Mashabiki Kindakindaki wa YANGA.
Yani watu wamefikia hatua wanaipangia Yanga hadi mda wa kucheza na kuiambia kwa kua kama imechagua kucheza Saa 1 basi itafungwa daaah😂😂
Ila Anyway Mi hua naamin kua Ukiona Hisia zinakwmabia hii Team ina fungwa basi Amini hio Team itashinda hata kama huipendi.
#GoHard WanaNchi
#NyiendioTanzania🇹🇿🇹🇿
#FLY
Nakumbuka Fergie aliwaambia Wachezaji wake kua Nenden mkijua kua katika Fainali hii nyie ndio Mnachukiwa zaidi.
Katika Fainali hiii nyie ndio mnaombewa kufungwa na watu wengi Dunian kote,Maana mmetawala sana kuanzia kwenye Ligi hadi Ulaya.
So watu wanaombea Mpoteze nikwambie tu Wachezaji walipigana sana at the End Team ambayo ilikua haipendwi ikashinda Mchezo na kunyakua kombe
Turudi Kwa upande wa Yanga sasa,kivipi nailinganisha na ile Fainali Facts zinaendana sana kwa wakat huu Yanga inaongozwa kutokupendwa hapa Tanzania na hawa watoto wa 2000 ambao ndio wanaongoza kutumia simu nakuandika Vitu wasivyoelewa Mtandaoni hasa hapa Jamiiforum
Hata hapa Jukwaani yamesemwa Mengi sana
kuhusu Yanga..Ila Leo Saa 3 Jukwaa Litakuaa Letu sisi Mashabiki Kindakindaki wa YANGA.
Yani watu wamefikia hatua wanaipangia Yanga hadi mda wa kucheza na kuiambia kwa kua kama imechagua kucheza Saa 1 basi itafungwa daaah😂😂
Ila Anyway Mi hua naamin kua Ukiona Hisia zinakwmabia hii Team ina fungwa basi Amini hio Team itashinda hata kama huipendi.
#GoHard WanaNchi
#NyiendioTanzania🇹🇿🇹🇿