Morogoro is a city, with a population of 305,840 (2012 census), in the eastern part of Tanzania, 196 kilometres (122 mi) west of Dar es Salaam, the country's largest city and commercial centre, and 260 kilometres (160 mi) east of Dodoma, the country's capital city. Morogoro is the capital of the Morogoro Region. It is also known informally as "Mji kasoro bahari," which translates as "city short of an ocean/port."Morogoro lies at the base of the Uluguru Mountains and is a centre of agriculture in the region. The Sokoine University of Agriculture is based in the city. A number of missions are also located in the city, providing schools and hospitals. Morogoro is home to the Amani Centre, which has helped over 3,400 disabled people in the surrounding villages.
Barabara ya Morogoro maeneo ya Kimara “Ukanda wa Gaza” kuna jambo linachanganya kidogo
Wakati wa JPM tuliambiwa waliojenga ndani ya mita 60 za barabara wavunje majengo yao. Nyumba zikabomolewa, hata vituo vingi vya mafuta vilivyokuwepo vilikula umeme.
Lakini sasa mbona vituo vipya vya mafuta...
Wananchi wanaoishi na kufanya shughuli zao kuanzia Ubungo hadi Kimara wanakabiliwa na changamoto kubwa kila siku wanapojaribu kuvuka Barabara ya Morogoro, hasa nyakati za asubuhi na jioni.
Msongamano wa magari huwa mkubwa, lakini kinachoongeza hatari ni kwamba madereva wengi hawaheshimu kabisa...
Anonymous
Thread
asubuhi
barabara
changamoto
hatarini
jioni
kimara
kuanzia
madereva
maisha
morogoromorogororoad
nyakati
pundamilia
tabu
ubungo
wananchi
Jana niliona carrier ya ngazi mbili imebeba magari ya bei mbaya sana zikiwemi G wagon mpya mbili.
Leo hii tena nimeona carrier kama ile ile ya jana nayo ina magari bei mbaya sana ikiwemo range za 2024.
Nilikua kwenye mkokoteni wangu sikuweza kupiga picha vizuri ila yote yamenipita nikiwa...
Wakuu tunatafuta kiwanja kibaha karibu na morogoro road isiwe ndani ndani na naomba mnitajie na. Bei yake kabisa hapa na ukubwa
MODS: naomba msiupeleke huu Uzi sehemu yeyote nataka nipate kiwanja cha uhakika
Ni nyumba za kisasa ( apartments) mpya kabisa.
Zipo magomeni mwembe chai. Zipo tatu
1. Self ina room mbili za kulala ( master) na inajitegemea
2. Self na zinajitegemea
Maji uhakika kabisa ( reserve tanks zipo
Car parking na gates
Dalali ni mm mwenyewe
Karibu
Bei ni
Ml 1.2 mwezi
Laki 600000/=...
Habari wakuu.
Nyumba inauzwa Argentina mkabala na ofisi Za Mabasi ya Shabibi Line.
Nyumba inatazama Morogoro Road
Eneo Lina ukubwa wa sqm 480
Hati Safi
Bei ni Milion 600
Maongezi ni wewe mnunuzi na mwenye nyumba.
Hakuna mgogoro wowote.
Unaweza kuvunja na kuweka uwekezaji mwingine.Maamuzi...
Eneo la Ekari 57 linagusa Morogoro road linauzwa Chamakweza, Chalinze
Location Eneo lipo upande wa kulia ukitokea Dar es Salaam
Upana wa mbele Ekari 2 zimegusa lami zinazobaki nyuma
-Eneo ni tambarare halina Mlima
Eneo linafaa kwa ujenzi wa Kiwanda, Godown, Yard na Bandari Kavu n.k
-Plot...
apartments
chalinze
eneo la biashara
eneo la viwabda
eneo linauzwa
hotel for sale
house for sale
kununua nyumba
morogororoad
nunua shamba
nunua viwanja
plot for sale
tanzania realestate
Kama Una mpango wa kutumia Morogoro Road kwenda Chalinze na kuendelea ama Tanga Moshi na kuendelea tafadhali tumia Bagamoyo road maana Morogoro road imefungwa.. Magari yamejaa barabara zote mbili.. Old Morogoro rd na New Morogoro rd..
