leseni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mwekezaji mwenye leseni ya utafiti anatuzuia Wananchi kuchimba madini Kijiji cha Patamela, Wilaya ya Songwe

    Sisi wakazi wa Kijiji cha Patamela, Kata ya Saza, Wilaya ya Songwe, Mkoa wa Songwe tuna changamoto kuhusu mwekezaji ayetambulika kwa jina la Mathayo, ni kuhusu kumiliki eneo kubwa la uchimbaji ambapo sisi Wananchi tumekosa eneo la kuchimba madini. Sisi ni wachimbaji wadogo hatuna leseni ya...
  3. polokwane

    JamiiForums Tanzania BASATA mfumo wenu wa AMIS haufunguki karibu wiki ya pili sasa na watu wanashindwa kulipia leseni au mmeminya makusudi kuna rushwa hukoo!

    Nchi hì hata kama utakuwa na moyo wa kulipa kodi na mapato kwa hiyari bado utakumbana na changamoto tu za kukufanya uachane na mpango huo, ukitaka kulipia leseni za sanaa na saloon unalazimika kuwa na namba kutoka BASATA ambazo itazipata kwenye mfumo wao wa AMIS ,lakini cha ajabu mfumo wao huo...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hawa Wazanzibar wanaotumia Leseni za Zanzibar kuendesha gari Tanganyika Wakamatwe

    Tangu Samia Suluhu Hassan ajimilikiishe Tanganyika, kumekuwepo na Wimbi la Wapemba wansotumia Leseni za Zanzibar Tanzania bara. Hawa ndugu zake samia wote wana leseni za Zanzibar. Wote wakamatwe kwani Leseni sio jambo la Muungano. Pia wasiijifanye ni International license sababu Zanzibar...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva tuliosoma Chuo cha VETA Chang'ombe, tuna changamoto ya kucheleweshewa vyeti hali inayosababisha kushindwa kuhuisha leseni zetu

    Mpaka sasa tuna zaidi ya mwezi tangu tumalize kufanya mitihani, leseni zetu zimeisha, hali inayosababisha madereva wengine kupoteza ajira zao. Mpaka sasa hatujui ni lini tutapata vyeti ama waangalie namna tutakayoweza kuhuisha leseni zetu, wakati tunasubiri kupata vyeti. Kifupi ni kwamba...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baraza la Watalamu wa Radiografia (MPIRC) kuchelewesha leseni zetu

    "Kwa baraza la watalamu waalamu wa radiografia (MPIRC) tunaomba ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa utoaji wa leseni za awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2026. Tulio wengi tumekamilisha taratibu zote za maombi na malipo kupitia mfumo wa HPRS (Tanzania Health Practitioner Registration System), lakini...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Je, ndoa ni leseni ya ridhaa ya milele? Ukweli mchungu kuhusu ubakaji ndani ya ndoa ambao jamii inakataa kukubali.”

    Kwa ndoa Kuna ubakaji unakubaliana
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vyuo vya Private vya Diploma za Afya hawana uwezo ndo maana kila kukicha wanalalamikia kufeli mitihani ya leseni

    Mimi ni Mhitimu wa Diploma ya Pharmacy Muhimbili College of Health and Allied Sciences, nimehitimu mwaka 2023. Nimesoma O-level nina Division 1 ya 14, A-level nina Div 2 ya 12. PCB baada ya kuwa na competition kwenye kozi za Afya sikupata chuo katika kozi nilizokuwa nataka kama Pharmacy, MD kwa...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Wenye maabara za binadamu wanauza na dawa wakati leseni yao haiwaruhusu. Ni hatari kwa afya za watu

    Ndio mtindo ambao wameuànzisha. Anampima mtu anampa na dawa wakati hana kibali cha kutibu ie ku prescribe dawa. Ni hatari kwa maisha ya watu? Upuuzi huu unashika kasi Tanga!
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali iwezeshe Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika Halmashauri zeto. Sio inakuwa Idara ya Mapato ya Leseni na Vibanda tu

    Halmashauri zetu zote zina idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ambayo inatekeeleza majukumu yake chini ya Sehemu mbili yaani Sehemu ya Maendeleo ya Viwanda na Uwekezaji, na Sehemu ya Biashara na Masoko. Idara hii ikiwezeshwa ipasavyo inaweza kuwa roho na msingi wa Halmashauri zetu...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo wa uombaji leseni Baraza la Madaktari (MCT) unasumbua

