location

In geography, location or place are used to denote a regions (point, line, or area) on the earth's surface or elsewhere. The term location generally implies a higher degree of certainty than place, the latter often indicating an entity with an ambiguous boundary, relying more on human or social attributes of place identity and sense of place than on geometry.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Biashara ya oil na vilanishi vya vyombo vya moto (magari na pikipiki)

    Habari wanajukwa wa JF Naomba elimu na ushauri kuhusu biashara ya vilainishi (oil and lubricants) vya vyombo ya moto kama vile magari na pikipiki, mtaji kiasi gani unahitajika? location ya kufungua ofisi, machimbo ya kufungashia mizigo, faida na changamoto
  2. donlucchese

    Msaada: Nahitaji Dining Table (location - Dodoma)

    Salam wakuu, Kama Uzi wangu unavyojieleza hapo juu, nahitaji meza ya chakula (dining table) kwaajili ya nyumbani. Naomba kwa anayefahamu sehemu wanatengeneza meza hizo kwa gharama nafuu kwa hapa mkoani Dodoma aweze kunielekeza ili nikawaone. Budget yangu NI isizidi 1M (meza na viti sita)
  3. B

    Nina Vifaa vya Kufanyia Biashara ya Chips. Nahitaji Connection ya Location ya Uhakika Hapo Dar

    Habari za Jioni wana Jamio Forums. Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k. Pia kwa kufanya hivyo...
  4. Ricky Blair

    Wataalam wa Location

    Wapi hapa?
  5. gozy busness

    Car4Sale Harrier for sale

    Toyota harrier NEW model 🚘 *(EDG) Year 2010 ☎️0689-357-572 }whatsapp ✅ ☎️0768_041_126 }whatsapp ✅ Engine Capacity Cc 2360 Engine 2AZ Automatic gear Mileage 55,338km Full option Music Android TV✅ Usb/Dvd player Sport rims Full document📑 ✅ PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
  6. gozy busness

    Car4Sale Harrier New Model for sale

    Toyota Harrier NEW model 🚘 *(EDG) Year 2010 ☎️0689-357-572 }whatsapp ✅ ☎️0768_041_126 }whatsapp ✅ Engine Capacity Cc 2360 Engine 2AZ Automatic gear Mileage 55,338km Full option Music Android TV✅ Usb/Dvd player Sport rims Full document📑 ✅ PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
  7. A

    Msaada location chuo cha Uandishi wa habari Mbeya

    Naomba kujuzwa kinapopatikana chuo ambacho kinatoa kozi ya Uandishi wa habari kwa maeneo ya Mbeya mjini.
  8. M

    Msaada: Maeneo ya Maktaba (Libraries) ninayoweza kwenda kujisomea hapa Dar ukiondoa Maktaba Kuu ya Taifa

    Wadau, Ukiondoa Maktaba Kuu ya Taifa, naomba kujuzwa kama kuna maktaba yeyote nyingine ambayo mtu yeyote anaweza akaenda kujisomea. Naomba kama unajua jina, location, utaratibu, gharama ya maktaba na uwepo wa huduma za ziada kama umeme, internet, nk, katika maktaba hiyo au hizo pia...
  9. M

    Biashara ni mtaji na location vingine mbwembwe tu

    Ukiwa n'a uwezo WA kufata bidhaa zinapotengenzwa 90%umewin kwenye biashara Tayar Mfano kama Una uwezo WA kuchukua mzigo WA nguo kutoka china ,uturuki , Thailand n.k biashara yako itasimama Sababu. mzigo ukishafika Tanzania unakua n'a wateja WA uhakika ,hakuna kubagein, unauza mzigo mkubwa...
  10. Nyafwili

    Ni siku gani ilikuwa bora kabisa kwako, ilikuwaje?

    Zile siku ambazo tuliishi kuziota kuwa badae yetu, kiasi zimekua mbali na sisi, naam! zile siku tulizoambiana utotoni kuwa tungekuwa hivi na vile. Siku zilizojengwa kwa dhana na picha ya umaridadi kwamba kabla ya miaka ya muongo wa tatu tutakua tumefika hapa na pale au kumiliki hiki na kile...
  11. neggirl

    Nafasi ya Kazi -Kuuza Duka (Location: Madale)

    Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024) 🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi. 🔸ANAEJUA HESABU. 🔹Umri miaka 25 au zaidi. 🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani. Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano. MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
  12. Vladmir Putini

    Phone4Sale Nauza simu aina ya Samsung A04 used

    Habari wana jf. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, 👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu. 👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth. 👉...
  13. hermanthegreat

    Kwa wale mnaopenda hacking; Kuna tool inaitwa AndroRat unaweza hack Android device remotely ukasoma texts, calls, hadi location ya muhusika.

    Habari wakuu Kwa watumiaji wa Kali Linux hii ni bab kubwa, hapa nawaza nianze kuifanya kama biashara najua vijana watakao hitaji kumiliki simu za wapenzi wao ni wengi. Ipo hivi. Kuna tool inaitwa AndroRat , Andro kama ufupisho wa neno Android, na Rat kama ufupisho wa neno Remote access...
  14. Melki the Storyteller

    Tupeane location za studio za Picha nzuri (HD) mkoani DSM

    Labda ukawa unafahamu studio inayopiga picha kali, kubwa na zenye ubora wa kiwango cha juu kwa ajili ya biashara ama mitandao ya kijamii mkoani DSM Tupeane Location, gharama pamoja na picha ya mfano wakuu N.B: Usiweke mawasiliano ya aina yoyote ya photographer kwenye huu uzi. Sio maalumu kwa...
  15. Rwaz

    Naomba kujuzwa location ya Saphire glass industry

    Nawasalimu kwa jina la atiaye pumzi ya uhai. Anayejua lication ya kilipo kiwanda cha Saphire Glass industry Mkuranga anielekeze. Nielekezen mtu toka mkoan kama nilivyo nachukua route ipi
Back
Top Bottom