Ilikuwa ni ajali ya alfajiri pale maeneo ya Kongowe pale Howo...
Wakuu, hiki kipande cha Moro Road kwenda Mandela Road hadi Buguruni to Bandalili, ule utaratibu wa kuzuia malori asubuhi ungehamia pia jioni, labda kuanzia saa 9 au saa 10 hadi saa 1 au saa 2 jioni ndio yaruhusiwe.
Hii ingesaidia kidogo kupunguza malori hasa katika hizi peak hours, lakini pia...
Wastani wa Malori zaidi ya 1,000 hutoka kila siku Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali ya Tanzania na Nchi Jirani. Upanuzi wa barabara hiyo kutoka Ubungo hadi Kimara ni suluhisho la muda mfupi tu. Foleni itahamia Kibaha Mjini.
Suluhisho la muda mrefu
Naishauri Serikali kwa Mwaka wa Fedha...
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja...
By expert!!
Designing axial loads for road construction involves several steps to ensure the pavement structure can withstand the expected traffic loads over its lifespan. Here’s an overview of the process:
1. Traffic Analysis
- Traffic Volume: Determine the average daily traffic (ADT) and...
Unapotokea mjini kwenda Mbezi, ukiwa eneo la KIMARA STOP OVER, kuna kituo cha mafuta kinachoitwa RUPIA.
Wakati wa Serikali ya awamu ya 5 nyumba nyingi na vituo vingi vya mafuta vilibomolewa ili kupisha ujenzi wa barabara.
Mara tu Serikali ya awamu ya Sita ilipoingia tulishangaa kuona kituo kile...
Anonymous
Thread
hifadhi ya barabara
kituo
kituo cha mafuta
kituo cha mafuta hifadhi ya barabara
mafuta
morogoromorogororoad
ujenzi wa kituo cha mafuta
SIku za karibuni maroli yamekua kero sana njia ya Morogoro na traffic police wao wame focus zaidi kukamata magari yenye faini badala kuongoza magari ili tuwahi kwenye shughuli za kiuchumi.
Foleni imekua kubwa sana kupitiliza kawaida na hakuna juhudi zozote zinafanywa na police ili kurekebisha...
Habari, Mwezi uliopita mlilipoti kuhusu kuharibika kwa barabara hapa maili moja- kibaha, barabara ya kutoka mtaa wa maili moja shule kwenda kutokea Morogoro road mtaa wa sheli ya zamani,( Diwani-Ramadhani Lutambi -CCM, MB- Sylvester Koka - CCM.
Yaani Hadi Leo hii 6 May 2024, hakuna chochote...
Kuna ajali mbaya sana imetokea Mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali.
Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali? Barabara nyembamba saaana hasa kipande cha Mlandizi to Morogoro, barabara kila siku ina ajali na ndio lango...
Pamoja na kujitahidi kuwa na barabara za kisasa ambazo zinachangia kupendezesha mandhari ya nchi, lkn muonekano huu wa vijumba vilivyochoka pembezoni mwa barabara vinafanya upendezaji huo uwe ni sawa na mtu alievaa nguo nzuri, lkn chini amevaa viatu vichafu na vya kutoboka.
Kwa wenzetu mfano...
NIMEKUWA nikiliona hili jambo kwa muda mrefu, nikaamua leo niliweke hapa pengine na wewe uliwahi kuliona lakini kama ukaona freshi tu.
Ukipita Morogoro Road, njia ambayo mabasi ya mwendokasi ndiyo yalianza kufanya kazi zake hapa Dar es Salaam, utagundua kwamba vituo vya daladala za kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.