    Ni zaidi ya Mwezi sasa Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) limebadilisha mfumo wake, sasa website yake imekuwa ina changamoto katika uombaji wa leseni mpya au ku renew ili ku-practice kwenye mwaka wa kifedha huu, changamoto hiyo inaleta hofu pia kwa sisi waombaji wa ajira kuwa shortlisted, huwezi...
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki ya pili nahangaika kuuhisha leseni ya Tausi. Nimekamilisha kila kitu kinachotakiwa, lakini sasa naambiwa directors siyo wa Tanzania

    Msaada tutani , upande wa Tausi watu wa ILALA , Nimekusanya document zote zinazotakiwa kwa usahihi wame-reject. Sasa kwa wiki 2 na wamekuja na kisingizio kuwa sisi sio raia wa Tanzania. Tume-operate kampuni hii zaidi ya miaka 10 na tumesoma na kukulia Tanzania, na tumeamua kufanya shughuli zetu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nawezaje Kupata leseni ya biashara Brela?

    Naomba mwenye Ujuzi kuhusu haya mambo anisaidie uelewa nimesajili Jina la Biashara Brela kwa Business activity 5920 - Sound recording and music publishing activities Main na 4791 - Retail sale via mail order houses or via Internet naomba kufahamishwa hii inaangua kundi A au Kundi B, kama...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nursing and Midwifery Council (TNMC) matokeo ya leseni mnatoa lini?

    Habar wana Jf Husika na kichwa cha uzi hapo juu, sisi wahitimu ya fani ya uuguzi tulifanya mtihani wa leseni 19 Disemba, 2025 na tulipia huo mtihani laki na nusu! Sasa hawa jamaa muda unazidi kwenda hawatoi matokeo wako busy kukusanya hela za marathon ambazo sisi hazitusaidii, sisi tunataka...
  15. Amicable Group

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji huduma yoyote ya kiserikali au binafsi inayohusisha matumizi ya mifumo rasmi kama TRA, Leseni za Biashara na mengineyo?

    Je, unahitaji huduma yoyote ya kiserikali au binafsi inayohusisha matumizi ya mifumo rasmi kama TRA, leseni za biashara na mengineyo? Jibu ni 𝗔𝗺𝗶𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲 𝗚𝗿𝗼𝘂𝗽 𝗛𝗼𝗹𝗱𝗶𝗻𝗴𝘀 𝗟𝗶𝗺𝗶𝘁𝗲𝗱 (𝗔𝗺𝗶𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲 𝗦𝗼𝗹𝘂𝘁𝗶𝗼𝗻𝘀) — kampuni iliyosajiliwa kwa mujibu wa Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Karibu sana...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Renew leseni yako Mapema

    Ndugu Mjasiriamali, Hakikisha una Renew leseni yako ya biashara Mapema. Kama leseni yako huisha December.
  17. Golden Trust

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata leseni ya Biashara ya mapochi

    Habari zenu wana Jf naombeni muongozo kwa anaefahamu Nataka kufanya Biashara ya kuuza mapochi ya kike. Lakini changamoto kwenye kukata leseni sijui inasimamiwa katika kipengele kipi he ni urembo au kuuza mabegi,?
  18. youngkato

    JamiiForums Tanzania Hatua za Kupata Leseni na kufanya Biashara ya Kuuza Nafaka (Mazao)

    Ngazi za Biashara ya Mazao Ngazi ya Kaya Hapa ndipo wakulima wadogowadogo huzalisha kwa ajili ya familia na ziada kidogo kuuza sokoni. Ngazi ya Wakulima Wakubwa na Makampuni Wao hulima kwa wingi kwa ajili ya biashara, kuuza ndani na hata nje ya nchi. Ngazi ya Usindikaji na Uuzaji Baadhi...
  19. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 ACT Wazalendo yaahidi kufuta kigezo cha leseni kwa wavuvi

    Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kufuta leseni za wavuvi endapo wananchi watawachagua wagombea ubunge na udiwani kutoka katika chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Chama hicho kimekosoa utaratibu wa wavuvi kulipia leseni wakati huohuo wakikatwa tozo ya mafuta...
  20. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo ya Kuzingatia Kabla ya Kutafuta Leseni ya Biashara ya Duka la Dawa

    Kabla hujawekeza muda na fedha kwenye kufungua duka la dawa, ni muhimu ujue vigezo na masharti yanayoelekezwa na Baraza la Famasi. Kukosa kuyafuata kunaweza kukugharimu muda, pesa na hata kusababisha maombi yako kukataliwa. Hapa chini tumekuletea mwongozo: 1. REJAREJA / COMMUNITY PHARMACY Kama...
Back
Top Bottom