sabasaba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Watu 23 Wakamatwa Mwanza Kwa Tuhuma za Uchochezi na Kupanga Vurugu Sabasaba

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikikia watu 23 kwa tuhuma za makosa ya uchochezi, kupanga njama za kufanya vurugu pamoja na uhalifu mwingine katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sabasaba. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Julai 8 na Kamanda wa...
  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magembe apongeza huduma za MOI Sabasaba, ahimiza Kampeni ya "Vaa Helment, Ubongo Hauna Spea"

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, amepongeza huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba, huku akihimiza kuendelea kuimarishwa kwa kampeni ya "Vaa Helmeti, Ubongo...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Leo ni Sabasaba, siku inayojulikana kwa maadhimisho ya biashara nchini Tanzania. Kwa nini biashara nyingi zimefungwa na bodaboda hawajapata wateja?

    Ikiwa leo ni siku ya biashara, wengi wangetarajia shughuli za kiuchumi kushamiri. Badala yake, baadhi ya wafanyabiashara wamefunga maduka yao, huku waendesha bodaboda wakisema idadi ya wateja imepungua. Je, hali hii inatokana na watu wengi kuelekea kwenye shughuli za Sabasaba? Au ni ishara ya...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Wananchi msiogope kuja Sabasaba, hali ya usalama imeimarishwa

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania na Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Alphonce Misime amesema hali ya usalama katika viwanja vya Sabasaba na jiji la Dar es Salaam imeimarishwa huku jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama vikiwatoa hofu wananchi wanaofika katika viwanja hivyo...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TANU na tarehe ya Sabasaba Mwaka wa 1954

    https://youtu.be/E4lpun3WwOM?si=qEkCQUlniamPVGbL
  6. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Leo ilikuwa ni anniversary ya miaka 50 ya maonyesho ya sabasaba

    Sabasaba ni alama ya biashara, uwekezaji na maendeleo. Ili ifikie malengo hayo kikamilifu, kunahitajika mazingira yenye utulivu, yanayojengwa juu ya utawala wa sheria, mazungumzo ya wazi, na imani ya wananchi kwa taasisi zao. Kwa kilichotokea leo kama Taifa kwa ujumla Kama taifa, kuna...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Updates : Yanayojiri Sabasaba siku ya leo

    Naangalia hapa... Watu hamna. Kiukweli kumedoda sana. Barabarani naambiwa wamejaa askari na wanajeshi. Na maduka mengi hayajafunguliwa. Naomba tuendelee kupeana updates hapa. Jana pascal njaa alijaribu naye kukaribisha watu waende sabasaba. Lakini watu wamemgomea naye maana wanajua hana lolote...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati mnapochukua video muwe makini. Unachukua paa au dirisha huoni utakamatwa?

    Hamjambo wote! Kwa wale waliosoma Jiografia hasa kwenye masuala ya Spatial and settlements distribution mtakubaliana na mimi kuhusu jambo hili. Kila sehemu, Mahali Ina style yake ya ujenzi, kuanzia madirisha, uezekaji wa bati, ndani kwenye silingboard, Pia kila Zama Zina styles zake za ujenzi...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uzinduzi wa Maonesho ya 50 ya Sabasaba 2026

    ●Yatwaa tuzo mbili ikiwemo mshindi wa tatu wa jumla Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo wakipokea maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Philip Besiimire, kuhusu huduma mbalimbali...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Maandamano yaruhusiwe na yapewe ulinzi, yasije anzia kwenye viwanja vya maonyesho ya Sabasaba

    Hamjambo! Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara. Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini. Faraja kwa maana yakuwa watu kwa mujibu wa Katiba na sheria wanayohaki ya kuandamana na kutoa maoni Yao, kutoa madai Yao, kwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen-Z wanaweza kufanikisha Maandamano ya 7/7. Kimsingi hayazuiliki kama yataanzia ndani ya viwanja vya Sabasaba

    Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd behavior means: It's the tendency of individuals to copy what the crowd is doing rather than...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Je, serikali yatangaza hali ya dharura kuelekea tarehe 7/7 (Sabasaba)?

