Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, imemsimamisha kazi ya uwakili kwa miezi sita Wakili Johnson Johannes Kachenje, baada ya kubainika kuipotosha Mahakama kwa kuwasilisha hukumu za uongo zilizotengenezwa na mfumo wa Akili Mbandikiza (Artificial Intelligence - AI).
Hukumu hiyo imetolewa...
RMO Chunya na Songwe, tunawaomba mchukue hatua za haraka na za kisheria dhidi ya leseni za utafiti wa madini ambazo zimepitwa na muda au hazifanyiwi kazi, badala ya kuendelea kuacha maeneo makubwa ya madini yakiwa yamefungwa kwa miaka mingi.
Kuna taarifa zinazoonyesha kuwepo kwa leseni...
Binafsi ninafahamu ili upate leseni daraja E lazima uwe umesoma course ya HGV
Sasa inakuwaje N.I.T ili usome HGV wanataka uwe na leseni class D
Naona kama ni funny inakuwaje mtu uwe leseni husika alafu uende tena chuo ukasome wakati una cheti na leseni Class D?
Naomba muongozo!!
Sisi ni wahitimu wa mafunzo ya udereva kutoka Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Ikwiriri, kilichopo Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani.
Tunahitimu mafunzo mwezi Aprili 2026 na kufaulu vizuri. Tayari tumepatiwa vyeti vya kuhitimu, lakini tunapokwenda TRA kwa ajili ya kupata leseni za udereva...
Nina wasiwasi kuhusu mfumo wa utoaji wa leseni za udereva, ambao unaonekana kutokuwa na ukomo wa umri wa mtu kuendelea kuendesha gari.
Kuna baadhi ya wazee ambao umri wao umeenda sana, pamoja na watu wenye changamoto za kiafya au ulemavu, lakini bado wanapewa au kuendelea kutumia leseni za...
Anonymous
Thread
barabarani
changamoto
leseni
udereva
ukomo
umri
wazee
Hapo VIP!
Nashauri serikali iandae taratibu za kupima IQ za wananchi wake ili wenye IQ kubwa wapewe leseni ya kufanya siasa.
Kisayansi MTU mwenye IQ ndogo hanauwezo wa kutatua matatizo Yake mwenyewe Na katika jamii.
Nimechunguza Na kutafiti siasa katika nchi yetu Na Kwa Afrika kwa jumla ila...
ACT Wazalendo tunalaani kwa nguvu zote uamuzi wa Serikali kusitisha kwa miezi sita leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la MwanaHALISI, kuanzia tarehe 19 Agosti 2026. Serikali imesema hatua hiyo imetokana na madai ya kukiuka viwango vya usahihi, mizania na uthibitishaji wa taarifa...
Tunaomba viongozi mnaohusika akiwepo mkuu wa biashara mtusaidie please. Serikali inategemea tulipe hizo leseni za biashara ili maendeleo yapatikane. Sasa mtu anakaa na maombi wiki mbili hayajapitiwa hata na afisa mmoja na ukienda ofisini unawakuta wapo. Wakati huohuo maafisa wenu wanapita...
Walimu ni kada muhimu inayodharaulika. Siyo kwamba si wasomi ila kwakuwa ukitoka tu chuo basi unafundisha lakini wanapswa kukata leseni ili waheshimike kama mawakili wanavyoheshimika duni a nzima
Madaktari bingwa na wa jumla (Physicians
Wauguzi waliosajiliwa (Registered Nurses - RN)
Wafamasia...
Wizara ya Madini ya Tanzania imefuta leseni za uchimbaji za kampuni ya Volt Resources kwa mradi wake wa grafiti wa Bunyu, ambazo ni ML 591/2018 na ML 592/2018.
Volt Resources (ASX: VRC) imethibitisha kupokea taarifa rasmi kutoka kwa Wizara ya Madini kuhusu kufutwa kwa leseni hizo, jambo ambalo...
Tunahitaji msaada kwa ninyi wataalamu wa leseni za usafirishaji wa abiria.
Kwa sasa teknolojia imekuwa na mambo yamebadilika sana.
SWALI: Je? Kuna uwezekano wa kupata leseni ya kubeba abiria toka CHANIKA(Dar) mpaka MARANGU MTONI? (MOshi)
Yaani nakula vichwa mdogomdogo panda shusha,huku...
Madereva wa magari ya masafa marefu wameeleza kutoridhishwa na utaratibu unaowalazimu kurejea darasani kila wanapohitaji kuhuisha leseni zao za udereva, wakidai kuwa mafunzo hayo yanajirudia na yanapoteza muda ambao ungeweza kutumika katika shughuli zao za usafirishaji.
Soma pia > VETA...
Dukani unafika umakuta mbongo lakini mzigo mkubwa na mbinu anazotumia unamshuku yupo tofauti sana na wengine, Bei anazouza kwa jumla elf 15, Reja reja elf 16, ni nani kampa jeuri hii ?
Ni wachina hao, ndio wenye mtaji, ndio wenye mzigo na wapo tayari kulipia gharama za frem, usafiri, n.k...
Hamjambo wote Wana Jf?
Katika kikao cha Bajeti ya Serikali 2026_2027,Akiichangia Msukuma, alilalamikia sana swala la Leseni ya Udereva Wa Magari na pikipiki kuwa ili uweze kuhuisha Leseni Yako, lazima Tena uende kusoma/Chuo!
Mtu kaendesha gari zaidi ya miaka30, Bado anategemewa Nyumbani, Kodi...
VETA inatunuku vyeti vya udereva kwa mhitimu aliyefaulu mitihani na majaribio yanatotolewa katika ngazi ya chuo. Aidha, mbali na kuwa na cheti cha VETA, mhitimu anapaswa kukidhi tathmini ya umahiri inayoendeshwa na VETA kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi (Kitengo cha usalama Barabarani)...
👉Habari tunafanya application za Maombi ya leseni za Afya Clinical medicine Hprs, Pamoja na Avn number,
👉Pia Application za Vyuo
👉 Application za Maombi ya Mkopo WA elimu ya juu
👉 Application za vyeti vya kuzaliwa Rita pamoja na UHakiki WA vyeti
Contacts 0622569980
Habari! Naomba kuwasilisha kero hii.
Mimi pamoja na wataalamu wenzangu wa maabara tulifanya mtihani wa leseni tangu mwezi wa tatu (March) mwaka huu lakini hadi hivi sasa matokea hayajatoka hali inayopelekea kutokupata leseni kwa wakati na tunashindwa kufanya maombi ya kazi kwa kuambiwa kuwa...
Anonymous
Thread
kero
kuhusu
leseni
maabara
mara
matokeo
media
msajili
mtihani
ofisi
ofisi ya msajili
sauti
social
social media
zaidi ya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.