uefa

The Union of European Football Associations (UEFA; yoo-AY-fə; French: Union des associations européennes de football; German: Union der europäischen Fußballverbände) is the administrative body for football, futsal and beach soccer in Europe. It is one of six continental confederations of world football's governing body FIFA. UEFA consists of 55 national association members.
UEFA represents the national football associations of Europe, runs nation and club competitions including the UEFA European Championship, UEFA Nations League, UEFA Champions League, UEFA Europa League, planned UEFA Europa Conference League, and UEFA Super Cup, and controls the prize money, regulations, and media rights to those competitions.
Henri Delaunay was the first general secretary and Ebbe Schwartz the first president. The current president is Aleksander Čeferin, a former Football Association of Slovenia president, who was elected as UEFA's seventh president at the 12th Extraordinary UEFA Congress in Athens in September 2016, and automatically became a vice-president of the world body FIFA.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    UEFA EURO 2024: Special Thread.

    Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano haya ya kusisimua, yanayofanyika mara moja kila baada ya miaka minne, yataanza kutimua vumbi Ijumaa...
  2. 2 of Amerikaz most wanted

    UEFA QUARTER FINAL: Can't wait eight Remain

    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City 🇪🇸 Barcelona 🇪🇸 Atlético 🇪🇸 Real Madrid 🇩🇪 Bayern 🇩🇪 Dortmund 🇫🇷 PSG
  3. Teko Modise

    Arsenal Vs Porto | Uefa Champions League | Round of 16 - Second Leg | Emirates Stadium

    Ni bonge la mechi pale London. Arsenal (tembo) atashuka dimbani katika mchezo wa pili wa raundi ya 16 bora akijaribu kusaka matokeo dhidi ya Porto. Mchezo wa kwanza Arsenal alipigwa 1-0 pale Estadio Dragao. Je, Arsenal atapindua meza? Tukutane saa 5:00 usiku kwa live updates…
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    UEFA Champions league new format set to start next season

    ° The current, historical 32 team group stage format will transition to a 36 team league phase from 2024. ° Each team will face eight different opponents, drawn from each of the four pots-resulting in 4 home games and 4 away games with total 8 games guaranteed. ° Teams that secure position 1...
  5. THE FIRST BORN

    Kila nikiona Yanga inacheza Match ya kimataifa hua inanikumbusha Fainali ya UEFA Msimu wa 2007/2008

    Ile Fainali ilikua Kati ya Manchester United vs Chelsea. Nakumbuka Fergie aliwaambia Wachezaji wake kua Nenden mkijua kua katika Fainali hii nyie ndio Mnachukiwa zaidi. Katika Fainali hiii nyie ndio mnaombewa kufungwa na watu wengi Dunian kote,Maana mmetawala sana kuanzia kwenye Ligi hadi...
  6. Joe Navarro

    City au Girona Mmoja kukosa Uefa

    Kutokana na Sheria kutoruhusu vilabu viwili tofauti vyenye mmiliki mmoja kushiriki michuano hiyo. Kazi kwao kuchagua aende Nani abaki nani. ? Angalizo : Vipi kuhusu RB SALZBURG na RB LEIPZIG Hawa hawatufichi Jambo kweli ? #Scores90
  7. Maghayo

    UEFA wanakera

    Mzuka wanajamvi. Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera. Ingekuwa zamani sasa hivi leo ijumaa tungeshajua draw za the last 16 UEFA champions league. Sasa inabidi tusubiri hadi jumatatu tujuwe draw yenyewe. Hatuwezi kusubiri na kuvumilia zaidi ya siku mbili zote...
  8. Suley2019

    FT: Man United 0 - 1 Bayern | UEFA CL | Old Trafford | 12.12.2023

    Haya kwa wale wapenzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya leo kwa upekee kabisa tunawaletea kitakachojiri live wakati wa mchezo huo. Mchezo huu wa mwisho kabisa wa hatua ya Makundi unabeba hisia nyingi za wapenzi wa soka kutokana na uhitaji wa ushindi kwa Timu ya Man United ili aendelee kubaki kwenye...
  9. benzemah

    UEFA yaipongeza Tanzania Kukuza Soka la Wanawake

    Shirikisho la Mpira barani Ulaya (UEFA,) limeipongeza Tanzania kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Karibu Tanzania Organization (KTO,) kwa jitihada zinafanywa katika kukuza soka la wanawake na wasichana katika ngazi mbalimbali za Elimu kwa kuanzia ngazi ya Elimu Msingi. Hayo yameeelezwa na...
  10. JanguKamaJangu

    UEFA: Manchester United yaendelea kuchezea vichapo, yapigwa 4-3 na Bayern Munich

    Ikicheza kwenye Uwanja wa ugenini, Manchester United imefungwa magoli 4-3 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kundi A. Magoli ya Bayern yamefungwa na Leroy Sane, Segre Gnabry, Harry Kane na Mathy Tel wakati United wafungaji ni Rasmus Hojlund na Casemiro (mawili)...
  11. Vladivostok

    Novatus Dismas Miroshi atua Shakhtar Donestk Ukraine, kukipiga ligi ya Mabingwa (UEFA)

    Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji. Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji. Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.
  12. Greatest Of All Time

    Man City Vs Sevilla | Uefa Super Cup | Karaiskakis Stadium | 16.08.2023

    Majira ya Saa 4:00 Usiku utapigwa mcheza wa Uefa Super Cup kati ya Man City dhidi ya Sevilla. Ni mchezo wa ufunguzi kwa msimu mpya wa mashindano kwa ngazi ya vilabu barani Ulaya. Mchezo unaowakutanisha mabingwa wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya mabingwa wa Europa league. Man City itamkosa...
  13. S

    Rais wa UEFA Ceferin atoa Onyo kinachoendea Saudi Arabia

    Rais wa UEFA Ceferin: "Usajili wanaoufanya SAUDIA ni makosa kwa soka la kwao. Wawekeze hizo pesa kwenye academy, walete makocha na waendeleze wachezaji wao wenyewe, kununua wachezaji wanaomalizia soka lao sio mfumo wa kuendeleza soka, kosa kama hilo walilifanya China.”
  14. music mimi

    Chanel inayoonesha final UEFA champion league

    Wakuu kuna channel yoyote nje ya supersport naweza tazama final ya UEFA?? nna kifurushi cha 23k nimekwama haswa.
  15. General Nguli

    Nahitaji kuangalia Fainal ya UEFA Champions nyumbani kwangu kupitia Laptop.

    Wakuu naomba kujuzwa jinsi nitakavyo faidika kuangalia Uefa nikiwa kitandani na Laptop yangu. Msaada pliz
  16. Greatest Of All Time

    Seville Vs AS Roma | Uefa Europa League Final | Puskas Arena | 31.05.2023

    Muda mchache ujao pale katika dimba la Puskas Arena jijini Budapest nchini Hungary kutapigwa mchezo wa fainali ya Europa League. Ni Sevilla Vs AS Roma Ikumbukwe Sevilla hajawahi kufungwa pindi akiingia kwenye fainali ya Europa League wakati Mourinho naye hajawahi kufungwa mchezo wa Fainali...
  17. Teko Modise

    Hawa Ac Milan wamefikaje nusu fainali ya UEFA?

    Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap. Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani? Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu? Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
  18. Dcxkobe

    Azam TV mechi za UEFA huwa wanaonesha Chaneli gani?

    Sorry nauliza mechi za UEFA kwenye king’amuzi cha Azam TV huwa wanaonesha Chanel namba ngapi?
Back
Top Bottom