Halmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 😀😀
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!
Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa...
Utakubaliana na mimi kuwa CCM inayumba sana kwa sasa kutokana na nafasi ya katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo taifa. Kila aliyeshika hiyo nafasi, kama hakupwaya basi aliishia kuwagawa wanaCCM katika makundi ya kuwania urais ama kutengeneza chuki dhidi ya wananchi.
Tatizo lilianza kuonekana...
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .
Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya...
Ni hivi leo tu Basata imempiga Faini ya Milioni 5 msanii Whozu kwa kuimba wimbo usio na Maadili lakini tunashangaa huyu Mtangazaji hajawahi kupewa hata Onyo.
Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni, Haoni haya wala aibu kusambaza maudhui ya ngono, kwa sasa anafahamika kama waziri wa ngono...
1. Dharau
2. Uonevu
3. Ubabe
4. Uwizi/ Ufisadi
5. Dhuluma
6. Rushwa
7. Uwongo/ Kudanganya
Haya GENTAMYCINE niwatakieni tu Kila la Kheri wale wote wenye Ubongo mfupi na hafifu wanaomuamini na kumsifu sasa wakati kwa Rekodi zake za kimatukio Kipindi chake yuko Madarakani/ Serikalini angekuwa...
Liberals na policies zao za kufungua dunia. Immigration policies mbovu za mataifa haya kwa kudhani kupokea watafutao maisha bora, asylum na hifadhi kwamba wata adapt na misingi ya west kumbe walikuwa wanajidanganya.
Sasa leo mzungu ni wa kuzaa watoto wawili au mmoja na pengine kutozaa kabisa...
"when you are in rome, do what romans do"
Unajua cha kushangaza kuhusu hawa jamaa ni misamamo yao. Msimamo wao mkuu huwa ni wazungu, wakristo na wayahudi ni jamii ya watu wasiofaa kabisa.
Lakini cha ajabu ni kwamba wanapopata matatizo nchi zao hizi mahala pa kwanza pa kukimbulia huwa ni...
Bada ya wakimbizi wa kipalestina kuondelewa kutoka Jordan walipokelewa na Lebanon, nchi ambayo ilikuwa yenye mchanganyiko wa wakristu na waislam. Wakristu walikuwa wengi kuliko waislam.
Sasa hawa jamaa walivyofika kule lebanon, kwa kuwa fujo na ubaguzi ndio asili yao, wakaanza vugu vugu kwa...
Ngoja nikuambie vyema mpendwa kama hautaki kuelewa basi bishana na mizimu ya nyumbani kwenu.
Hakika njia iliobaki kipindi waasisi wenu wanaijenga imani yenu na kuisambaza ilikuwa ni force na intimidation.
Kipindi Muhamad anaanzisha imani yenu aliwahakikishia imani nyingine za uyahudi na...
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
Kueneza na kufafanua...
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
Kueneza na kufafanua...
Itikadi kali mnachekesha sana na hakuna watu wanafiki zaidi ya nyie duniani. Mnakaaga na kuwasema vibaya nchi za magharibi na kuwaita makafir lakini pale inapotokea matatizo makubwa nchini mwenu hizo zilizojaa fujo sehemu ya kwanza kukimbilia huwa ni USA, UK, Germany, France, etc.
Sasa mmejaa...
Kuanzia Saa Tatu (3) Kamili pale Ofisi Ndogo Lumumba Mwamba na Kiboko ya Wapinzani wote Tanzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo Ndugu Paul Makonda (Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Taifa) atakuwa anatambulishwa kuanza Kazi ya Kuwanyoosha na Kuwaadabisha Wapinzani wote nchini Tanzania.
Hakika...
Katika kipindi cha miaka miwili tu yaani kati ya mwaka 2021-2023, idara cha itikadi na uenezi CCM imeongozwa na wafuatao:
1. Humphrey PolePole
2. Shaka Hamdu Shaka
3. Sophia Mjema
4. Paul Makonda
Huwezi ukawa na taasisi imara ya kisiasa halafu ukawa na mabadiliko ya mara kwa mara ya uongozi...
Hawa ni waafrika ambao wanaamini kwamba wameelekezwa na 'mungu' wao muarabu kuchinja maskini Waafrika wenzao................
Marauding Boko Haram insurgents, Saturday, killed 10 farmers and abducted a few others in Mafa Local Government Area of the state.
Aside from this attack which occurred...
Asalam,
1. Ninaipenda CCM na Ni Mwanachama wa CCM
2. Ninaipenda Nchi yangu na ni mzalendo hasa.
3. Ninaulewa wa itikadi na misingi ya saisa ya CCM
4. Ninapinga Mkataba wa sasa wa DPW, nitauunga ukirekebishwa.
5. Ninawaheshimu viongozi wa Chama, ninawakosoa wanaokosea (rejea mwongozo wa CCM WA...
Aona bora kujisalimisha badala ya kufa maana wanapelekewa moto sana wale....mambo ya kufa wakawahi mabikira yamewatoka.
=========
The Boko Haram Commander that instigated an ethnic clash between insurgents leading to the killing of 82 fighters has surrendered to the military.
Security sources...
Ni CHADEMA pekee ndicho chama ambacho hadi sasa kwa miaka mingi hakijawahi kuwa ana adui wa kudumu; leo wapo na Dr. Slaa zaidi ya unavyoweza kudhania.
Wamekuwa wakipigania haki bila kujali itikadi; wamewapigania akina Nape na Kinana wakati wa Magu. Hizi solidarity uwezi kuzipata CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.