In geography, location or place are used to denote a regions (point, line, or area) on the earth's surface or elsewhere. The term location generally implies a higher degree of certainty than place, the latter often indicating an entity with an ambiguous boundary, relying more on human or social attributes of place identity and sense of place than on geometry.
Habari wanajukwa wa JF
Naomba elimu na ushauri kuhusu biashara ya vilainishi (oil and lubricants) vya vyombo ya moto kama vile magari na pikipiki, mtaji kiasi gani unahitajika? location ya kufungua ofisi, machimbo ya kufungashia mizigo, faida na changamoto
Salam wakuu,
Kama Uzi wangu unavyojieleza hapo juu, nahitaji meza ya chakula (dining table) kwaajili ya nyumbani. Naomba kwa anayefahamu sehemu wanatengeneza meza hizo kwa gharama nafuu kwa hapa mkoani Dodoma aweze kunielekeza ili nikawaone. Budget yangu NI isizidi 1M (meza na viti sita)
Habari za Jioni wana Jamio Forums.
Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k.
Pia kwa kufanya hivyo...
Toyota harrier NEW model 🚘 *(EDG)
Year 2010
☎️0689-357-572 }whatsapp ✅
☎️0768_041_126 }whatsapp ✅
Engine Capacity Cc 2360
Engine 2AZ
Automatic gear
Mileage 55,338km
Full option Music Android TV✅
Usb/Dvd player
Sport rims
Full document📑
✅
PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
Toyota Harrier NEW model 🚘 *(EDG)
Year 2010
☎️0689-357-572 }whatsapp ✅
☎️0768_041_126 }whatsapp ✅
Engine Capacity Cc 2360
Engine 2AZ
Automatic gear
Mileage 55,338km
Full option Music Android TV✅
Usb/Dvd player
Sport rims
Full document📑
✅
PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
Wadau,
Ukiondoa Maktaba Kuu ya Taifa, naomba kujuzwa kama kuna maktaba yeyote nyingine ambayo mtu yeyote anaweza akaenda kujisomea.
Naomba kama unajua jina, location, utaratibu, gharama ya maktaba na uwepo wa huduma za ziada kama umeme, internet, nk, katika maktaba hiyo au hizo pia...
Ukiwa n'a uwezo WA kufata bidhaa zinapotengenzwa 90%umewin kwenye biashara Tayar
Mfano kama Una uwezo WA kuchukua mzigo WA nguo kutoka china ,uturuki , Thailand n.k biashara yako itasimama
Sababu. mzigo ukishafika Tanzania unakua n'a wateja WA uhakika ,hakuna kubagein, unauza mzigo mkubwa...
Zile siku ambazo tuliishi kuziota kuwa badae yetu, kiasi zimekua mbali na sisi, naam! zile siku tulizoambiana utotoni kuwa tungekuwa hivi na vile.
Siku zilizojengwa kwa dhana na picha ya umaridadi kwamba kabla ya miaka ya muongo wa tatu tutakua tumefika hapa na pale au kumiliki hiki na kile...
Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024)
🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi.
🔸ANAEJUA HESABU.
🔹Umri miaka 25 au zaidi.
🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani.
Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano.
MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
Habari wana jf.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu.
👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth.
👉...
Habari wakuu
Kwa watumiaji wa Kali Linux hii ni bab kubwa, hapa nawaza nianze kuifanya kama biashara najua vijana watakao hitaji kumiliki simu za wapenzi wao ni wengi.
Ipo hivi.
Kuna tool inaitwa AndroRat , Andro kama ufupisho wa neno Android, na Rat kama ufupisho wa neno Remote access...
Labda ukawa unafahamu studio inayopiga picha kali, kubwa na zenye ubora wa kiwango cha juu kwa ajili ya biashara ama mitandao ya kijamii mkoani DSM
Tupeane Location, gharama pamoja na picha ya mfano wakuu
N.B: Usiweke mawasiliano ya aina yoyote ya photographer kwenye huu uzi. Sio maalumu kwa...
Nawasalimu kwa jina la atiaye pumzi ya uhai.
Anayejua lication ya kilipo kiwanda cha Saphire Glass industry Mkuranga anielekeze.
Nielekezen mtu toka mkoan kama nilivyo nachukua route ipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.