Daspauls 238
Member
- Mar 7, 2024
- 30
- 55
Kama mpo mlio weza naomba mnipe codes hususani kipindi cha rikizo
Siku hizi hivyo vibarua hufanya na graduate kabisa, kuna ukosefu wa ajira ile mbayaNakumbuka wakati niko chuo nilikua nafanya kazi za vibarua
Kugawa vipeperushi vya bidhaa kwa Malls weekends
Usiku nako promo za wines, spirits
Likizo nasafiri hadi mikoani na kampuni hizo
SIkuwahi kukosa pesa siku zote geto lilijaa full!! Handbags nabeba brands simu kaliii japokua siku za kwanza nilikua napata tabu kukutwa na wenzangu
Ila mwisho wa siku wao wenyewe wakawa wanasema niwatafutie kazi .........nataka kukwambia nini???
Usione aibu tafuta vibarua pambana pambana pambana pesa mtaani zipo, vibarua vipo
Weka aibu mfukoni
Ushauri mzuri sanaNakumbuka wakati niko chuo nilikua nafanya kazi za vibarua
Kugawa vipeperushi vya bidhaa kwa Malls weekends
Usiku nako promo za wines, spirits
Likizo nasafiri hadi mikoani na kampuni hizo
SIkuwahi kukosa pesa siku zote geto lilijaa full!! Handbags nabeba brands😃 simu kaliii😜 japokua siku za kwanza nilikua napata tabu kukutwa na wenzangu 🤣😄
Ila mwisho wa siku wao wenyewe wakawa wanasema niwatafutie kazi .........nataka kukwambia nini???
Usione aibu tafuta vibarua pambana pambana pambana pesa mtaani zipo, vibarua vipo
Weka aibu mfukoni
Hao wote wameweka aibu mfukoni wanatafuta pesa na ni heri kuliko kukaa ukisubiria ajira za ccmSiku hizi hivyo vibarua hufanya na graduate kabisa, kuna ukosefu wa ajira ile mbaya
una miaka mingapi mkuuKama mpo mlio weza naomba mnipe codes hususani kipindi cha rikizo
👍Nakumbuka wakati niko chuo nilikua nafanya kazi za vibarua
Kugawa vipeperushi vya bidhaa kwa Malls weekends
Usiku nako promo za wines, spirits
Likizo nasafiri hadi mikoani na kampuni hizo
SIkuwahi kukosa pesa siku zote geto lilijaa full!! Handbags nabeba brands😃 simu kaliii😜 japokua siku za kwanza nilikua napata tabu kukutwa na wenzangu 🤣😄
Ila mwisho wa siku wao wenyewe wakawa wanasema niwatafutie kazi .........nataka kukwambia nini???
Usione aibu tafuta vibarua pambana pambana pambana pesa mtaani zipo, vibarua vipo
Weka aibu mfukoni
Mwaka wa kwanza clinical medicineUko chuo mkoa upi programme ipi na mwaka wangapi?
Mkoa hujataja mkuu!! Kwa mwaka wa 1 bado hujaiva sanaMwaka wa kwanza clinical medicine
Dar mkuuMkoa hujataja mkuu!! Kwa mwaka wa 1 bado hujaiva sana
una miaka mingapi mkuu2
20 mkuuuna miaka mingapi mkuu
Ulichokiandika kwa mtu mjinga ataamini kuwa ni kweliNakumbuka wakati niko chuo nilikua nafanya kazi za vibarua
Kugawa vipeperushi vya bidhaa kwa Malls weekends
Usiku nako promo za wines, spirits
Likizo nasafiri hadi mikoani na kampuni hizo
SIkuwahi kukosa pesa siku zote geto lilijaa full!! Handbags nabeba brands😃 simu kaliii😜 japokua siku za kwanza nilikua napata tabu kukutwa na wenzangu 🤣😄
Ila mwisho wa siku wao wenyewe wakawa wanasema niwatafutie kazi .........nataka kukwambia nini???
Usione aibu tafuta vibarua pambana pambana pambana pesa mtaani zipo, vibarua vipo
Weka aibu mfukoni
Nipe codes mkuuUlichokiandika kwa mtu mjinga ataamini kuwa ni kweli
Sawa.Ulichokiandika kwa mtu mjinga ataamini kuwa ni kweli
Kaka watoto wa kike haoNipe codes mkuu