A confederation (also known as a confederacy or league) is a union of sovereign groups or states united for purposes of common action. Usually created by a treaty, confederations of states tend to be established for dealing with critical issues, such as defense, foreign relations, internal trade or currency, with the general government being required to provide support for all its members. Confederalism represents a main form of intergovernmentalism, which is defined as any form of interaction between states which takes place on the basis of sovereign independence or government.
The nature of the relationship among the member states constituting a confederation varies considerably. Likewise, the relationship between the member states and the general government and the distribution of powers among them varies. Some looser confederations are similar to international organisations. Other confederations with stricter rules may resemble federal systems.
Since the member states of a confederation retain their sovereignty, they have an implicit right of secession. The political philosopher Emmerich de Vattel observed, "Several sovereign and independent states may unite themselves together by a perpetual confederacy without each in particular ceasing to be a perfect state.... The deliberations in common will offer no violence to the sovereignty of each member".Under a confederation, unlike a federal state, the central authority is relatively weak. Decisions made by the general government in a unicameral legislature, a council of the member states, require subsequent implementation by the member states to take effect; they are not laws acting directly upon the individual but have more the character of interstate agreements. Also, decision-making in the general government usually proceeds by consensus (unanimity), not by majority. Historically, those features limit the effectiveness of the union and so political pressure tends to build over time for the transition to a federal system of government, as happened in the American, Swiss and German cases of regional integration.
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.
African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.
Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa
Kwa sheria...
Leo ndiyo nngwe ya pili ya Fainali ya kombe la Shirikisho Afrika ikiikutanisha timu ya USM Alger ya nchini Algeria na Yanga SC ya Tanzania ambapo Yanga itakuwa ugenini. Katika mchezo wa kwanza Yanga ilipoteza 2-1 katika uwanja wa Benjamini Mkapa.
Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa...
Maandalizi na mihangaiko ambayo nimeishuhudia kwa macho yangu kwa baadhi ya viongozi, wajumbe na wanachama wa Mnyama wakihangaika kufanya kila wawezalo kuhakikisha Mwananchi hachukui ubingwa wa caf confederation cup ni kubwa mno.
Imeagizwa fuso zima iliyojaa nazi kwa ajili ya kuroga, Mbuzi 25...
Kwa vile fainali itawakutanisha Yanga na USM Alger. Kwa kuangalia takwimu za timu hizo mbili, ni dhaniri kuwa Yanga ina edge dhidi ya USM Alger kwa Vile Marumo Gallants waliwafukia USM Alger na Yanga imewafukia Marumo Gallants kwa hiyo Yanga ina uhakika wa kuifunga USM Alger na kuchukua kombe...
Usm Algiers haina ubavu wa kuifunga Yanga na kwa maana hiyo Yanga atabeba ndoo ya CAF Confederation of Losers.
Hizi ni taarifa mbaya sana kwa Simba SC, Kanjibai mwaka huu atatimua hadi mesenja.
Marumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania.
Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Hivyo matokeo yoyote ya ushindi...
Updates
Half Time Yanga 0-0 Marumo
Goal
68" Aziz Ki
70" Yanga 1-0 Marumo
Goal
92" Bernard Morison
94" Yanga 2-0 Marumo
FT: Yanga 2-0 Marumo
Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu...
Kwema Wakuu,
Kuna haya Makombe mawili ya Africa baadhi ya Watu wanayachanganya. Yaani wanashindwa kujua value ya Kombe flani kwa level fulan ni ipi.
Sasa hapa natumia common measurement ya value in term of zawadi watakazopata washiriki kulinganisha Ili ujue Timu yako iko katika thamani ipi.
Ni Jumapili tulivu, wapenda kandanda tunakutana tena hapa jukwaani kushuhudia mechi za Kombe la Shirikisho Afrika.
Leo katika Kundi D, AS Real Bamako ya Mali inawakaribisha wawakilishi wa Tanzania, Young Africans SC.
Ikumbukwe AS Real Bamako, bado inatafuta ushindi wake wa kwanza, mara baada...
Young Africans watashuka dimbani kuwakaribisha TP Mazembe ktk mchezo wa kombe la shirikisho afrika.
Yanga ina historia ya kufungwa na Mazembe mara nyingi. Leo wataweza kupindua meza? Yanga wanapaswa washinde ili kulinda heshima ya nchi.
Mazembe wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ktk...
Kelele zote ulizokuwa unazisikia mwaka jana ilikuwa ni Confederation Cup.
ukisikia Sakho kashinda goli bora la CAF basi ujue alilipatia kwenye Confederation Cup.
Ukisikia sijui Simba timu ya kwanza kutumia VAR mechi na Orlando, hiyo mechi ni CAF Confederation Cup.
Mwaka huu Yanga imefanikiwa...
Full time
Anakosaaaaaa, kipa wa Azam FC anapangua penati.
90' Al Akhdar wanapata penati.
87' Shambulizi la Al Akhdar mpira unagonga nguzo.
63' Wenyeji wanamiliki mpira na kufanya mashambulizi kadhaa.
50' Azam wameonesha utulivu, mchezo umepungua kasi.
Kipindi cha pili kimeanza
Mapumziko...
Kipindi hicho 2018 Yanga na Al hilal walifanikiwa kuingia group stage 2018 kombe la shirikisho ukilinganisha takwimu zao utagundua kuwa Al hilal ni timu ya kawaida sana Si kama wanavyoipaisha wachambuzi wa kibongo
Ukizungumzia magoli ya CAF CC Aziz Ki ana magoli mengi kuliko SAKHO na yumo kwenye orodha ya wafungaji bora amefunga 3 sawa na nusu ya magoli 6 aliiyonayo Adebayor mfungaji bora.
Mfungaji bora hupatikana kwa takwimu tofauti na goal of the year awards ambalo hutokana na maoni tu ya followers wa...
Wale wanaobeza ushindi wa goli moja wa Simba dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika ya kusini, ni vizuri wakafahamu kuwa:
2. Kati ya timu NANE zilizoingia robo fainali ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi kwenye mechi ya kwanza ya robo fainali, timu hizo ni SIMBA na Al Masry. Al Masry iliifunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.