    26 June 2026 Dodoma, Tanzania Kupitia bunge la chama kimoja mjini Dodoma waziri wa mambo ya ndani atangaza hali yadharura? https://m.youtube.com/watch?v=W4nFM7gRgKs Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura, kusitisha kwa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mtumishi akihoji kuhusu stahiki zake tu Sabasaba Health Center anahamishwa

    "Mimi ni mtumishi hapa Kituo cha Afya Sabasaba Health Center, Morogoro. Ningependa kueleza kero kubwa inayotuumiza na inayohitaji uchunguzi wa dharura kutoka mamlaka za juu. Ndani ya kituo chetu, kuna uonevu unaoendelea; watumishi wote wanaothubutu kuhoji au kudai haki na stahiki zao za msingi...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyabiashara wa soko la Sabasaba Sumbawanga tunadhulumiwa na Katibu wa CCM Mufindi

    Nawakilisha kwa Uchungu Mkubwa sana ukiwa ndani ya moyo wangu kutokana na Dhulma tunayofanyiwa na Katibu wa CCM Mufindi bwana Clement Bakuli. Soko la Sabasaba lilizuka baada ya sisi wahanga tuliounguliwa na moto katika soko la Mandela mwaka 2016 kupewa nafasi tuanzishe soko lingine. Tulianza...
  15. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania yard ya magari inayoungua Moto toka usiku maeneo ya viwanja vya sabasaba kilwa road

    Hivi mpaka magari yanashika Moto Kiasi kikubwa chanzo kinaweza kuwa nini.Tumepita saa nne hapo dereva daladala anasema Moto umeanza saa tisa usiku.
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Katiba na Sheria Yahudumia 3,000 Msaada wa Kisheria Sabasaba

    Wizara ya Katiba na Sheria Yahudumia 3,000 Msaada wa Kisheria Sabasaba Watu zaidi ya 3,000 wamepatiwa msaada wa kisheria na Wizara ya Katiba na Sheria, ndani ya siku 13 kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), Sabasaba, yanayoendelea. Kauli hiyo imetolewa na...
  17. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Idadi ya vifo vya maandamano ya sabasaba Kenya, yafikia 43

    Idadi ya vifo kutokana na maandamano ya Saba Saba nchini Kenya yaliyofanyika Jumatatu iliyopita imepanda na kufikia zaidi ya watu 43, kwa mujibu wa takwimu mpya zilizotolewa na shirika la haki za binadamu, Haki Africa Katika taarifa hiyo mpya, mmoja wa waathiriwa wapya ni kijana mdogo, mtoto wa...
  18. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi Leo katika sabasaba katembea kwa mda wa masaa 3

    Wakuu hii sidhani kama ilikuwa sahihi kwa watu wa protocol na wahusika wengine Wamemtembeza Mh Rais katika mabanda yaliyobanana yenye fujo na juto kwa mda wa masaa 3 huenda na zaidi akikagua biashara na kupata maelezo kutoka kwa waelezaji ambao hawakuwa wamejipanga Ile kazi katika zama hizi za...
  19. Baraza la Famasi Tanzania

    JamiiForums Tanzania Heri ya Sikukuu ya Sabasaba

    Heri ya Sikukuu ya Sabasaba
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wamiminika kudhibiti maandamano ya Saba Saba

    Barabara zote kuu zinazoelekea jijini Nairobi zimefungwa leo huku hali ya usalama ikimarishwa katika maeneo mbalimbali ya mji, kufuatia maandamano yanayotarajiwa katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Saba Saba. Kulingana na BBC, polisi wameweka vizuizi katika maeneo muhimu, wakizuia magari ya...
Back
Top Bottom