Samsung Galaxy (stylised as SAMSUNG Galaxy since 2015, previously stylised as Samsung GALAXY; abbreviated as SG) is a series of computing and mobile computing devices that are designed, manufactured and marketed by Samsung Electronics. The product line includes the Samsung Galaxy S series of high-end smartphones, the Samsung Galaxy Tab series of tablets, the Samsung Galaxy Note series of tablets and phablets with the added functionality of a stylus, the foldable Samsung Galaxy Z series, and smartwatches including the first version of the Samsung Galaxy Gear, with later versions dropping the Galaxy branding, until the release of the Samsung Galaxy Watch in 2018.
Samsung Galaxy devices use the Android operating system produced by Google, usually with a custom user interface called One UI (with previous versions being known as Samsung Experience and TouchWiz). However, the Galaxy TabPro S is the first Galaxy-branded Windows 10 device that was announced in CES 2016. The Galaxy Watch is the first Galaxy-branded smartwatch since the release of later iterations of the Gear smartwatch from 2014 to 2017. In April 2019, the company announced that it would postpone the release of its folding smartphone, the Samsung Galaxy Fold, days after several early reviewers said the screens on their devices had broken; the Fold was rereleased in September 2019.
Habari za wakati huu wana JF, huu ni uzi mahususi kwa ajili ya kujuzana tetesi mpya za One UI 9.5 kwa kadri zinavyozidi kuvuja na kusambaa.
Ni takriban miezi mitatu sasa tangu Samsung walipoachia One UI 9.0 beta katika series za S26 katika baadhi ya maeneo.
Hata hivyo tukiwa tupo karibu kupata...
Watumiaji wa Galaxy, jiandaeni!
Samsung inaendelea na mpango wa kuleta Android 17 kupitia One UI 9, na simu nyingi za Galaxy zitaingia kwenye orodha ya kupata mfumo huu mpya. 🤯
Kama unatumia Galaxy, hizi ni baadhi ya simu zinazotarajiwa kupata Android 17, kwa mpangilio wa awamu:
MEI–JUNI 2026...
Moja kwa moja .
Nina mpango wa kuvunja kibubu ninunue simu Kali wakuu maana nimechoka kutumia kifaa Cha mawasiliano .
Mwaka huu In Shaa Allaah mambo yakiwa mazuri nataka nitenge bajeti ya kununua simu isizidi Million 4 , sasa katika pitapita zangu simu zinazotrend sasa Duniani ni hizo.
Lengo...
Habari wakuu ..!
Msimu ujao wa sikukuu hizi za wakristu na waislamu hasa pasaka, wauzaji na maduka mengi hasa ya simu huwa yanatoa offer kwa bidhaa zao.
Nilikuwa nina mpango wa kuvuta Samsung Galaxy S22 Ultra kwenye hizo offer ila nimefatilia mara kadhaa kwenye mitandao na maoni ya watu...
Wadau naombeni kuuliza ubora wa Samsung Galaxy A36 ninataka nimununulie Bi Mkubwa simu kwake kwa ajili ya kupiga na kupokea simu she is around 60’s
Kingine Price yake inaweza kuwa shilingi ngapi? Kwa maduka ya Tanzania? Na Ni maduka gani highly recommend? Kwa sababu binafsi Samsung Sijawahi...
Samsung Galaxy A32
GB 128
Ram 4
Sim Mpya Kabisa
Aimjui Fundi
Bei 240
Maongezi yapo Kidogo
Pia Nafanya Exchange Na
Samsung A15 TU BASI
Piga sim chapu 0612323330
Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore.
Baada ya kuipeleka kwa fundi aliniuliza kama naweza kukumbuka email na password za google akaunti yangu...
Habari wana jamii Forum ninauza simu yangu Samsung galaxy a55 ni simu kali na latest kwa series za A
Samsung Galaxy a55
Gb 256
Ram 12
5g network
Bei Tshs 900,000/=
0625 557 395
Dar Es salaam
Karibuni sana
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.
Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
Ndio simu ambayo natumia kulogin huku na kupost huko na huko ina 64GB ndani na 3GB of ram android 14 na Oneui 6.1
Ni yangu 100% na utakapo inunua palepale ndio nitatoa Samsung Account as proof ya kuwa mmiliki wake
Ninashida na 180k tu
Ipo good condition na nimeitumie for long time, nitaweka...
Wakuu!
Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina specifications kubwa chini kidooogo ya Note Series, S series na Z Series.
Sasa ukiwa unataka kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.